Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,676
- 4,693
Kuelekea dirisha dogo Disembe 15, licha ya tetesi kuwa mitaa ya Msimbazi hali si hali, habari zikufikie kuwa wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba SC.
~ Lobi Manzoki 100% done.
~ Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.
~ Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.
~ Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.
@Mbaban December 13,2022.
~ Lobi Manzoki 100% done.
~ Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.
~ Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.
~ Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.
@Mbaban December 13,2022.