Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wenye kujitambua km mashabiki wa Simba habari zote tunazipata kupitia kwa semaji letu la viwango vyao FIFA, ktk akaunt rasmi za klabu za Instagram, Twita, Facebook na Simba app. Huku ndiko watu makini hupata habari na taarifa za klabu.Watakuja kukupinga wenzio
Chama ni Mzee, kwasasa umri umemtupa mkono kwenye namba anayocheza labda Kocha ambadilishe namba acheze namba 9 ama 10!Chama naye bhana! Angekuja kwa Wananchi, muda huu angekuwa na yeye amesha shonewa suti ya kuvaa siku ya kukabidhiwa rasmi ubingwa wa ligi kuu!
Ona sasa! Atajutia sana uamuzi wake wa kurudi kwenye timu ya tia maji tia maji.
Taarifa za chini ya uvungu ni kuwa kiungo mshambuliaji chama amerudi kwao kwanza sababu ya mgogoro wake na simba.
Ikiwa ni swala la yeye kutoiva na kocha hatari kutoka real Madrid Pablo franco, Ukiachana na wao wawili kupigana majuzi baada ya derby dhidi ya yanga.
Pia inaelezwa kwamba simba bado hawajammalizia ada yake ya usajiri na mchezaji husika anataka pesa yake yote..
Kutokana na simba wenyewe hali yao ya kiuchumi kuwa ya mushkeli kidogo na hata kupelekea kuanza kuchangisha hela kwa mashabiki za usajiri.(kutembeza bakuli).
NB; ikiwezekana kwa anayebisha hebu alete uthibitisho kwamba jamaa bado yupo hapa bongo.
View attachment 2213887
Mkuu , huu muda mnaoutumia kueneza hizi propoganda zenu ambazo hazina kichwa wala miguu , mngekuwa mnautumia kutengeneza kitimu chenu ili kisilitie tena taifa aibu ya kupigwa tena nje ndani kama ilivyokuwa kwa pyramids mwaka juzi na Rivers mwaka huu si ingekuwa vizuri zaidi?Taarifa za chini ya uvungu ni kuwa kiungo mshambuliaji chama amerudi kwao kwanza sababu ya mgogoro wake na simba.
Ikiwa ni swala la yeye kutoiva na kocha hatari kutoka real Madrid Pablo franco, Ukiachana na wao wawili kupigana majuzi baada ya derby dhidi ya yanga.
Pia inaelezwa kwamba simba bado hawajammalizia ada yake ya usajiri na mchezaji husika anataka pesa yake yote..
Kutokana na simba wenyewe hali yao ya kiuchumi kuwa ya mushkeli kidogo na hata kupelekea kuanza kuchangisha hela kwa mashabiki za usajiri.(kutembeza bakuli).
NB; ikiwezekana kwa anayebisha hebu alete uthibitisho kwamba jamaa bado yupo hapa bongo.
View attachment 2213887
Wameshazoea hao mkuu,wao huwa wanatamba bongo tuMkuu , huu muda mnaoutumia kueneza hizi propoganda zenu ambazo hazina kichwa wala miguu , mngekuwa mnautumia kutengeneza kitimu chenu ili kisilitie tena taifa aibu ya kupigwa tena nje ndani kama ilivyokuwa kwa pyramids mwaka juzi na Rivers mwaka huu si ingekuwa vizuri zaidi?
Endeleeni , lakini siku mkipigwa nje ndani tusilaumiane.
na wewe umeamini kabisa? 😆Changia changia imeanza kumbe, sijawai kuona klabu inayojinasibu kuwa ni tajiri inatembeza bakuli kwa ajiri ya usajili, michango ya tu wameshindwa sembuse michango ya kusajiri wachezaji
Mkuu , kule Yanga waliotajwa kwamba Wana akili ni wawili tu , Sunday Manara na Mzee Kikwete.Sasa kwanini yeye asiamini wakati Yuko kwenye lile kundi la wengi wasio na akili?na wewe umeamini kabisa? [emoji38]
Chama na ajibu ni mapacha wa mimba mbili tofautiChama naye bhana! Angekuja kwa Wananchi, muda huu angekuwa na yeye amesha shonewa suti ya kuvaa siku ya kukabidhiwa rasmi ubingwa wa ligi kuu!
Ona sasa! Atajutia sana uamuzi wake wa kurudi kwenye timu ya tia maji tia maji.
Sidhani kama kuna mchezaji mwenye akili timamu anayetamani mafakio kisoka atatamani kusajiliwa utopoloni timu ambayo ni mechi mbili tu za kimataifa Chali ,tena kwa kukung'utwa nje ndani.Chama naye bhana! Angekuja kwa Wananchi, muda huu angekuwa na yeye amesha shonewa suti ya kuvaa siku ya kukabidhiwa rasmi ubingwa wa ligi kuu!
Ona sasa! Atajutia sana uamuzi wake wa kurudi kwenye timu ya tia maji tia maji.
Hizi ndio akili za vibwengoTaarifa za chini ya uvungu ni kuwa kiungo mshambuliaji chama amerudi kwao kwanza sababu ya mgogoro wake na simba.
Ikiwa ni swala la yeye kutoiva na kocha hatari kutoka real Madrid Pablo franco, Ukiachana na wao wawili kupigana majuzi baada ya derby dhidi ya yanga.
Pia inaelezwa kwamba simba bado hawajammalizia ada yake ya usajiri na mchezaji husika anataka pesa yake yote..
Kutokana na simba wenyewe hali yao ya kiuchumi kuwa ya mushkeli kidogo na hata kupelekea kuanza kuchangisha hela kwa mashabiki za usajiri.(kutembeza bakuli).
NB; ikiwezekana kwa anayebisha hebu alete uthibitisho kwamba jamaa bado yupo hapa bongo.
View attachment 2213887
Kwahiyo huyu alieandika ni kocha au kiongozi wa Yanga ili afanye maandalizi uliyoyasema?Mkuu , huu muda mnaoutumia kueneza hizi propoganda zenu ambazo hazina kichwa wala miguu , mngekuwa mnautumia kutengeneza kitimu chenu ili kisilitie tena taifa aibu ya kupigwa tena nje ndani kama ilivyokuwa kwa pyramids mwaka juzi na Rivers mwaka huu si ingekuwa vizuri zaidi?
Endeleeni , lakini siku mkipigwa nje ndani tusilaumiane.
Na bado hawasikitishwi na kupigwa nje ndaniSidhani kama kuna mchezaji mwenye akili timamu anayetamani mafakio kisoka atatamani kusajiliwa utopoloni timu ambayo ni mechi mbili tu za kimataifa Chali ,tena kwa kukung'utwa nje ndani.
Watuambie pesa tulizochanga za kujengea uwanja zipo wapi na zimefika kiasi ganTaarifa za chini ya uvungu ni kuwa kiungo mshambuliaji chama amerudi kwao kwanza sababu ya mgogoro wake na simba.
Ikiwa ni swala la yeye kutoiva na kocha hatari kutoka real Madrid Pablo franco, Ukiachana na wao wawili kupigana majuzi baada ya derby dhidi ya yanga.
Pia inaelezwa kwamba simba bado hawajammalizia ada yake ya usajiri na mchezaji husika anataka pesa yake yote..
Kutokana na simba wenyewe hali yao ya kiuchumi kuwa ya mushkeli kidogo na hata kupelekea kuanza kuchangisha hela kwa mashabiki za usajiri.(kutembeza bakuli).
NB; ikiwezekana kwa anayebisha hebu alete uthibitisho kwamba jamaa bado yupo hapa bongo.
View attachment 2213887