Tetesi: Za ndaaaaani, Simba walitafuta namna ya kumhonga Diara na kublock ndege yake , wakachemka

Tetesi: Za ndaaaaani, Simba walitafuta namna ya kumhonga Diara na kublock ndege yake , wakachemka

kwa Yanga mbovu hyo Simba ihangaike hivyoo...lol😃😃😃
 
Kwanza mkisikia interview ya Gamond baada ya Kumchapa Simba, aliongea kauli Moja kuwa alitumia ubabe kumpanga Diara aliewasili katika Tanzania masaa matatu kabla ya Derb, na hiyo ni baada ya malumbano makubwa kati ya kocha na baadhi ya viongozi wa Yanga ambao walitaka kumlazimisha Mzee wa "FOR ME" Mater Gamond kumpanga Mshery kwakuwa Diara amechelewa kuja hivyo atakuwa na uchovu mkubwa.

Picha lilianza hivi, baada ya Simba kuona na kufanya assesment ya derb dhidi ya Yanga, waligundua kuna sehemu moja ambayo ni muhimili wa Yanga na kwa kiasi kikubwa Yanga wanamtegemea mhimili huo katika mechi zake, kumbe Simba walitambua hilo na kuanza kutafuta namna ya kumuingia Kipa Diara na Kuhakikisha Mechi hiyo ya Derb , Kipa huyo hadaki.

Movement ya Kwanza Simba waliweka offer kubwa sana kwa wakala wa Diara, ili figisu zifanyike asicheze mechi, sio ajifungishe bali asicheze mechi, baada ya dili hili kubuma kwani msimamizi wa Diara aligoma kabisa kujihusisha na Maujinga hayo.

Movement ya pili ilifanywa na makachero wa ndani wa Simba mpaka kuweza kupenya kwenye benchi la ufundi kupitia baadhi ya viongozi wa Yanga , ambapo kulikuwa na mgogoro mkubwa wa Kocha gamondi kulazimishwa amchezeshe mshery kitu ambacho alikataa, na hata kwenye press conference alisema.

Move ya Mwisho kabisa , simba ilifanya mipango na kutuma watu na kupiga simu nyingi , na kuwezesha mipango ya Kipa diara kucheleweshwa katika moja ya viwanja vya ndege yaani connecting hub, mpango ulishasukwa tayari na kama diara angetumia uwanja huo wa ndege kuconnect flight kuja tanzania basi angefika mechi ya Derby imeshaisha. Baada ya WATU wasio waaminifu kwa simba (Walivuta mpunga Yanga kama Yanga walivyovuta Mpunga kwa Simba) walivujisha mipango hiyo kwa yanga na hivyo kumfanyia diara atumie njia nyingine ya kukonekti ndege ya kufika hapa tanzania, na alifika saa nane na Robo mchana , masaa matatu kuelekea Derb.

Viongozi wa Simba walivyoona mambo yameharibika basi walibidi kuwaambia wachezaji waingie uwanjani kupambana. Kwa habari hii pia inawezekana watu walivuta pesa anula adake ile mechi ya 5-1. Nimegundua derby ni biashara kubwa sana, mtu unaweza ukauliwa kisa derb.

SOURCE YA HII HABARI NI ZA NDAAAAAANI KUTOKA KWENYE KITUO KIMOJA CHA REDIO HAPA TANZANIA
Simba HATUTUMII mbinu za kipumbavu kushinda mechi. Tunatumia sayansi ya mpira ndio maana sisi ni Saba kwa Ubora Afrika. Wengine wapo nje ya kumi bora na wanapambana nao kuingia lakini HAWATWEZA!
 
Za ndaaaaani, simba walitafuta namna ya kumhonga diara na kublock ndege yake , wakachemka
Watanzania tumekosa mambo ya kujadili, Mwabukusi yupo sahihi. Hivi unaanzisha uzi kabisa kutuaminisha kwamba klabu ya soka inaweza kuzuia safari ya ndege? Ungekuwa na exposure jinsi safari ya ndege ilivyo sensitive usingethubutu kuanzisha uzi huu, lakini yaelekea wewe ni wa humu humu tu, hujasafiri
 
Yaani Simba ablock Emirates, Ethiopian au Qatar airways? Kweli nchi hii wenye akili wachache
 
Simba HATUTUMII mbinu za kipumbavu kushinda mechi. Tunatumia sayansi ya mpira ndio maana sisi ni Saba kwa Ubora Afrika. Wengine wapo nje ya kumi bora na wanapambana nao kuingia lakini HAWATWEZA!
Rage hakukosea vile alivyowaita..... Hicho kichaka cha nafasi ya 7 kinafyekwa muda si mrefu kama unafatilia points zao zinavyopatikana, subiri hatua ya makundi iishe ndio utajua umevuna nini na Yanga amevuna nini ndio uje uendelee kuimba nafasiya 7
 
Yaani Simba ablock Emirates, Ethiopian au Qatar airways? Kweli nchi hii wenye akili wachache
Acha kupotosha, hakuna sehemu walisema walitaka ku block ndege kitu amabcho hakiwezekanai ila kumchelewesha mchezaji asweze ku board ndege, mfano on the way to airport mnaweza kumchelewesha mtu au akifika airport kwenye ukaguzi mnaweza kutengeneza jambo litakalomfanya achelewe ndege husika na baadae mkamruhusu kuomndoka kwa ndege nyingine. Msikilize vizuri nyinyi watu, kuizuia ndege ni jambo zito mno na hilo jaribio linawezwa kufanywa na mamlaka za usalama na sio mbumbumbu mmoja kutoka popote.
 
Acha kupotosha, hakuna sehemu walisema walitaka ku block ndege kitu amabcho hakiwezekanai ila kumchelewesha mchezaji asweze ku board ndege, mfano on the way to airport mnaweza kumchelewesha mtu au akifika airport kwenye ukaguzi mnaweza kutengeneza jambo litakalomfanya achelewe ndege husika na baadae mkamruhusu kuomndoka kwa ndege nyingine. Msikilize vizuri nyinyi watu, kuizuia ndege ni jambo zito mno na hilo jaribio linawezwa kufanywa na mamlaka za usalama na sio mbumbumbu mmoja kutoka popote.
Mpumbavu kabisa kwamba diara alikua na viongoz wa simba chumban kwake akaambatana nao airport kwamba hapo aiport hakuna askar usalama wanao ensure safetty ya mteja au unasema viongoz wa simba walihonga maafisa usalama wa viwanja vya ndege wamcheleweshe diarra[emoji23][emoji23].mnaumwa mavi nyie, who is diarra by the way [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Simba HATUTUMII mbinu za kipumbavu kushinda mechi. Tunatumia sayansi ya mpira ndio maana sisi ni Saba kwa Ubora Afrika. Wengine wapo nje ya kumi bora na wanapambana nao kuingia lakini HAWATWEZA!
Hizi ndo mbinu za kisayansi
D861F692-0CD1-4190-AFAB-634BC62B4838.jpeg
D861F692-0CD1-4190-AFAB-634BC62B4838.jpeg
D861F692-0CD1-4190-AFAB-634BC62B4838.jpeg
 
Acha kupotosha, hakuna sehemu walisema walitaka ku block ndege kitu amabcho hakiwezekanai ila kumchelewesha mchezaji asweze ku board ndege, mfano on the way to airport mnaweza kumchelewesha mtu au akifika airport kwenye ukaguzi mnaweza kutengeneza jambo litakalomfanya achelewe ndege husika na baadae mkamruhusu kuomndoka kwa ndege nyingine. Msikilize vizuri nyinyi watu, kuizuia ndege ni jambo zito mno na hilo jaribio linawezwa kufanywa na mamlaka za usalama na sio mbumbumbu mmoja kutoka popote.
Una akili ndogo bro.
 
Rage hakukosea vile alivyowaita..... Hicho kichaka cha nafasi ya 7 kinafyekwa muda si mrefu kama unafatilia points zao zinavyopatikana, subiri hatua ya makundi iishe ndio utajua umevuna nini na Yanga amevuna nini ndio uje uendelee kuimba nafasiya 7
Let's wait.
 
Back
Top Bottom