Zaburi 113:7: Humwinua fukara kutoka mavumbini, humnyanyua maskini kutoka unyonge wake

Hayo yote nimeyafanya zaidi ya miaka 20 bado bilabila
 
Acha uvivu, Fanya kazi, Tumia pesa kwa nidhamu, Jifunze kuwekeza mkuu!!

Mafanikio ni kuunganisha Codes tu, hayahitaji power from Source fulani.

Acha kujifunika na kujitetea kwa poroja za dini, Huyo Mungu angekua ana nia ya kuwainua wote muwe Matajiri asingeuumba Umasikini.

Kwanini kaumba umasikini wakati anataka wote muwe matajiri?
 
Sijui moderator wanatumia Biblia gani? Yangu katika Zaburi 113:7 inasema "Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani." Sasa wao wameedit kutoka wapi?
 
Kwamba Mungu ameumba umasikini?
 
Ndiyo.

Infact kulingana na maelezo ya hicho kifungu, Mungu anayetajwa hapo ndiye kaumba umasikini.
Huu ni mtazamo wako na uelewa wako ni vizuri uheshimiwe..

lakini haimanishi upo sahihi

Mungu kila alichokifanya alilifanya katika ubora.. Tupo hapa tulipo kwasababu yetu wenyewe.

Bado akafanya njia ili tusiendelee kuwa katika hizo hali.

Kwa mara nyingine ni uamuzi wetu ndio utakao amua uwe mtu wa namna gani

Ukitaka uzima hauna budi kumkubali Yesu Kristo katika maisha yako, au kama ukiona ni porojo utapata ulichochagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…