Tetesi: ZA NDANI KABISA: Wachezaji wafuatao kuelekea Simba

Mbna kambole yupo avic town alionekana siku wa kumuaga yule daktari wenu?
 

Attachments

  • 2423C884-70C3-4FC6-AA4C-1D7E9FBCC0AD.jpeg
    55.4 KB · Views: 6
Umejibu kisomi sana mzee mwenzangu.. ila kutokana na umbumbumbu wao hawawezi kukuelewa
Kajibu kisomi wapi kaandika upupu mtupu kambole huyu hapa siku ya kuagwa daktari wenu wa timu kisinda pia akiwepo
Mkiambiwa hamna akili tunakosea?
 

Attachments

  • B077C2A9-9092-4050-8C97-4A7B498ADB35.jpeg
    55.4 KB · Views: 6
Kama wewe umeweza kuwapiga chini, atashindwa Simba!? Kwani Perfect Chikwende aliachwa na Yanga!?
 
Mbna kambole yupo avic town alionekana siku wa kumuaga yule daktari wenu?
Kwa hiyo kuwepo kwake kwenye hiyo picha, tayari ni uthibitisho wa yeye kuwepo kwenye kikosi cha Yanga cha msimu huu!
 
Munachokijua ni kuongopeana tu.
 
Manzoki huyuhuyu?
 

Attachments

  • IMG-20221213-WA0004.jpg
    49.4 KB · Views: 5
Makambo?
 
Wachezaji mliowaleta kwa mbwembwe akaishia kula pension, umewataja ambao wanaonesha uhai kiasi ila huyu hautaki kusema kuwa mmeleta mzigo
Ila mada inaongelea usajili wa simba kwenye dirisha dogo. Na mimi nilijaribu tu kuwachambua hao wachezaji waliotajwa na mtoa mada.

Sasa huku kwa wachezaji wa Yanga, mbona kama tunatoka nje ya mada!!
 
Ila mada inaongelea usajili wa simba kwenye dirisha dogo. Na mimi nilijaribu tu kuwachambua hao wachezaji waliotajwa na mtoa mada.

Sasa huku kwa wachezaji wa Yanga, mbona kama tunatoka nje ya mada!!
.
 
Ila mada inaongelea usajili wa simba kwenye dirisha dogo. Na mimi nilijaribu tu kuwachambua hao wachezaji waliotajwa na mtoa mada.

Sasa huku kwa wachezaji wa Yanga, mbona kama tunatoka nje ya mada!!
Hakuna tatizo kuwachambua, ila ukweli ni huo usajili ni Kamari. Unaweza kula au ukaliwa. Simba haitakuwa ya kwanza. Kama ambavyo Yanga tumeliwa kwenye kamari ya Makambo.
 
Kwa hiyo kuwepo kwake kwenye hiyo picha, tayari ni uthibitisho wa yeye kuwepo kwenye kikosi cha Yanga cha msimu huu!
Kwani uongo si mnae ila mmemfungia ndani kama msukule mna mlisha unga na mlitudangaya sisi mashabiki wenu wa utopolo kambole mmemuuza wazito fc 😂😂
Nyani fc tunachezewa sana mnchogopa nyie mkimjumuisha official mtapigwa ban ya kusajili kwa kuzidisha usajili wa wachezaji wa kigeni kama mlivyokuw mnalia lia kumuongeza kisinda mumtoe kambole na tff wakawabania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…