Tetesi: Za ndaaaaani, Simba walitafuta namna ya kumhonga Diara na kublock ndege yake , wakachemka

Tetesi: Za ndaaaaani, Simba walitafuta namna ya kumhonga Diara na kublock ndege yake , wakachemka

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kwanza mkisikia interview ya Gamond baada ya Kumchapa Simba, aliongea kauli Moja kuwa alitumia ubabe kumpanga Diara aliewasili katika Tanzania masaa matatu kabla ya Derb, na hiyo ni baada ya malumbano makubwa kati ya kocha na baadhi ya viongozi wa Yanga ambao walitaka kumlazimisha Mzee wa "FOR ME" Mater Gamond kumpanga Mshery kwakuwa Diara amechelewa kuja hivyo atakuwa na uchovu mkubwa.

Picha lilianza hivi, baada ya Simba kuona na kufanya assesment ya derb dhidi ya Yanga, waligundua kuna sehemu moja ambayo ni muhimili wa Yanga na kwa kiasi kikubwa Yanga wanamtegemea mhimili huo katika mechi zake, kumbe Simba walitambua hilo na kuanza kutafuta namna ya kumuingia Kipa Diara na Kuhakikisha Mechi hiyo ya Derb , Kipa huyo hadaki.

Movement ya Kwanza Simba waliweka offer kubwa sana kwa wakala wa Diara, ili figisu zifanyike asicheze mechi, sio ajifungishe bali asicheze mechi, baada ya dili hili kubuma kwani msimamizi wa Diara aligoma kabisa kujihusisha na Maujinga hayo.

Movement ya pili ilifanywa na makachero wa ndani wa Simba mpaka kuweza kupenya kwenye benchi la ufundi kupitia baadhi ya viongozi wa Yanga , ambapo kulikuwa na mgogoro mkubwa wa Kocha gamondi kulazimishwa amchezeshe mshery kitu ambacho alikataa, na hata kwenye press conference alisema.

Move ya Mwisho kabisa , simba ilifanya mipango na kutuma watu na kupiga simu nyingi , na kuwezesha mipango ya Kipa diara kucheleweshwa katika moja ya viwanja vya ndege yaani connecting hub, mpango ulishasukwa tayari na kama diara angetumia uwanja huo wa ndege kuconnect flight kuja tanzania basi angefika mechi ya Derby imeshaisha. Baada ya WATU wasio waaminifu kwa simba (Walivuta mpunga Yanga kama Yanga walivyovuta Mpunga kwa Simba) walivujisha mipango hiyo kwa yanga na hivyo kumfanyia diara atumie njia nyingine ya kukonekti ndege ya kufika hapa tanzania, na alifika saa nane na Robo mchana , masaa matatu kuelekea Derb.

Viongozi wa Simba walivyoona mambo yameharibika basi walibidi kuwaambia wachezaji waingie uwanjani kupambana. Kwa habari hii pia inawezekana watu walivuta pesa anula adake ile mechi ya 5-1. Nimegundua derby ni biashara kubwa sana, mtu unaweza ukauliwa kisa derb.

SOURCE YA HII HABARI NI ZA NDAAAAAANI KUTOKA KWENYE KITUO KIMOJA CHA REDIO HAPA TANZANIA
 
Kumbe Huyo Diara angecheza na kuzuia mipira ya kati ambayo ni kina Aucho wanacheza... mi nikajua ukuta wake ndo umezuia yote kutokea... kumbe asingecheza hao kina Pacome..kina boka...kina job wangekua wanawapa simba mipira wanaenda kufunga tuu kwa mshery yani waaah...waaaah...
Kweli Tanzania tuna propaganda...
 
Refa ndio aliyomfunga Simba na sio yanga,yanga hana uwezo wa kufunga Simba bila kutumia siasa,bahasha,na marefa kama kayoko,Arajiga n.k
Inawezekana , derb ni kama Siasa kikubwa kushinda, si unaona CCM anavyoiba Kura, wao hawaangalii fairness wanaangalia greed na uchu wa kushinda
 
Kumbe Huyo Diara angecheza na kuzuia mipira ya kati ambayo ni kina Aucho wanacheza... mi nikajua ukuta wake ndo umezuia yote kutokea... kumbe asingecheza hao kina Pacome..kina boka...kina job wangekua wanawapa simba mipira wanaenda kufunga tuu kwa mshery yani waaah...waaaah...
Kweli Tanzania tuna propaganda...
mi nimetoa habari kama nilivyoisikia, ila lisemwalo lipo, bora ufanye lolote na sio ufungwe derb
 
Kwanza mkisikia interview ya Gamond baada ya Kumchapa Simba, aliongea kauli Moja kuwa alitumia ubabe kumpanga Diara aliewasili katika Tanzania masaa matatu kabla ya Derb, na hiyo ni baada ya malumbano makubwa kati ya kocha na baadhi ya viongozi wa Yanga ambao walitaka kumlazimisha Mzee wa "FOR ME" Mater Gamond kumpanga Mshery kwakuwa Diara amechelewa kuja hivyo atakuwa na uchovu mkubwa.

Picha lilianza hivi, baada ya Simba kuona na kufanya assesment ya derb dhidi ya Yanga, waligundua kuna sehemu moja ambayo ni muhimili wa Yanga na kwa kiasi kikubwa Yanga wanamtegemea mhimili huo katika mechi zake, kumbe Simba walitambua hilo na kuanza kutafuta namna ya kumuingia Kipa Diara na Kuhakikisha Mechi hiyo ya Derb , Kipa huyo hadaki.

Movement ya Kwanza Simba waliweka offer kubwa sana kwa wakala wa Diara, ili figisu zifanyike asicheze mechi, sio ajifungishe bali asicheze mechi, baada ya dili hili kubuma kwani msimamizi wa Diara aligoma kabisa kujihusisha na Maujinga hayo.

Movement ya pili ilifanywa na makachero wa ndani wa Simba mpaka kuweza kupenya kwenye benchi la ufundi kupitia baadhi ya viongozi wa Yanga , ambapo kulikuwa na mgogoro mkubwa wa Kocha gamondi kulazimishwa amchezeshe mshery kitu ambacho alikataa, na hata kwenye press conference alisema.

Move ya Mwisho kabisa , simba ilifanya mipango na kutuma watu na kupiga simu nyingi , na kuwezesha mipango ya Kipa diara kucheleweshwa katika moja ya viwanja vya ndege yaani connecting hub, mpango ulishasukwa tayari na kama diara angetumia uwanja huo wa ndege kuconnect flight kuja tanzania basi angefika mechi ya Derby imeshaisha. Baada ya WATU wasio waaminifu kwa simba (Walivuta mpunga Yanga kama Yanga walivyovuta Mpunga kwa Simba) walivujisha mipango hiyo kwa yanga na hivyo kumfanyia diara atumie njia nyingine ya kukonekti ndege ya kufika hapa tanzania, na alifika saa nane na Robo mchana , masaa matatu kuelekea Derb.

Viongozi wa Simba walivyoona mambo yameharibika basi walibidi kuwaambia wachezaji waingie uwanjani kupambana. Kwa habari hii pia inawezekana watu walivuta pesa anula adake ile mechi ya 5-1. Nimegundua derby ni biashara kubwa sana, mtu unaweza ukauliwa kisa derb.

SOURCE YA HII HABARI NI ZA NDAAAAAANI KUTOKA KWENYE KITUO KIMOJA CHA REDIO HAPA TANZANIA
Story za uongo zote hizo...
Ni kama Story ya baka kuumia mguu...
 
Inawezekana , derb ni kama Siasa kikubwa kushinda, si unaona CCM anavyoiba Kura, wao hawaangalii fairness wanaangalia greed na uchu wa kushinda
mpira wa siasa ni kaburi ndefu kwenye mpira..endeleee time will tell.
Kumbuka pia atakuja kutawala rais mwenye mapenzi na Simba,unafikiri tutaishia wap..sasa hivi anawazoom tu anatulia.
 
Kwanza mkisikia interview ya Gamond baada ya Kumchapa Simba, aliongea kauli Moja kuwa alitumia ubabe kumpanga Diara aliewasili katika Tanzania masaa matatu kabla ya Derb, na hiyo ni baada ya malumbano makubwa kati ya kocha na baadhi ya viongozi wa Yanga ambao walitaka kumlazimisha Mzee wa "FOR ME" Mater Gamond kumpanga Mshery kwakuwa Diara amechelewa kuja hivyo atakuwa na uchovu mkubwa.

Picha lilianza hivi, baada ya Simba kuona na kufanya assesment ya derb dhidi ya Yanga, waligundua kuna sehemu moja ambayo ni muhimili wa Yanga na kwa kiasi kikubwa Yanga wanamtegemea mhimili huo katika mechi zake, kumbe Simba walitambua hilo na kuanza kutafuta namna ya kumuingia Kipa Diara na Kuhakikisha Mechi hiyo ya Derb , Kipa huyo hadaki.

Movement ya Kwanza Simba waliweka offer kubwa sana kwa wakala wa Diara, ili figisu zifanyike asicheze mechi, sio ajifungishe bali asicheze mechi, baada ya dili hili kubuma kwani msimamizi wa Diara aligoma kabisa kujihusisha na Maujinga hayo.

Movement ya pili ilifanywa na makachero wa ndani wa Simba mpaka kuweza kupenya kwenye benchi la ufundi kupitia baadhi ya viongozi wa Yanga , ambapo kulikuwa na mgogoro mkubwa wa Kocha gamondi kulazimishwa amchezeshe mshery kitu ambacho alikataa, na hata kwenye press conference alisema.

Move ya Mwisho kabisa , simba ilifanya mipango na kutuma watu na kupiga simu nyingi , na kuwezesha mipango ya Kipa diara kucheleweshwa katika moja ya viwanja vya ndege yaani connecting hub, mpango ulishasukwa tayari na kama diara angetumia uwanja huo wa ndege kuconnect flight kuja tanzania basi angefika mechi ya Derby imeshaisha. Baada ya WATU wasio waaminifu kwa simba (Walivuta mpunga Yanga kama Yanga walivyovuta Mpunga kwa Simba) walivujisha mipango hiyo kwa yanga na hivyo kumfanyia diara atumie njia nyingine ya kukonekti ndege ya kufika hapa tanzania, na alifika saa nane na Robo mchana , masaa matatu kuelekea Derb.

Viongozi wa Simba walivyoona mambo yameharibika basi walibidi kuwaambia wachezaji waingie uwanjani kupambana. Kwa habari hii pia inawezekana watu walivuta pesa anula adake ile mechi ya 5-1. Nimegundua derby ni biashara kubwa sana, mtu unaweza ukauliwa kisa derb.

SOURCE YA HII HABARI NI ZA NDAAAAAANI KUTOKA KWENYE KITUO KIMOJA CHA REDIO HAPA TANZANIA
Si mseme mzee mpili nusu afe huko alipoenda sababu ya majini yupo hoi hadi sasa..
Ushindi wa ushirikina ule.
 
Kumbe Huyo Diara angecheza na kuzuia mipira ya kati ambayo ni kina Aucho wanacheza... mi nikajua ukuta wake ndo umezuia yote kutokea... kumbe asingecheza hao kina Pacome..kina boka...kina job wangekua wanawapa simba mipira wanaenda kufunga tuu kwa mshery yani waaah...waaaah...
Kweli Tanzania tuna propaganda...
kuna mimtu ni mazwazwa yanaanzisha nyuzi za hovyo hawana hata fikra!
 
Back
Top Bottom