dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
tofali stupidy tena!!!!Tofali stupid ndio nini? Kwa hio umeanza matusi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tofali stupidy tena!!!!Tofali stupid ndio nini? Kwa hio umeanza matusi?
Nini kilimpiga mweleka Kapombe wakati anaingia uwanjani?Si mseme mzee mpili nusu afe huko alipoenda sababu ya majini yupo hoi hadi sasa..
Ushindi wa ushirikina ule.
Kijili kaweka waaaaaaaaahkwa Yanga mbovu hyo Simba ihangaike hivyoo...lol😃😃😃
Rage ni akili kubwaRefa ndio aliyomfunga Simba na sio yanga,yanga hana uwezo wa kufunga Simba bila kutumia siasa,bahasha,na marefa kama kayoko,Arajiga n.k
Simba HATUTUMII mbinu za kipumbavu kushinda mechi. Tunatumia sayansi ya mpira ndio maana sisi ni Saba kwa Ubora Afrika. Wengine wapo nje ya kumi bora na wanapambana nao kuingia lakini HAWATWEZA!Kwanza mkisikia interview ya Gamond baada ya Kumchapa Simba, aliongea kauli Moja kuwa alitumia ubabe kumpanga Diara aliewasili katika Tanzania masaa matatu kabla ya Derb, na hiyo ni baada ya malumbano makubwa kati ya kocha na baadhi ya viongozi wa Yanga ambao walitaka kumlazimisha Mzee wa "FOR ME" Mater Gamond kumpanga Mshery kwakuwa Diara amechelewa kuja hivyo atakuwa na uchovu mkubwa.
Picha lilianza hivi, baada ya Simba kuona na kufanya assesment ya derb dhidi ya Yanga, waligundua kuna sehemu moja ambayo ni muhimili wa Yanga na kwa kiasi kikubwa Yanga wanamtegemea mhimili huo katika mechi zake, kumbe Simba walitambua hilo na kuanza kutafuta namna ya kumuingia Kipa Diara na Kuhakikisha Mechi hiyo ya Derb , Kipa huyo hadaki.
Movement ya Kwanza Simba waliweka offer kubwa sana kwa wakala wa Diara, ili figisu zifanyike asicheze mechi, sio ajifungishe bali asicheze mechi, baada ya dili hili kubuma kwani msimamizi wa Diara aligoma kabisa kujihusisha na Maujinga hayo.
Movement ya pili ilifanywa na makachero wa ndani wa Simba mpaka kuweza kupenya kwenye benchi la ufundi kupitia baadhi ya viongozi wa Yanga , ambapo kulikuwa na mgogoro mkubwa wa Kocha gamondi kulazimishwa amchezeshe mshery kitu ambacho alikataa, na hata kwenye press conference alisema.
Move ya Mwisho kabisa , simba ilifanya mipango na kutuma watu na kupiga simu nyingi , na kuwezesha mipango ya Kipa diara kucheleweshwa katika moja ya viwanja vya ndege yaani connecting hub, mpango ulishasukwa tayari na kama diara angetumia uwanja huo wa ndege kuconnect flight kuja tanzania basi angefika mechi ya Derby imeshaisha. Baada ya WATU wasio waaminifu kwa simba (Walivuta mpunga Yanga kama Yanga walivyovuta Mpunga kwa Simba) walivujisha mipango hiyo kwa yanga na hivyo kumfanyia diara atumie njia nyingine ya kukonekti ndege ya kufika hapa tanzania, na alifika saa nane na Robo mchana , masaa matatu kuelekea Derb.
Viongozi wa Simba walivyoona mambo yameharibika basi walibidi kuwaambia wachezaji waingie uwanjani kupambana. Kwa habari hii pia inawezekana watu walivuta pesa anula adake ile mechi ya 5-1. Nimegundua derby ni biashara kubwa sana, mtu unaweza ukauliwa kisa derb.
SOURCE YA HII HABARI NI ZA NDAAAAAANI KUTOKA KWENYE KITUO KIMOJA CHA REDIO HAPA TANZANIA
Watanzania tumekosa mambo ya kujadili, Mwabukusi yupo sahihi. Hivi unaanzisha uzi kabisa kutuaminisha kwamba klabu ya soka inaweza kuzuia safari ya ndege? Ungekuwa na exposure jinsi safari ya ndege ilivyo sensitive usingethubutu kuanzisha uzi huu, lakini yaelekea wewe ni wa humu humu tu, hujasafiriZa ndaaaaani, simba walitafuta namna ya kumhonga diara na kublock ndege yake , wakachemka
Kwahiyo refa ndiyo aliyempush Kijiri akajifunga😀Refa ndio aliyomfunga Simba na sio yanga,yanga hana uwezo wa kufunga Simba bila kutumia siasa,bahasha,na marefa kama kayoko,Arajiga n.k
Rage hakukosea vile alivyowaita..... Hicho kichaka cha nafasi ya 7 kinafyekwa muda si mrefu kama unafatilia points zao zinavyopatikana, subiri hatua ya makundi iishe ndio utajua umevuna nini na Yanga amevuna nini ndio uje uendelee kuimba nafasiya 7Simba HATUTUMII mbinu za kipumbavu kushinda mechi. Tunatumia sayansi ya mpira ndio maana sisi ni Saba kwa Ubora Afrika. Wengine wapo nje ya kumi bora na wanapambana nao kuingia lakini HAWATWEZA!
Acha kupotosha, hakuna sehemu walisema walitaka ku block ndege kitu amabcho hakiwezekanai ila kumchelewesha mchezaji asweze ku board ndege, mfano on the way to airport mnaweza kumchelewesha mtu au akifika airport kwenye ukaguzi mnaweza kutengeneza jambo litakalomfanya achelewe ndege husika na baadae mkamruhusu kuomndoka kwa ndege nyingine. Msikilize vizuri nyinyi watu, kuizuia ndege ni jambo zito mno na hilo jaribio linawezwa kufanywa na mamlaka za usalama na sio mbumbumbu mmoja kutoka popote.Yaani Simba ablock Emirates, Ethiopian au Qatar airways? Kweli nchi hii wenye akili wachache
Umesikia kwa nani? Nikajua ulikuepo.mi nimetoa habari kama nilivyoisikia, ila lisemwalo lipo, bora ufanye lolote na sio ufungwe derb
Mpumbavu kabisa kwamba diara alikua na viongoz wa simba chumban kwake akaambatana nao airport kwamba hapo aiport hakuna askar usalama wanao ensure safetty ya mteja au unasema viongoz wa simba walihonga maafisa usalama wa viwanja vya ndege wamcheleweshe diarra[emoji23][emoji23].mnaumwa mavi nyie, who is diarra by the way [emoji706][emoji706][emoji706]Acha kupotosha, hakuna sehemu walisema walitaka ku block ndege kitu amabcho hakiwezekanai ila kumchelewesha mchezaji asweze ku board ndege, mfano on the way to airport mnaweza kumchelewesha mtu au akifika airport kwenye ukaguzi mnaweza kutengeneza jambo litakalomfanya achelewe ndege husika na baadae mkamruhusu kuomndoka kwa ndege nyingine. Msikilize vizuri nyinyi watu, kuizuia ndege ni jambo zito mno na hilo jaribio linawezwa kufanywa na mamlaka za usalama na sio mbumbumbu mmoja kutoka popote.
kichwa kimejaa maji mengi sana.🥶Refa ndio aliyomfunga Simba na sio yanga,yanga hana uwezo wa kufunga Simba bila kutumia siasa,bahasha,na marefa kama kayoko,Arajiga n.k
Hizi ndo mbinu za kisayansiSimba HATUTUMII mbinu za kipumbavu kushinda mechi. Tunatumia sayansi ya mpira ndio maana sisi ni Saba kwa Ubora Afrika. Wengine wapo nje ya kumi bora na wanapambana nao kuingia lakini HAWATWEZA!
Una akili ndogo bro.Acha kupotosha, hakuna sehemu walisema walitaka ku block ndege kitu amabcho hakiwezekanai ila kumchelewesha mchezaji asweze ku board ndege, mfano on the way to airport mnaweza kumchelewesha mtu au akifika airport kwenye ukaguzi mnaweza kutengeneza jambo litakalomfanya achelewe ndege husika na baadae mkamruhusu kuomndoka kwa ndege nyingine. Msikilize vizuri nyinyi watu, kuizuia ndege ni jambo zito mno na hilo jaribio linawezwa kufanywa na mamlaka za usalama na sio mbumbumbu mmoja kutoka popote.
Let's wait.Rage hakukosea vile alivyowaita..... Hicho kichaka cha nafasi ya 7 kinafyekwa muda si mrefu kama unafatilia points zao zinavyopatikana, subiri hatua ya makundi iishe ndio utajua umevuna nini na Yanga amevuna nini ndio uje uendelee kuimba nafasiya 7