TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

Apumzike mahali pema, loliwe niliupenda sana, ndugu wa kiafrika hawafai sina hamu na ndugu hasa katika ishu za kuolewa au kupiga hatua ndo huwa wachawi namba moja katika kuharibu,

Japo kuna mahala nimesoma kuwa alitopea kwenye ulevi wa pombe
 
Sung in Zulu)


Chorus:

uLoliwe wayidudula, uLoliwe wayidudula (the train is pushing, the train is pushing)
uLoliwe wayidudula , Nang’esiza (the train is pushing , here it comes)
uLoliwe wayidudula, uLoliwe wayidudula (the train is pushing, the train is pushing)
uLoliwe wayidudula , Nang’esiza (the train is pushing , here it comes)

Sul’ezonyembezi mntakwethu, Sul’ezonyembezi mntakwethu (wipe those tears beloved)
Sul’ezonyembezi mntakwethu. Nang’esiza (wipe those tears beloved, here it comes)
Sul’ezonyembezi mntakwethu, Sul’ezonyembezi mntakwethu (wipe those tears beloved)
Sul’ezonyembezi mntakwethu. Nang’esiza (wipe those tears beloved, here it comes)

(Chorus)

Phezulu, eNkosiniKuhlal ‘ingcwele zodwa (in Heaven, in the Lord, lives only the holy)
Mawufuna ukuya khona, thandaza (if you want to go there, pray)
Phezulu, eNkosini, Kuhlal ‘ingcwele zodwa (in Heaven, in the Lord, lives only the holy)
Mawufuna ukuya khona, thandaza (if you want to go there, pray)

(Chorus)

Sul’ezonyembezi mntakwethu, Sul’ezonyembezi mntakwethu (wipe those tears beloved)
Sul’ezonyembezi mntakwethu. Nang’esiza (wipe those tears off loved one, here it comes)
uLoliwe wayidudula, uLoliwe wayidudula (the train is pushing, the train is pushing)
uLoliwe wayidudula , Nang’esiza (the train is pushing , here it comes)
Phezulu, eNkosini, Kuhlal ‘ingcwele zodwa (in Heaven, in the Lord, lives only the holy)
Mawufuna ukuya khona, thandaza (if you want to go there, pray)
Phezulu, eNkosini, Kuhlal ‘ingcwele zodwa (in Heaven, in the Lord, lives only the holy)
Mawufuna ukuya khona, thandaza (if you want to go there, pray)
Hicho KIJIKO unachokiona, baada ya kula kwa MKONO!

Ndoms unaiona, ukishafanya ngono!

Neno la kuponya, lililokosa mdomo!

Napata kumjua zaidi, tayari ameshakwenda lala!

Binafsi, ataendelea kuishi kwangu...kupitia wimbo wake wa "lolihwe"

Ni wimbo unaogusa hisia za binadamu yeyote .. mwenye moyo wa nyama!

A forever living song! LOLIHWE!... " ULTIMATELY THE TRAIN HAS COME TO PICK HER"

Do whatever good in this world and leave legacy! (Landmark!)

Lolihwe is a legacy and a landmark ... Like Zion
 
Kila siku zinavyoendelea nazidi tambua kumbe adui wa mtu ni wa karibu mno
Awezaye kujeruhi moyo, awezaye kukutesa
Awezaye kuumiza moyo
Awezaye kukuletea jeraha hatoki mbali, ni wa karibu mno.

Nilipoumizwa na mtu wa karibu mno, nikasema basi ni nani wa karibu nami,?
Ktk kufikiri hayo, nikajua Mungu pekeyake ni wa Karibu.
Nikajua kumbe wengi wameumizwa na watu wa karibu nikatiwa nguvu ya kuendelea.

Tunapomsoma Yesu kwamba alisalitiwa
Waliomsaliti ni wa karibu mno

Tunapomsoma Yusufu aliuzwa utumwani
Waliomuuza ni wa karibu mno

Tunapomsoma Habili kwamba Aliuawa
Aliyemuua ni wa karibu mno



Martha Mwaipaja_Njoo Yesu

View: https://youtu.be/YUTzNFo80Ic?si=CZDcN7764glZx4To
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]duuuuu
 
Dunia ilipofikia usimuamini mtu yoyote,jiamini mwenyew watu wabaya sana bora hata wanyama wana huruma,anyway RIP Zahara [emoji174]
 
Habari ya kwanza niliyokutana nayo leo kwenye mitandao ya kijamii inahusu kifo cha mwanadada Mwimbaji Bulelwa Makutukana ( Zahara) kilicho tokea jana huko Johanesburg baada ya kuugua ini kwa muda mfupi.

Zahara amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 35.

Binafsi nitamkumbuka sana Zahara kwa wimbo wake "Loliwe".

Wimbo huu uliwahi kunisaidia katika nyakati ngumu.

To be honest with you. Taarifa ya kifo cha Zahara imefanya nafsi yangu iwe troubled kama nafsi ya Yesu ilivyokuwa troubled alipopewa taarifa za kifo cha rafiki yake Lazaro.

Asante Mungu kwa kuipa dunia zawadi ya kipaji kikubwa kama Zahara.


LALA NGOXOLO ZAHARA.

Update: Inadaiwa chanzo cha kifo chake ni multiple organ failure iliyo sababishwa na yeye kulishwa sumu na mmoja kati ya wanafamilia mara baada ya Zahara kutolewa mahari..

Taarifa nyingine inadai kwamba Zahara alilishwa sumu ya kichawi " muthi" kwenye chakula wakati ya sherehe ya kulipa mahari yake.

Duh kwamba kuna mwanafamilia alichukia kuona Zahara katolewa mahari? Just like that? Ooh please God protect your children from evil.
---

View attachment 2839995
Tasnia ya Burudani nchini humo imepata pigo lingine kutokana taarifa za kifo cha Mwimbaji Bulelwa Mkutukana maarufu Zahara (35) baada ya vifo vya AKA Februari 10, na CostaTitch, Machi 11, 2023.

Taarifa zimeeleza kuwa Kifo cha Zahara aliyetamba na nyimbo mbalimbali zikiwemo Loliwe' na Phendula kimetokea katika Hospitalini Jijini Johannesburg alikokuwa akipatiwa matibabu kutokana na kuugua maradhi ya ini kwa takriban Wiki 2. Pia kuna taarifa kuwa maradhi hayo yalisababishwa na sumu aliyowekewa na mmoja wa Mwanafamilia katika Sherehe ya baada ya kutolewa Mahari.

Vyombo vya Habari nchi humo vimeripoti kuwa siku chache kabla ya Kifo cha Zahara, Dada zake walichukua Kadi zake za Benki na kwenda 'Shopping' huku ndugu yao akipigania uhai wake Hospitali.

Enzi za Uhai wake Zahara aliwahi kuja Tanzania Oktoba 2018 ambapo alitoa burudani Jukwaa moja na Juliana Kanyomozi wa Uganda, na LadyJayDee katika Tamasha la Vocals Night liliondaliwa na Lady JayDee.
Kwenye wimbo wa Loliwe anavyoshusha na kupandisha sauti ni uwezo wa kiwango cha juu mno.

Wameona kuolewa atafaidi sana bora wamuue.

Pumzika vyema Zahara, tutakukumbuka kwa wimbo wako hadi tutakapokufuata uliko.
 
Duh imekuaje tena! Kama ni kweli basi hii dunia INA Mambo mengi magnum.
Kwahio hatimae ule wimbo wake umetimia? Niliupenda Hadi nikatafuta maana ya mashairi yake, The Train Is coming, dah kwahio Treni imefika kwake? Loliwe
Kuna mwana juzi hapa alileta uzi hapa sikumbuki heading yake vizuri lkn alikuwa akipinga hisia za ya kwamba ukitajirika watu wako wa karibu wana kuchukia (kwamba siyo kweli) lkn hapa kwa ZAHARA wakati akipigania uhai ndunguze wakampokonya kadi za bank.
 
Back
Top Bottom