Za ndani ni kuwa Ole Sabaya anaenda kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam

Usingeweka maelekezo mengi ningeamini kuwa 100% true maana CCM wote ni wasafi.
Ila kwa maelezo mengi nimegundua kuwa hii ni campaign iliyoanzia juu.
Acheni kuchaguana vima nyie
 
Ccm wanalindana hawatupani
 
Wewe ni Mtanzania?
 
Mmeanza, Chalamila is better, na hata kunenge arudishwe na yule mama wa kigoma hata queen wa Manyara. Ikishindwa kupata viongozi si Bora watutupie lijamaa linaitwa sukuma, hawana watu Tena hayo majamaa
Tunamtaka na yule ex Mara RC mkulima maarufu wa nyanya
 
Hatushangai majambazi kupewa vyeo, ndo ccm yetu hiyo Kwao Madaraka ni muhimu kuliko uadilfu na maendeleo
 
Hatushangai majambazi kupewa vyeo, ndo ccm yetu hiyo Kwao Madaraka ni muhimu kuliko uadilfu na maendeleo
CCM ni ukoo wa panya....kila mtu mi jambazi kuanzia babu hadi kitukuu.
 
Ukweli ni kwamba chalamila ni mgonjwa wa akili bila shaka yoyote
Ndio maana mama kamsoma mapema ameamua kumuondoa na kumuweka comrade Ole Sabaya.
 
Sabaya ni mfungwa hata kama anatumikia kifungo cha nje, kwa kuandikwa kwake hapa, sitegemei apewe hicho cheo hata kama huo mpango ulikuwepo, mambo kwake yameshaharibika.
Mahakama imemkuta hana hatia mkuu. Alisingiziwa na Mwendazake.
 
Huyu ni mtu asiyetafakari mambo kabla ya kuongea kama alivyokuwa RC Chipungahelo miaka ya 90s
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…