mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 176
- 440
- Thread starter
-
- #21
Hayo yote nimeyafanya zaidi ya miaka 20 bado bilabilaBe specific unataka nini, mwambie
Isaya 43:26.
26. Unikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako.
Lakini pia yeye ni Baba usisahau hili
Waebrania 11:6.
6. Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Mh?Una mwenza?
Hongera kwa kuyashika yote hayo..Hayo yote nimeyafanya zaidi ya miaka 20 bado bilabila
Kwamba Mungu ameumba umasikini?Acha uvivu, Fanya kazi, Tumia pesa kwa nidhamu, Jifunze kuwekeza mkuu!!
Mafanikio ni kuunganisha Codes tu, hayahitaji power from Source fulani.
Acha kujifunika na kujitetea kwa poroja za dini, Huyo Mungu angekua ana nia ya kuwainua wote muwe Matajiri asingeuumba Umasikini.
Kwanini kaumba umasikini wakati anataka wote muwe matajiri?
Join the chainJamani watu wamezaliwa mambo safi wakalelewa mambosafi wakakulia mambo safi hadi wanakufa au mpaka wanakufa mambo_safi Donald Trump & Stephen Wasira.
Sasa mimi nakwama wapi?
Kwan ww unachangamoto ipi, kwenye lipi?Tupe uzoefu ulifanyaje?
Kwan ww unachangamoto ipi, kwenye lipi?Tupe uzoefu ulifanyaje?
Ndiyo.Kwamba Mungu ameumba umasikini?
Haihusiani lakini naomba unifahamishe kuhusu hili..Hayo yote nimeyafanya zaidi ya miaka 20 bado bilabila
Zaburi. 23Jamani watu wamezaliwa mambo safi wakalelewa mambosafi wakakulia mambo safi hadi wanakufa au mpaka wanakufa mambo_safi Donald Trump & Stephen Wasira.
Sasa mimi nakwama wapi?
Kwa akili za kibinadamu huwezi kuelewa! Lakini ni kweli kabisa mtu kuzaliwa mara ya pili katika roho! Kuokoka!Haihusiani lakini naomba unifahamishe kuhusu hili..
Maana ya kuzaliwa mara ya pili
Amina!Zaburi. 23
ikupe nguvu na ujasiri bila kukata tamaa
Huu ni mtazamo wako na uelewa wako ni vizuri uheshimiwe..Ndiyo.
Infact kulingana na maelezo ya hicho kifungu, Mungu anayetajwa hapo ndiye kaumba umasikini.
Kwa faida ya wengi, mtu anawezaje kuzaliwa mara ya piliKwa akili za kibinadamu huwezi kuelewa! Lakini ni kweli kabisa mtu kuzaliwa mara ya pili katika roho! Kuokoka!
Daah! Mimi nadhani kwangu kakawia saana! Mungu anisaidie kustahimili!2 Petro 3:9
"Bwana hakawii kuhitimiza ahadi yake"
Jinsi ulivyozaliwa mara ya kwanza kilichozaliwa ni mwili! Tafuta kuzaliwa mara ya pili kwa rohoKwa faida ya wengi, mtu anawezaje kuzaliwa mara ya pili