Tetesi: ZA NDANI KABISA: Wachezaji wafuatao kuelekea Simba

Tetesi: ZA NDANI KABISA: Wachezaji wafuatao kuelekea Simba

Ndiyo maana baada ya kuona Lazarus Kambole hayuko fit kwa 100%, tulimpiga kushoto! Na nafasi kuchukuliwa na Tuisila Kisinda, ambaye mwanzoni mwa msimu alianza kwa kujikongoja! Ila kwa sasa gari limeshaanza kuchanganya. Anafunga magoli, anatoa assist!! Ameanza kucheza kitimu! Ana utulivu, nk.

Na kuhusu Yacouba Sogne; huyu hana mjadala. Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye timu. Ni majeraha tu ya muda mrefu ndiyo yaliyomtoa kikosini.

Any question please...!!
Mbna kambole yupo avic town alionekana siku wa kumuaga yule daktari wenu?
 

Attachments

  • 2423C884-70C3-4FC6-AA4C-1D7E9FBCC0AD.jpeg
    2423C884-70C3-4FC6-AA4C-1D7E9FBCC0AD.jpeg
    55.4 KB · Views: 6
Umejibu kisomi sana mzee mwenzangu.. ila kutokana na umbumbumbu wao hawawezi kukuelewa
Kajibu kisomi wapi kaandika upupu mtupu kambole huyu hapa siku ya kuagwa daktari wenu wa timu kisinda pia akiwepo
Mkiambiwa hamna akili tunakosea?
 

Attachments

  • B077C2A9-9092-4050-8C97-4A7B498ADB35.jpeg
    B077C2A9-9092-4050-8C97-4A7B498ADB35.jpeg
    55.4 KB · Views: 6
Ndiyo maana baada ya kuona Lazarus Kambole hayuko fit kwa 100%, tulimpiga kushoto! Na nafasi kuchukuliwa na Tuisila Kisinda, ambaye mwanzoni mwa msimu alianza kwa kujikongoja! Ila kwa sasa gari limeshaanza kuchanganya. Anafunga magoli, anatoa assist!! Ameanza kucheza kitimu! Ana utulivu, nk.

Na kuhusu Yacouba Sogne; huyu hana mjadala. Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye timu. Ni majeraha tu ya muda mrefu ndiyo yaliyomtoa kikosini.

Any question please...!!
Kama wewe umeweza kuwapiga chini, atashindwa Simba!? Kwani Perfect Chikwende aliachwa na Yanga!?
 
Mbna kambole yupo avic town alionekana siku wa kumuaga yule daktari wenu?
Kwa hiyo kuwepo kwake kwenye hiyo picha, tayari ni uthibitisho wa yeye kuwepo kwenye kikosi cha Yanga cha msimu huu!
 
Kuelekea dirisha dogo Disembe 15, licha ya tetesi kuwa mitaa ya Msimbazi hali si hali, habari zikufikie kuwa wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba SC.

~ Lobi Manzoki 100% done.

~ Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.

~ Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.

~ Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.


@Mbaban December 13,2022.
View attachment 2444933
Munachokijua ni kuongopeana tu.
 
Kuelekea dirisha dogo Disembe 15, licha ya tetesi kuwa mitaa ya Msimbazi hali si hali, habari zikufikie kuwa wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba SC.

~ Lobi Manzoki 100% done.

~ Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.

~ Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.

~ Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.


@Mbaban December 13,2022.
View attachment 2444933
Manzoki huyuhuyu?
 

Attachments

  • IMG-20221213-WA0004.jpg
    IMG-20221213-WA0004.jpg
    49.4 KB · Views: 5
Ndiyo maana baada ya kuona Lazarus Kambole hayuko fit kwa 100%, tulimpiga kushoto! Na nafasi kuchukuliwa na Tuisila Kisinda, ambaye mwanzoni mwa msimu alianza kwa kujikongoja! Ila kwa sasa gari limeshaanza kuchanganya. Anafunga magoli, anatoa assist!! Ameanza kucheza kitimu! Ana utulivu, nk.

Na kuhusu Yacouba Sogne; huyu hana mjadala. Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye timu. Ni majeraha tu ya muda mrefu ndiyo yaliyomtoa kikosini.

Any question please...!!
Makambo?
 
Wachezaji mliowaleta kwa mbwembwe akaishia kula pension, umewataja ambao wanaonesha uhai kiasi ila huyu hautaki kusema kuwa mmeleta mzigo
Ila mada inaongelea usajili wa simba kwenye dirisha dogo. Na mimi nilijaribu tu kuwachambua hao wachezaji waliotajwa na mtoa mada.

Sasa huku kwa wachezaji wa Yanga, mbona kama tunatoka nje ya mada!!
 
Ila mada inaongelea usajili wa simba kwenye dirisha dogo. Na mimi nilijaribu tu kuwachambua hao wachezaji waliotajwa na mtoa mada.

Sasa huku kwa wachezaji wa Yanga, mbona kama tunatoka nje ya mada!!
.
 
Ila mada inaongelea usajili wa simba kwenye dirisha dogo. Na mimi nilijaribu tu kuwachambua hao wachezaji waliotajwa na mtoa mada.

Sasa huku kwa wachezaji wa Yanga, mbona kama tunatoka nje ya mada!!
Hakuna tatizo kuwachambua, ila ukweli ni huo usajili ni Kamari. Unaweza kula au ukaliwa. Simba haitakuwa ya kwanza. Kama ambavyo Yanga tumeliwa kwenye kamari ya Makambo.
 
Kwa hiyo kuwepo kwake kwenye hiyo picha, tayari ni uthibitisho wa yeye kuwepo kwenye kikosi cha Yanga cha msimu huu!
Kwani uongo si mnae ila mmemfungia ndani kama msukule mna mlisha unga na mlitudangaya sisi mashabiki wenu wa utopolo kambole mmemuuza wazito fc 😂😂
Nyani fc tunachezewa sana mnchogopa nyie mkimjumuisha official mtapigwa ban ya kusajili kwa kuzidisha usajili wa wachezaji wa kigeni kama mlivyokuw mnalia lia kumuongeza kisinda mumtoe kambole na tff wakawabania
 
Back
Top Bottom