Za ndani ni kuwa Ole Sabaya anaenda kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam

Za ndani ni kuwa Ole Sabaya anaenda kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.
Hizi hoja ni za kipumbaf kabisa, hasa kuhusu Chalamila..ni uzushi wa kiwango Cha Hali ya juu..Aina ya kiongozi kama Chalamila ndio anafaa kulisukuma Jiji kama Hilo la Dar.... Same way kama alivyokuwa Makonda..tatizo binadamu nyinyi sijui mnataka mfanyiwe nini..hakuna Cha kugombanisha wananchi na Serikali wali nini..wananchi sometimes lazima uwaambie ukweli, kwanini upindepinde..? Na ukweli utawaweka huruma na kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi mahala popote..Itoshe kusema tu kuwa Chalamila ni kiongozi sahihi kwa wakati sahihi na mahali sahihi..maamuzi ya kumbadili ni utashi tu wa Mh.Rais akiona inampendeza kwa vitu anavyotaka yeye, hiyo sawa..lakini kwa upotoshaji unaosema..noooway...kwa upande mwingine Sabaya ameshasafishwa na Mahakama nadhan, tatizo liko wapi akipewa uongozi...na yeye ni mmoja wa vijana mahili sana na wenye maamuzi chanya kuhusu Taifa letu....Vijana Hawa wacha walete chachu ya uongozi na kusaidia nchi yetu...
Tatizo nyie mafisafi mnapenda mpate mtu ambaye mtaweza kum control ili uchafu wenu uendelee..shwainnnyyy...na bado wacha muendelee kuisoma namba..
..........Dr Samia mbelekwambele......
 
Kama muuaji Makonda amewekwa kuwa miongoni mwa vinara wa CCM, siyo ajabu jambazi Sabaya kupewa uongozi. Itazidi kuwadhihirishia wananchi kuwa CCM na serikali yake ni shetani ndio maana wale waovu kabisa wanawekwa mbele ili wawavute mateka kuwapeleka kwenye uovu wao.

Wauaji wamepewa uongozi CCM na serikalini (ref. Tamko la US, Makonda anawanyima watu haki ya kuishi).

Waporaji wa mali za watu wapo ndani ya serikali ya CCM (ref. hukumu ya mahakama dhidi ya maofisa wa polisi na Sabaya)

Wauzaji rasilimali za nchi wapo ndani ya Seikali ya CCM (ref. Uporaji wa bandari na hifadhi za Taifa, Loliondo, n.k).

Wala rushwa na mafisadi wamejaa ndani ya Serikali ya CCM (ref. report ya CAG).

Majitu yasiyojua utawala wa sheria na demokrasia yamejaa CCM (ref. kauli ya kishetani ya Nape kuwa CCM ikishindwa itafunga goli hata kwa mkono, mkurugenzi kumtangaza mpinzani ameshinda utakuwa hana akili - Magufuli, hata ukiwapigia kura wapinzani, kura itahesabika kwa CCM - Samia).
 
Huwa wanasema aliyehukumiwa kwa kosa la jinai hapaswi kuwa mtumishi wa umma....Sabaya ni jambazi lilipaswa kuwa gerezani
Wewe ndie Hakimu au Judge wa kutoa maamuzi hayo au...maamuzi yako yako Yana base kwenye nini hasa..unaweza peleka ushahidi wako mahakamani
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.
Akija hapa dar atauawa haraka Bora asije mana tuna hamu naye sana tumnywe supu
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.

Ni bora akawa Raisi baada ya Samia
 
Kuna mengine hayawezekani hata yesu mwenyewe anajua hawezi. Mfano Kim eliminate shetani imeshashindika hiyo na haiwezi japo mnajifariji kuwa yesu anaweza kila kitu
Kwanini unasema hivyo mkuu?
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha na maneno mengi. Habari zinapenya kwamba mama anatarajia kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa hivi punde na kwamba Ole Sabaya ndiye atakayeteuliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa wa Da res Salaam.

Chanzo changu cha habari kutoka viunga vya Dodoma kinabainisha pasipo shaka kuwa mama amemchoka Chalamila, hasa kwa vitimbi vyake vya mara kwa mara vinavyochochea chuki kati ya serikali na wananchi. “Tukumbuke kwamba wakati Chalamila anaapishwa kwa mara ya pili baada ya hapo awali kutupwa nje ya mfumo, mama alisema kuwa mtu huyu ni mlipukaji”. Alisikika akisema kigogo mmoja aliye karibu na utawala wa juu. “Na hata baada ya kuonywa lakini bado ameendelea kulipuka”. Aliongeza.

Taarifa hizo zinafafanua matamshi ya Chalamila ya hivi karibuni yanayoonesha kukosa umakini. Moja ya matamshi haya ni wakati wananchi wa Dar walipoingiliwa na mafuriko yaliyoharibu mali na kuua baadhi ya raia. Chalamila, akiwa mteule wa Rais, alisikika akiwabeza na kusisitiza kuwa Dar hakuna mafuriko na kwamba hao waliokumbwa na mafuriko wamejitakia wenyewe.

Tukio la pili ni lile ambalo aliwabeza wanafunzi wanaofeli ambapo alisikika akiwakejeli kwamba na wao wanaopata zero kwenye mitihani wana ‘vipaji maalumu’ (vya kufeli). Aliendelea kuwataka watendaji wa NECTA wawe wanawatambua kama vile wanavyowatambua wanafunzi wanaofaulu vizuri na kuchaguliwa kwenda shule za vipaji.

Kana kwamba hilo halitoshi, hivi majuzi ndugu Chalamila alisikika akiwataka wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya vibaka wanaovunja nyumba na kuiba. Hii inatafsiriwa kwamba Chalamila anawachochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu badala ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka kwa mujibu wa sheria.

Haya matendo machache ya ulipukaji wa ndugu Chalamila, yanayochochea uvunjivu wa sheria na kuwachonganisha wananchi na serikali yao, yametosha kabisa kumfanya mama amtupe nje ya mfumo wa serikali kwani ameshindwa kujirekebisha hata baada ya kupewa nafasi kwa mara ya pili.

Hata hivyo, kurudishwa kwa Ole Sabaya kwenye uongozi inasemekana kumechagizwa na pacha wake, ndugu Paul Makonda, aliyempigia chapuo kwa mama. Wawili hawa walikuwa na nguvu kubwa sana kipindi cha uongozi wa Magufuli hadi kufikia kufanya jambo lolote bila kukemewa wala kuchukuliwa hatua zozote na mteuzi wao.

Aidha, baada ya timu ya Magufuli (Sukuma Gang) kuanza kurejeshwa uongozini taratibu, wanataka kutengeneza mtandao ndani ya serikali ili ifikapo 2025 kama hawatamuelewa mama watafute mtu wao watakayemuunga mkono kwenye uchaguzi.

Ndio maana Makonda amefanya juu chini kumshawishi mama amrejeshe Sabaya uongozini kwa kuwa wawili hawa wana ushawishi mkubwa sana kiuongozi ili waweze kujiimarisha na kuwa na nguvu ya pamoja itakayowafanya kutembea kifua mbele mwaka 2025.

MAONI YANGU
Kumrejesha Ole Sabaya uongozini wakati bado makosa aliyoshitakiwa kwayo hayajasahaulika miongoni mwa wananchi, ni kosa kubwa sana la kiufundi ambalo amelifanya mama. Sabaya akiungana na Makonda uongozini kuna hatari ya mama kupata upinzani mkubwa sana ndani ya chama ifikapo 2025.

Kumbuka wawili hawa ni kama au zaidi ya chawa. Hawaaminiki hata kidogo na wana tabia ya kiundumilakuwili. Wao hutanguliza maslahi binafsi mbele kuliko kitu chochote. Ndio maana wakati wa uongozi wa Magufuli waliutumia zaidi kujinufaisha kibinafsi badala ya kumsaidia Rais kuwatumikia wananchi.

Ningekuwa mimi ndiye mshauri wa mama nisingemrejesha uongozini Ole Sabaya kwa haraka kiasi hiki ilhali bado wananchi aliowadhulumu mali na fedha bado wana maumivu makubwa mioyoni mwao.

Nawasilisha.
Ingependeza angekuwa waziri wa fedha
 
Akija hapa dar atauawa haraka Bora asije mana tuna hamu naye sana tumnywe supu
Mkuu, ndugu Chalamila anaachishwa kazi kws sababu ya kuwashawishi watu kuua. Mbona nawe tena unakuwa kama Chalamila mkuu?
 
Back
Top Bottom