Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hakuna uzi wa Simba uwekwe asichangie..any way kuna muda anachangia vina mantiki...ila mara nyingi ni kupondeaWe jamaa unaipenda sana simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uzi wa Simba uwekwe asichangie..any way kuna muda anachangia vina mantiki...ila mara nyingi ni kupondeaWe jamaa unaipenda sana simba
Nyie mna basi gani ambalo ni mali ya utopolo ukiachana na lile mliopewa msaada na kilimanjaro premium lager?Nunueni basi kwanza acheni kudandia coster
La kwenu hata la kupewa liko wapi?Nyie mna basi gani ambalo ni mali ya utopolo ukiachana na lile mliopewa msaada na kilimanjaro premium lager?
Umeona eeh... Yaani haipiti siku utasikia manzoki manzoki... Utadhani ni mchezaji Bora kama MessiIla huyo Manzoki mnamchezesha mno mdomoni mpk aje acheze hapa atakua ameshakua screpa.
Coaster ni zetu tumenunua kwa pesa yetu kama clubLa kwenu hata la kupewa liko wapi?
Endeleeni kudandia Costa za manzese
Costa za manzese si hata feitoto ananunua?Coaster ni zetu tumenunua kwa pesa yetu kama club
Je lile tata ni la kwenu au mdhamini wenu ambae ni gsm? Fungua bongo utopolo wewe
Unamsea mwanaume mwenzio?Costa za manzese si hata feitoto ananunua?
Zina thamani gani sasa?
Povu jiiingiii....manzoki haji,wanakuchezea akili tuUnamsea mwanaume mwenzio?
Nilidhani ungesema hata wewe uwezo unao kumbe apeche alolo shez kabsa
Wewe umesema macosta ya kwenu umenunua? Vitu vya wanaume wenzako unajipendekezaUnamsea mwanaume mwenzio?
Nilidhani ungesema hata wewe uwezo unao kumbe apeche alolo shez kabsa
Umeumia?Povu jiiingiii....manzoki haji,wanakuchezea akili tu
Alieleta habari za coaster humu ndani nani kama sio wewe? Unazidi kudhihirisha jinsi gani ulivyo nyani na mbwa unapenda kubweka bweka hovyoWewe umesema macosta ya kwenu umenunua? Vitu vya wanaume wenzako unajipendekeza
Utaolewa tahira wewe
Isije ikawa nabishana na teja? Au madawa ya kulevya yamekupanda kichwani?Alieleta habari za coaster humu ndani nani kama sio wewe? Unazidi kudhihirisha jinsi gani ulivyo nyani na mbwa unapenda kubweka bweka hovyo
Katoe mwiko kwanza huko nyuma unakuchanganya akili
Toa mwiko huko nyuma kwanzaIsije ikawa nabishana na teja? Au madawa ya kulevya yamekupanda kichwani?
Niumie na tetesi za manzoki kuacha hela ndefu china kuja kucheza liti!?..ni ujinga kuamini labda Kama manzoki kavunjiwa mkataba na wachinaUmeumia?
Kwani hata akicheza ihefu shida iko wapi si maisha yake? Au ulitaka habari ziwe anakuja utopoloni ungefurahiNiumie na tetesi za manzoki kuacha hela ndefu china kuja kucheza liti!?..ni ujinga kuamini labda Kama manzoki kavunjiwa mkataba na wachina
Anatafuta hela siyo kufurahisha watu,we endelea na kibuKwani hata akicheza ihefu shida iko wapi si maisha yake? Au ulitaka habari ziwe anakuja utopoloni ungefurahi
Nyani kabisa wewe tena wa luc eymael
Usisahau usajili ni kamari. Wapo majina makubwa wanasajiliwa wakashindwa kutamba na wapo majina madogo wakatamba.
Ulitegemea Makambo wa Yanga angechemsha licha ya kuwa ameshawahi kucheza Yanga hapo kabla na ligi anaifahamu.!?