Za ndani ni kuwa Ole Sabaya anaenda kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam

Za ndani ni kuwa Ole Sabaya anaenda kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam

Kwamba nchi hii ina viongozi wapuuzi kiasi hicho cha kukosa wa kuiongoza Dar mpaka wamteue Sabaya, labda kama kama unamaanisha Uteuzi wa kiongozi wa genge la wahalifu jijini Dar.
Kama Kuna hata jaribio au fikra tu ya namna hiyo ngoja Wazungu watuite uncivilized baboon, maana hata nyani wa kawaida hawezi kufanya hivyo. Ni nyani asiyestaarabika tu ndio anaweza kunajisi nchi hivyo ila kwa Rais wetu hawezi nafikir kufanya hiyo dhambi.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.
Ndg tuwe watulivu tutamuharibia ndg yetu Sabaya
 
Kwamba nchi hii ina viongozi wapuuzi kiasi hicho cha kukosa wa kuiongoza Dar mpaka wamteue Sabaya, labda kama kama unamaanisha Uteuzi wa kiongozi wa genge la wahalifu jijini Dar.
Kama Kuna hata jaribio au fikra tu ya namna hiyo ngoja Wazungu watuite uncivilized baboon, maana hata nyani wa kawaida hawezi kufanya hivyo. Ni nyani asiyestaarabika tu ndio anaweza kunajisi nchi hivyo ila kwa Rais wetu hawezi nafikir kufanya hiyo dhambi.
Kama makonda kaweza kwann sabaya
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.
𝚄𝚖𝚎𝚖𝚊𝚕𝚒𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚋𝚠𝚊𝚋𝚠𝚊𝚓𝚊 𝚊𝚞 𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚖𝚎𝚗𝚐𝚒𝚗𝚎?!
 
Safi sana ili chaguzi za 2024 na 2025 tupige kura za hasira.

Miaka 62 ya Uhuru nchi kila mahala shida.
Nchi imenajisiwa Sana
Laana kum

Toba tu ndiyo suluhuu ya nchi hii

Raisi Sulu kasahau lengo la Mungu kumpa nafasi hii

Kifupi kalewa madaraka
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.
Ndo keshakosa tena
 
Kama makonda kaweza kwann sabaya
Makonda ni Mkuu wa mkoa gani sasa hivi? Usije ukawa unaongelea msemaji wa chama fulani...Kuna Mtaalamu mmoja ashasema mjinga mmoja ni mjinga na wajinga 10 ni wajinga 10 ila wakishavuka kama 1500 ujue hicho ni Chama Cha Siasa, kwahiyo kwa tafsir hiyo hicho Chama kinaweza kumteua mjinga mwenzao kuwa kiongozi wa hicho kikundi cha wajinga.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.
Binafsi nitamshangaa na kumuona Rais wa ajabu na hovyo zaidi akizifanya tetezi hizi kuwa kweli..

Lakini inawezekana pia kuwa, pengine huko CCM na miongoni mwa watanzania 60,000,000+ na watumishi wa umma zaidi ya 600,000+ Rais Samia haoni yeyote wa kuweza kushika nafasi kama hizi serikalini isipokuwa mtu mmoja tu aliyekwisha kuchafuka kwa tabia yake ya uhalifu wa matumizi mabaya ya madaraka ya uongozi wa umma aitwaye Ole Lengai Sabaya..!!
 
𝚄𝚖𝚎𝚖𝚊𝚕𝚒𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚋𝚠𝚊𝚋𝚠𝚊𝚓𝚊 𝚊𝚞 𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚖𝚎𝚗𝚐𝚒𝚗𝚎?!
Tulia sindano ziingie vizuri akili ikurudie mkuu
 
Binafsi nitamshangaa na kumuona Rais wa ajabu na hovyo zaidi akizifanya tetezi hizi kuwa kweli..

Lakini inawezekana pia kuwa, pengine huko CCM na miongoni mwa watanzania 60,000,000+ na watumishi wa umma zaidi ya 600,000+ Rais Samia haoni yeyote wa kuweza kushika nafasi kama hizi serikalini isipokuwa mtu mmoja tu aliyekwisha kuchafuka kwa tabia yake ya uhalifu wa matumizi mabaya ya madaraka ya uongozi wa umma aitwaye Ole Lengai Sabaya..!!
CCM ndivyo walivyo; hawana khaya!
 
Back
Top Bottom