Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa pia usiponielewa basi kila Mtu aamini anavyoamini [emoji116]Sasa kwanini useme wapiganiji wa uchawi ndo wachawi ?
Sawa mfuasi wa gaidiDuniani alijichetua chetua kwa Yesu mara asifunike nywele ....saivi anaenda kukutana na aliyemuumba ajibu (Allah)
Ma-dr Hawa ni wa pekee,wameona uchawi kwa vipimo vya kisayansi,. Mungu amrehemu dada huyu,sauti yake nzuri as if ana miaka 17,Zahara alilishwa sumu ya kichawi
Wazungu wa wapi hao.Ndugu jamani🥲 ndio maana wazungu hawana mambo ya undugu
Wewe ulizaliwa umevaa nguo?Kwani alizaliwa akiwa kafunika nywele?
Wewe ulizaliwa umevaa nguo?
Kunywa kangweso kupita kiasi ndio imechukua maisha yake na ini kufeli hakuna kurogwaHabari ya kwanza niliyokutana nayo leo kwenye mitandao ya kijamii inahusu kifo cha mwanadada Mwimbaji Bulelwa Makutukana ( Zahara) kilicho tokea jana huko Johanesburg baada ya kuugua ini kwa muda mfupi.
Zahara amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 35.
Binafsi nitamkumbuka sana Zahara kwa wimbo wake "Loliwe".
Wimbo huu uliwahi kunisaidia katika nyakati ngumu.
To be honest with you. Taarifa ya kifo cha Zahara imefanya nafsi yangu iwe troubled kama nafsi ya Yesu ilivyokuwa troubled alipopewa taarifa za kifo cha rafiki yake Lazaro.
Asante Mungu kwa kuipa dunia zawadi ya kipaji kikubwa kama Zahara.
LALA NGOXOLO ZAHARA.
Update: Inadaiwa chanzo cha kifo chake ni multiple organ failure iliyo sababishwa na yeye kulishwa sumu na mmoja kati ya wanafamilia mara baada ya Zahara kutolewa mahari..
Taarifa nyingine inadai kwamba Zahara alilishwa sumu ya kichawi " muthi" kwenye chakula wakati ya sherehe ya kulipa mahari yake.
Duh kwamba kuna mwanafamilia alichukia kuona Zahara katolewa mahari? Just like that? Ooh please God protect your children from evil.
---
View attachment 2839995
Tasnia ya Burudani nchini humo imepata pigo lingine kutokana taarifa za kifo cha Mwimbaji Bulelwa Mkutukana maarufu Zahara (35) baada ya vifo vya AKA Februari 10, na CostaTitch, Machi 11, 2023.
Taarifa zimeeleza kuwa Kifo cha Zahara aliyetamba na nyimbo mbalimbali zikiwemo Loliwe' na Phendula kimetokea katika Hospitalini Jijini Johannesburg alikokuwa akipatiwa matibabu kutokana na kuugua maradhi ya ini kwa takriban Wiki 2. Pia kuna taarifa kuwa maradhi hayo yalisababishwa na sumu aliyowekewa na mmoja wa Mwanafamilia katika Sherehe ya baada ya kutolewa Mahari.
Vyombo vya Habari nchi humo vimeripoti kuwa siku chache kabla ya Kifo cha Zahara, Dada zake walichukua Kadi zake za Benki na kwenda 'Shopping' huku ndugu yao akipigania uhai wake Hospitali.
Enzi za Uhai wake Zahara aliwahi kuja Tanzania Oktoba 2018 ambapo alitoa burudani Jukwaa moja na Juliana Kanyomozi wa Uganda, na LadyJayDee katika Tamasha la Vocals Night liliondaliwa na Lady JayDee.
Undugu sio tatizo, tatizo ni kukosa utuNdugu jamani🥲 ndio maana wazungu hawana mambo ya undugu
Zitaje nyimbo zakeAiseee, huyu sister kafariki!? Mimi ni mmoja ya mashabiki zake wakutupwa. Apumzike salama Zahara. Destiny ni wimbo wangu bora kabisa kati ya nyimbo kali nyingi alizowahi kutoa.