Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?Kuelekea dirisha dogo disembe 15, licha ya tetesi kua mitaa ya msimazi hali si hali habari zikufikie kua wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba Sc.
Lobi Manzoki 100% Done.
Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.
Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.
Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.
@Mbaban December 13,2022.
View attachment 2444933
unajikuta mjaaaanja..! KUMBE NI KAMA MBUZI MZEE AKILA MAJANI YA MIHOGO.Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?
Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?
Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?
Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?
Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!
NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
Mwamedi janja janja sana hiyo made in Bombay.Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?
Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?
Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?
Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?
Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!
NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
Hiki ulichokiandika hapa kina uhusiano wowote ule na mada iliyo mezani? Au ndiyo madawa yameshakuvuruga kichwani?unajikuta mjaaaanja..! KUMBE NI KAMA MBUZI MZEE AKILA MAJANI YA MIHOGO.
Usisahau usajili ni kamari. Wapo majina makubwa wanasajiliwa wakashindwa kutamba na wapo majina madogo wakatamba.Je, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?
Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?
Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?
Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?
Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!
NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
We jamaa unaipenda sana simbaJe, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?
Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?
Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?
Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?
Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!
NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
Fakeni kimya, nyani mbwa unae bweka bweka hovyo fakeni kinyesi kilichojaa kwenye pichu zenuWana simba mnachezewa akili kama mazuzu na mnakubali fakeni mikia
Tuje kule kwako je kambole kadeliver kile mlichotarajia? Kisinda? Sogne au ni nyani haoni kundule ndugu yanguJe, Mo yupo tayari kutoa milioni 600 za kumrejesha huyo Luis Miquesson Simba?
Je, usajili wa Mudathir Yahya una tofauti gani na ule wa Victor Akpan?
Je, Saido Ntibazonkiza na yeye ni mchezaji kweli wa kuitoa timu hapo ilipo?
Je, mkataba wa huyo Lobi Manzoki na hiyo timu yake ya Uchina unafahamika kiasi cha kuweza kumsajili kwenye hili dirisha dogo?
Au ndiyo mashabiki wanaendelea kuchezewa shere na viongozi wao!!
NB: timu isipofanya usajili wa kueleweka kwenye hili dirisha dogo, basi nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi, haikwepeki.
Ongezea na ujio mpya wa Makambo hapo.Tuje kule kwako je kambole kadeliver kile mlichotarajia? Kisinda? Sogne au ni nyani haoni kundule ndugu yangu
Unajuwa kuwa jibu vzr san wapumbavuHiki ulichokiandika hapa kina uhusiano wowote ule na mada iliyo mezani? Au ndiyo madawa yameshakuvuruga kichwani?
UMENIKUMBUSHA NYIMBO YA SUNDAY SCHOOLKuelekea dirisha dogo Disembe 15, licha ya tetesi kuwa mitaa ya Msimbazi hali si hali, habari zikufikie kuwa wachezaji hawa wafuatao wanaelekea Simba SC.
~ Lobi Manzoki 100% done.
~ Luis Miquesson 75% amekubali kupunguza mshahahara.
~ Saido Ntibanzokiza 51% kuna mambo ya kukaa kambini na mshahara.
~ Mudathir Yahaya 45% kuna vitu kidogo havijakaa sawa.
@Mbaban December 13,2022.
View attachment 2444933
Umejibu kisomi sana mzee mwenzangu.. ila kutokana na umbumbumbu wao hawawezi kukuelewaNdiyo maana baada ya kuona Lazarus Kambole hayuko fit kwa 100%, tulimpiga kushoto! Na nafasi kuchukuliwa na Tuisila Kisinda, ambaye mwanzoni mwa msimu alianza kwa kujikongoja! Ila kwa sasa gari limeshaanza kuchanganya. Anafunga magoli, anatoa assist!! Ameanza kucheza kitimu! Ana utulivu, nk.
Na kuhusu Yacouba Sogne; huyu hana mjadala. Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye timu. Ni majeraha tu ya muda mrefu ndiyo yaliyomtoa kikosini.
Any question please...!!