Hata anunue mbingu hawezi kumzidi kipaji Ali .
Alisikika shabiki mmoja wa team kiba! [emoji1787][emoji2089][emoji2089]
By Mzilankende
Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sana
Kama yapi?Ha ha mtu ananunua magari used from bongo ndio anunue ndege?
Well deserved...haijalishi yakwake au ya kukodi...mondi kaibadili bongo kwenye ramani ya mziki na heshima zote tunampa (japo mi team kibakuli)
Ndege si bei ghali tatizo ni maintanance cost
Tulia Wewe Unateseka Na Nini Watu Wakitoa MaoniFact bro
Tatizo watu waliokosa Direction ya Maisha ndo always wanaponda na kutukana hovyo
That’s how it is supposed to be especially taking into consideration where he came from. Pamoja na mawenge yake ya kuzaa huku na kule bila kuoa wakati yeye anaruhuswa kuoa hadi wanne. I admire his confidence and efforts to attract more fans all over the World.
Ha ha mtu ananunua magari used from bongo ndio anunue ndege?
Yaani una akili finyu sana kijana, sawa Diamond atanunua hiyo ndege for himself na familia yake, wewe unafaidika na nini?
Kwani kupanga ndio kutokuwa na uwezo wa kumiliki nyumba? Sababu hata akinunua nyumba mtasema si yako,mtasema "tunataka hati",ila wasanii wengine wakionyesha nyumba zao hamdai hati.
Mtu awe na nyumba South na juzi alipost nyumba kubwa tu ya kisasa Sinza na 45% ya hisa za Wasafi media ashindwe kujenga nyumba? Ila si shangai akili za Mange.
Kuhusu ndege hata mimi nasubiria ndio maana sikuongea chochote nimebaki kuwa Thomaso.
Na wewe utanunua lini baiskeli ?
Au wewe uchawa unakutosha kabusa.
Kama yapi?
Tulia Wewe Unateseka Na Nini Watu Wakitoa Maoni
Mbona Uchawa Unakushinda
Umelegeza Mashavu Hii Thread Unataka Wote Wawe Na Mtazamo Kama Wako, Kazi Ya Ukupe InakushindaOkay miss
Umelegeza Mashavu Hii Thread Unataka Wote Wawe Na Mtazamo Kama Wako, Kazi Ya Ukupe Inakushinda
Kijana anastahili kabisa kufanya anayofanya, ni watu wasiompenda ndiyo hupinga kila kijana huyu analofanya. Na pia maneno ya vijiweni na wapuuzi kadhaa waliopata majina kupitia huyu kijana ndiyo wanaaminisha raia wenye uwezo mdogo kuwa kijana si lolote katika swala la cash. Lakini mambo mengine yanahitaji muda kuelewa na kuyakubali, kiufupi kijana anamchango mkubwa katika tasnia ya muziki Tanzania mpka ilipofika sasa. Na wasanii wenyewe wanalijua hilo ingawa ni mara chache kulisema hadharani. Mm naisubir tu nione mapokezi ya ndege hiyo.