Tetesi: Za ndaani kabisa kutoka Timu ya 'Avic Town Tumeishiwa Fedha FC'

Tetesi: Za ndaani kabisa kutoka Timu ya 'Avic Town Tumeishiwa Fedha FC'

Nina za moto moto kuhusu mambo makubwa matatu;

1. Mwamba kuwagomea kabisa na sasa Kiongozi Mstaafu kaombwa akutane nae ili amshawishi asaini na abakie.

2. Wapiga Gitaa watatu wa DLY Congo Music Band kupewa adhabu kimya kimya baada ya kudai chao.

3. Fedha kuisha huku Tajiri na Matajiri Tegemezi watatu wakigoma tena kuweka mzigo na kuwataka wajiendeshe wenyewe kwa sasa kwani na wao wana majukumu mengine.

ANGALIZO

Timu inayoongelewa hapa ni ya Avic Town Tumeishiwa Fedha FC sasa wewe kisokolokwinyo (kiherehere) jifanye unaihisi timu nyingine na uingie katika 18 zangu 'Nikurarueraure' ujute.

Na ukijijua kabisa kuwa humpendi GENTAMIYCINE na unamchukia hata kutamani afe tu na huvutiwi na taarifa zake pamoja na uwasilishaji wake kutokana na upumbavu, wivu na uwendawazimu wako uliokutukuka njia rahisi ni kuachana nae (nami) na uendelee kuwasoma na kuwafuatilia hao unaowaona ni bora kwako na unawakubali zaidi sawa?

Imeisha hiyo....................... Kudadadeki!!!
Kwani wakati Yanga inasajiri mwaka jana iliwatangazia kama hamkusubiri mpaka usiku wa manane siku ya mwisho kabisa?
 
Hamna kitu kinauma Duniani Kama unafanya Jambo ili adui yako aumia au atoke hadharani akujibu, Simba wanaume kutangaza lonyalonya zao huku wakiona Yanga wametulia hawana pressure 😀😀, wametambulisha weee lakini habari zao haziendi mjini..., Wqnazidiwa mpaka na tetesi ya no 6 wa yanga.
 
Kwa akili hizi bora waarabu,wainunue nchi nzima,maana imejaa wajinga wajinga tu
 
Kwa akili hizi bora waarabu,wainunue nchi nzima,maana imejaa wajinga wajinga tu
ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMIYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
 
Nina za moto moto kuhusu mambo makubwa matatu;

1. Mwamba kuwagomea kabisa na sasa Kiongozi Mstaafu kaombwa akutane naye ili amshawishi asaini na abakie.

2. Wapiga Gitaa watatu wa DLY Congo Music Band kupewa adhabu kimya kimya baada ya kudai chao.

3. Fedha kuisha huku Tajiri na Matajiri Tegemezi watatu wakigoma tena kuweka mzigo na kuwataka wajiendeshe wenyewe kwa sasa kwani na wao wana majukumu mengine.

ANGALIZO
Timu inayoongelewa hapa ni ya Avic Town Tumeishiwa Fedha FC sasa wewe kisokolokwinyo (kiherehere) jifanye unaihisi timu nyingine na uingie katika 18 zangu 'Nikurarueraure' ujute.

Na ukijijua kabisa kuwa humpendi GENTAMIYCINE na unamchukia hata kutamani afe tu na huvutiwi na taarifa zake pamoja na uwasilishaji wake kutokana na upumbavu, wivu na uwendawazimu wako uliokutukuka njia rahisi ni kuachana nae (nami) na uendelee kuwasoma na kuwafuatilia hao unaowaona ni bora kwako na unawakubali zaidi sawa?

Imeisha hiyo.

Kudadadeki!!!
Ndio maana hawana kokote wanapoenda mwaka jana walikuwa hapa hapa wakabahatisha final basi wanaona ni sawa kubaki tena Tanzania kwenye kambi wakati wenzao wote wanaenda pre season nje ila yanga bwana kwa propaganda ndio maana wamemuweka manara pale msomi mwenye PHD ya propaganda.
 
Nina za moto moto kuhusu mambo makubwa matatu;

1. Mwamba kuwagomea kabisa na sasa Kiongozi Mstaafu kaombwa akutane naye ili amshawishi asaini na abakie.

2. Wapiga Gitaa watatu wa DLY Congo Music Band kupewa adhabu kimya kimya baada ya kudai chao.

3. Fedha kuisha huku Tajiri na Matajiri Tegemezi watatu wakigoma tena kuweka mzigo na kuwataka wajiendeshe wenyewe kwa sasa kwani na wao wana majukumu mengine.

ANGALIZO
Timu inayoongelewa hapa ni ya Avic Town Tumeishiwa Fedha FC sasa wewe kisokolokwinyo (kiherehere) jifanye unaihisi timu nyingine na uingie katika 18 zangu 'Nikurarueraure' ujute.

Na ukijijua kabisa kuwa humpendi GENTAMIYCINE na unamchukia hata kutamani afe tu na huvutiwi na taarifa zake pamoja na uwasilishaji wake kutokana na upumbavu, wivu na uwendawazimu wako uliokutukuka njia rahisi ni kuachana nae (nami) na uendelee kuwasoma na kuwafuatilia hao unaowaona ni bora kwako na unawakubali zaidi sawa?

Imeisha hiyo.

Kudadadeki!!!
Duuu!!!

Tatizo timu inazalisha pesa kidogo matumiz makubwa na mchezaj anataka pesa mingi mpaka wadhamin wa kumlipa mshahara wanaogopa kudhamin
 
Nina za moto moto kuhusu mambo makubwa matatu;

1. Mwamba kuwagomea kabisa na sasa Kiongozi Mstaafu kaombwa akutane naye ili amshawishi asaini na abakie.

2. Wapiga Gitaa watatu wa DLY Congo Music Band kupewa adhabu kimya kimya baada ya kudai chao.

3. Fedha kuisha huku Tajiri na Matajiri Tegemezi watatu wakigoma tena kuweka mzigo na kuwataka wajiendeshe wenyewe kwa sasa kwani na wao wana majukumu mengine.

ANGALIZO
Timu inayoongelewa hapa ni ya Avic Town Tumeishiwa Fedha FC sasa wewe kisokolokwinyo (kiherehere) jifanye unaihisi timu nyingine na uingie katika 18 zangu 'Nikurarueraure' ujute.

Na ukijijua kabisa kuwa humpendi GENTAMIYCINE na unamchukia hata kutamani afe tu na huvutiwi na taarifa zake pamoja na uwasilishaji wake kutokana na upumbavu, wivu na uwendawazimu wako uliokutukuka njia rahisi ni kuachana nae (nami) na uendelee kuwasoma na kuwafuatilia hao unaowaona ni bora kwako na unawakubali zaidi sawa?

Imeisha hiyo.

Kudadadeki!!!
yanga tutatoboa vizuri hakuna shida subiri tu

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom