Tetesi: Za ndaani kabisa kutoka Timu ya 'Avic Town Tumeishiwa Fedha FC'

Tetesi: Za ndaani kabisa kutoka Timu ya 'Avic Town Tumeishiwa Fedha FC'

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nina za moto moto kuhusu mambo makubwa matatu;

1. Mwamba kuwagomea kabisa na sasa Kiongozi Mstaafu kaombwa akutane naye ili amshawishi asaini na abakie.

2. Wapiga Gitaa watatu wa DLY Congo Music Band kupewa adhabu kimya kimya baada ya kudai chao.

3. Fedha kuisha huku Tajiri na Matajiri Tegemezi watatu wakigoma tena kuweka mzigo na kuwataka wajiendeshe wenyewe kwa sasa kwani na wao wana majukumu mengine.

ANGALIZO
Timu inayoongelewa hapa ni ya Avic Town Tumeishiwa Fedha FC sasa wewe kisokolokwinyo (kiherehere) jifanye unaihisi timu nyingine na uingie katika 18 zangu 'Nikurarueraure' ujute.

Na ukijijua kabisa kuwa humpendi GENTAMIYCINE na unamchukia hata kutamani afe tu na huvutiwi na taarifa zake pamoja na uwasilishaji wake kutokana na upumbavu, wivu na uwendawazimu wako uliokutukuka njia rahisi ni kuachana nae (nami) na uendelee kuwasoma na kuwafuatilia hao unaowaona ni bora kwako na unawakubali zaidi sawa?

Imeisha hiyo.

Kudadadeki!!!
 
Yanga haikaukiwi pesa, Gsm kahamasika kuweka mzigo zaidi, Yanga ilipoalikwa ikulu gsm alipewa hamasa na Rais awekeze zaidi alegezewe mambo ya biashara

Una habari kwamba pesa ya mboga za wachezaji shilingi milionk 405 imeingia muda mchache uliopita kama bonus ya sport pesa kuipongeza yanga kushinda ligi kuu ?
 
Na hiki ni nini?

FB_IMG_1688977830076.jpg
 
huwezi zijua za ndani wewe, maumivu yapo pale pale...msimu huu unaambiwa mechi za CAF zinasimamiwa na GSM NBC chini ya MANJI, nawaona kabisa msimu huu mkikutana na mashabiki wa Avici Town mtakuwa mnawaamkia SHIKAMOO MUME😛😀
 
Ni kweli leo ndio hatima ya manywele kusign ama la.

Mvutano upo mkubwa akitaka alipwe 50+m kiwango ambacho hata kocha Nabi hakuwahi kulipwa.

Menejiment inaogopa kutatengeneza tabaka la wachezaje na kuauwa ari wengine kwa tofauti kubwa ya malipo.

Ila mpaka jua linazama itafahamika tu kama atasign ama la.
 
Ni Jambo zuri klabu kujiendesha mikataba ya udhamini inatosha.

2.0-kama mchezaji hataki kusign akiuzwa anagerate cash kwa klabu why not ? Provided kwa mkataba uliopo ametimiziwa mahitaji yake ni faida kwa klabu ingawa Yanga ingependa abaki kuwatesa makolo.

Mchezaji anabembeleza abaki tumuomgeze hela tungependa kumuongezea lakini.

Yanga haina tapeli wa heshima Ina operate ndani ya budget

Nawaza atakubali kidogo Cha Yanga maana hataki kuondoka
 
Ukimya wao unatoa mashaka makubwa huko upande wa pili
 
Milioni 400 kwa simba ndio iliyotumika kununua mchezaji mmoja tu. Wakati kwenu mmepewa timu nzima[emoji16]
Na ndio hiyo iliyo tumika kumnunua Aziz K msimu uliopita tena na zaidi USD 200k.So mlicho kifanya nyinyi sisi tulishakifanya zamani,nyie mmerudia tulicho kifanya sisi.Hongereni kwa kupiga hatua.
 
Na ndio hiyo iliyo tumika kumnunua Aziz K tena na zaidi USD 200k.So mlicho kifanya nyinyi sisi tulishakifanya zamani,nyie mmerudia tulicho kifanya sisi.
Kama ndio hivyo ilikuwa haina haja ya kujigamba kwamba ina hela wakati hiyo ni hela ya mboga tu.

Mwenzako anatutangazia kuwa mnahela mmepokea toka sport pesa milioni 400 wakati wenzenu wanapokea B kutoka M- bet
 
Kama ndio hivyo ilikuwa haina haja ya kujigamba kwamba ina hela wakati hiyo ni hela ya mboga tu. Mwenzako anatutangazia kuwa mnahela mmepokea toka sport pesa milioni 400 wakati wenzenu wanapokea B kutoka M- bet
Lazima tujigambe sababu timu inazidi kutengeneza hela kupitia mafanikio tuliyo yapata msimu uliopita.

Kwani Yanga hapokei B kutola Sportpesa, jifunze kutofautisha kati ya bonus na hela ya udhamini.

Hiyo ni bonus baada ya Yanga kuchukua Makombe ya Azam Confederation na ubingwa.Kama M-Bet aliwapa Bonus baada ya kutoka patupu msimu uliopita basi hongereni.
 
Kama ndio hivyo ilikuwa haina haja ya kujigamba kwamba ina hela wakati hiyo ni hela ya mboga tu. Mwenzako anatutangazia kuwa mnahela mmepokea toka sport pesa milioni 400 wakati wenzenu wanapokea B kutoka M- bet
Hiyo B mliyopokea ni ya Nini ?
 
Kama ndio hivyo ilikuwa haina haja ya kujigamba kwamba ina hela wakati hiyo ni hela ya mboga tu. Mwenzako anatutangazia kuwa mnahela mmepokea toka sport pesa milioni 400 wakati wenzenu wanapokea B kutoka M- bet
Akili yako ndogo hii 400 ni hela ya bonus tuuh sio udhamini huo
 
Back
Top Bottom