TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

Kweli,kuna huyo mmoja habari zake zimeibuka wiki iliyopita, alikuwa akiwaua ndugu zake mmoja baada ya mwingine ili tu alipwe bima, anaua mmoja,analipwa bima, anakula,ikiisha anaua mwingine,na ni mwanamke, imagine,SA is real a shithole
 
[emoji24][emoji24]

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Kitu cha kwanza nilichoona ni kua amepewa sumu kwakua trend ya kutoka wodini to icu and Mara mapafu then figo vyote vimeharibika hapo kuna shida kubwa sn and the only problem is a poison
 
Inasikitisha Sana.
Apumzike kwa amani.
 
Duh!!
Huenda wenye hila wamepita humohumo..ionekane Tungi kumbe wakaweka vitu vyao..
 
Mgodi, destiny, loliwe rest easy zahara Africa n yenye watu wenye roho mbaya na chuki
 
Mwambie umeshsolewa..asikupotezee

Mudaa..
🤣🤣
Mi nimeshachukuliwaaaa, tena nampenda sana mchukuaji, so nafasi hakunaaa 🤣🤣🤣

Ila, kwakuwa alikuja na hoja ya mazungumzo binafsi sikuona kama ni sawa kuyaweka hapa, na nikudokeze tu yalikuwa binafsi kweli na haikuwa mimi bali juu ya rafiki yangu.
 
So anataka umpigie cross..!!?
 
Kweli,kuna huyo mmoja habari zake zimeibuka wiki iliyopita, alikuwa akiwaua ndugu zake mmoja baada ya mwingine ili tu alipwe bima, anaua mmoja,analipwa bima, anakula,ikiisha anaua mwingine,na ni mwanamke, imagine,SA is real a shithole
Ukoloni umewaachia Tabia za ajabuajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…