Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,157
- 1,413
Yani Simba watumie nguvu zoote hizo kwa kuigopa Yanga? Yanga hii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana hii, anafikiri airlines za wenzetu ni kama za huku kwetu ambako zinaweza fanyiwa hiyo michezo. Simba hana influence ya kiwango hicho.Inafikirisha sana. Timu ifanye attempt kublock ndege za mashirika ya nje tena viwanja vya watu afu uwanjani ishindwe kublock shuti moja tu la Maxi Mpia Nzengeli "The Ousborne"?....na ipate attemp on target moja tuuu? [emoji3][emoji3][emoji3]
Hajui sensitivity ya logistic ya airlines zilivyo.Watanzania tumekosa mambo ya kujadili, Mwabukusi yupo sahihi. Hivi unaanzisha uzi kabisa kutuaminisha kwamba klabu ya soka inaweza kuzuia safari ya ndege? Ungekuwa na exposure jinsi safari ya ndege ilivyo sensitive usingethubutu kuanzisha uzi huu, lakini yaelekea wewe ni wa humu humu tu, hujasafiri