3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Habari za manzoki zimekumiza sanaAnatafuta hela siyo kufurahisha watu,we endelea na kibu
Kanywe panadol ulale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za manzoki zimekumiza sanaAnatafuta hela siyo kufurahisha watu,we endelea na kibu
Utadhani kaweka notification,ukija tu uzi wa Simba unamuona huyu hapa na style yake ya maandishi ya Italic [emoji3][emoji3].Hakuna uzi wa Simba uwekwe asichangie..any way kuna muda anachangia vina mantiki...ila mara nyingi ni kupondea
Kisinda ana magoli mangapi hayo anayofunga kwenye ligi? Na ana assist ngapi kwenye ligi ya NBC?Ndiyo maana baada ya kuona Lazarus Kambole hayuko fit kwa 100%, tulimpiga kushoto! Na nafasi kuchukuliwa na Tuisila Kisinda, ambaye mwanzoni mwa msimu alianza kwa kujikongoja! Ila kwa sasa gari limeshaanza kuchanganya. Anafunga magoli, anatoa assist!! Ameanza kucheza kitimu! Ana utulivu, nk.
Na kuhusu Yacouba Sogne; huyu hana mjadala. Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye timu. Ni majeraha tu ya muda mrefu ndiyo yaliyomtoa kikosini.
Any question please...!!
Anajaribu kujipoza maumivu ya moyo baada ya kusikia HabarI za manzokiKisinda ana magoli mangapi hayo anayofunga kwenye ligi? Na ana assist ngapi kwenye ligi ya NBC?
Mzungu yuko wapiWachezaji mliowaleta kwa mbwembwe akaishia kula pension, umewataja ambao wanaonesha uhai kiasi ila huyu hautaki kusema kuwa mmeleta mzigo
maswali muhimu haya, shida ni kwamba Watz hatujazoea kujibu maswali kama hayaJe, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?
Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?
Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?
Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?
Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!
NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti kisinda gari limewaka dahNdiyo maana baada ya kuona Lazarus Kambole hayuko fit kwa 100%, tulimpiga kushoto! Na nafasi kuchukuliwa na Tuisila Kisinda, ambaye mwanzoni mwa msimu alianza kwa kujikongoja! Ila kwa sasa gari limeshaanza kuchanganya. Anafunga magoli, anatoa assist!! Ameanza kucheza kitimu! Ana utulivu, nk.
Na kuhusu Yacouba Sogne; huyu hana mjadala. Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye timu. Ni majeraha tu ya muda mrefu ndiyo yaliyomtoa kikosini.
Any question please...!!