Tetesi: ZA NDANI KABISA: Wachezaji wafuatao kuelekea Simba

Tetesi: ZA NDANI KABISA: Wachezaji wafuatao kuelekea Simba

Mbabani

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,676
Reaction score
4,693
Kuelekea dirisha dogo Disembe 15, licha ya tetesi kuwa mitaa ya Msimbazi hali si hali, habari zikufikie kuwa wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba SC.

~ Lobi Manzoki 100% done.

~ Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.

~ Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.

~ Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.


@Mbaban December 13,2022.
FB_IMG_16709239520195174.jpg
 
Kuelekea dirisha dogo disembe 15, licha ya tetesi kua mitaa ya msimazi hali si hali habari zikufikie kua wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba Sc.

Lobi Manzoki 100% Done.

Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.

Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.

Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.


@Mbaban December 13,2022.
View attachment 2444933
Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?

Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?

Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?

Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?

Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!


NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
 
Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?

Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?

Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?

Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?

Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!


NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
unajikuta mjaaaanja..! KUMBE NI KAMA MBUZI MZEE AKILA MAJANI YA MIHOGO.
 
"Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?"

Huyu amezeeka.
 
Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?

Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?

Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?

Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?

Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!


NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
Mwamedi janja janja sana hiyo made in Bombay.
 
Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?

Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?

Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?

Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?

Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!


NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
Usisahau usajili ni kamari. Wapo majina makubwa wanasajiliwa wakashindwa kutamba na wapo majina madogo wakatamba.

Ulitegemea Makambo wa Yanga angechemsha licha ya kuwa ameshawahi kucheza Yanga hapo kabla na ligi anaifahamu.!?
 
Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?

Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?

Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?

Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?

Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!


NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
We jamaa unaipenda sana simba
 
Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?

Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?

Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?

Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?

Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!


NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
Tuje kule kwako je kambole kadeliver kile mlichotarajia? Kisinda? Sogne au ni nyani haoni kundule ndugu yangu
 
Kuelekea dirisha dogo Disembe 15, licha ya tetesi kuwa mitaa ya Msimbazi hali si hali, habari zikufikie kuwa wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba SC.

~ Lobi Manzoki 100% done.

~ Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.

~ Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.

~ Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.


@Mbaban December 13,2022.
View attachment 2444933
UMENIKUMBUSHA NYIMBO YA SUNDAY SCHOOL

JIPE.MOYOO JIPE.MOYOOO
JIPE.MOYOI UTASHINNDAAAA
 
Ndiyo maana baada ya kuona Lazarus Kambole hayuko fit kwa 100%, tulimpiga kushoto! Na nafasi kuchukuliwa na Tuisila Kisinda, ambaye mwanzoni mwa msimu alianza kwa kujikongoja! Ila kwa sasa gari limeshaanza kuchanganya. Anafunga magoli, anatoa assist!! Ameanza kucheza kitimu! Ana utulivu, nk.

Na kuhusu Yacouba Sogne; huyu hana mjadala. Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye timu. Ni majeraha tu ya muda mrefu ndiyo yaliyomtoa kikosini.

Any question please...!!
Umejibu kisomi sana mzee mwenzangu.. ila kutokana na umbumbumbu wao hawawezi kukuelewa
 
Back
Top Bottom