Tafuteni kabisa page ya TCRA kutushtaki maana tukiingia Robo Fainali Inshallah hapatatosha, tuta shauri Serikal ifunge mpaka wa Congo kwa Muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani uongoNdo hasara ya kusajili kocha muafrika, yaani jamaa kakaa kiporojo zaidi kuliko soka. Juzi kati hapo kabwata kua wanachama wa yanga hawana msaada wowote kwenye timu yao
Sent using unknown device
kocha bogus in assistant coach was national team ya DRC angalia rank za FIFA DRC ni wangapi halafu jiulize bogus naniMwinyi ni msemaji wa klabu, kocha mtendaji au ni kocha?
.
Kocha mwenye CV ya maana hawezi kuwa kama huyo bogus.
Hahaaa.. mtakimbia jukwaa najua.Tafuteni kabisa page ya TCRA kutushtaki maana tukiingia Robo Fainali Inshallah hapatatosha, tuta shauri Serikal ifunge mpaka wa Congo kwa Muda
Yanga haongozi ligi! Kwa kuwa simba hajacheza mechi 27 tuna 20 tu kumbuka.kocha bogus in assistant coach was national team ya DRC angalia rank za FIFA DRC ni wangapi halafu jiulize bogus nani
kocha bogus timu inaongoza ligi
mbumbumbu fc mnapata tabu na zahera badala mjipange kumfunga vita
Hajji anachotaka soon atakipata"Sio mara ya Kwanza huyo Manara kuongea vitu ya ovyo, mimi ni Mkongomani, mimi ni mwalimu wa timu ya Taifa , AS Vita ina wachezaji wanne national timu. . Kocha mkuu wa AS Vita ni kocha mwenzangu national team, Kiongozi wa msafara wa AS Vita ndiye kiongozi wa shirikisho la soka Congo ambalo ndio wameniajiri timu ya taifa hivyo ni kiongozi wangu. . huyo Manara kwa akili yake haoni umuhimu wa mimi kwenda kuwasalimia? eti kisa nimeajiriwa Tanzania huo ni upumbavu kabisa. . kipi ninachoweza kukichezesha ama kupanga nikiwa karibu yao. . kocha wa Vita ana video zaidi ya 16 za Simba. . ANAOGOPA NINI?? sasa huyu mpumbavu Haji Manara yeye ni nani mpaka asitake nisisalimiane na wachezaji wangu, viongozi wangu na mwalimu mwenzangu, ANAOGOPA NINI? nimeshindwa kwenda Iringa kwa kuwa timu ya Taifa inaingia kambini jumapili na kuanza mazoezi jumatatu. . ntarudi kutoka Iringa lini na ntakamata ndege lini ili niwasili Congo jumapili?"
- Mwinyi Zahera. (Kocha wa Yanga SC)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawawezi kuelewa maana nao si mbumbumbu according to Ragge,juzi kati aliwazingua nao leo wamesahau vichwa vya Panzi hawaManara in tatizo ambalo mashabiki Wa Simba hawajui kama ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nyie +255 mbona mnajamba jamba sanaMwinyi ni msemaji wa klabu, kocha mtendaji au ni kocha?
.
Kocha mwenye CV ya maana hawezi kuwa kama huyo bogus.
Manara hana quality za uenezi yeye nimpiga porojo mswahili wa kariakooManara in tatizo ambalo mashabiki Wa Simba hawajui kama ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe source acha kubwabwaja"Sio mara ya Kwanza huyo Manara kuongea vitu ya ovyo, mimi ni Mkongomani, mimi ni mwalimu wa timu ya Taifa , AS Vita ina wachezaji wanne national timu. . Kocha mkuu wa AS Vita ni kocha mwenzangu national team, Kiongozi wa msafara wa AS Vita ndiye kiongozi wa shirikisho la soka Congo ambalo ndio wameniajiri timu ya taifa hivyo ni kiongozi wangu. . huyo Manara kwa akili yake haoni umuhimu wa mimi kwenda kuwasalimia? eti kisa nimeajiriwa Tanzania huo ni upumbavu kabisa. . kipi ninachoweza kukichezesha ama kupanga nikiwa karibu yao. . kocha wa Vita ana video zaidi ya 16 za Simba. . ANAOGOPA NINI?? sasa huyu mpumbavu Haji Manara yeye ni nani mpaka asitake nisisalimiane na wachezaji wangu, viongozi wangu na mwalimu mwenzangu, ANAOGOPA NINI? nimeshindwa kwenda Iringa kwa kuwa timu ya Taifa inaingia kambini jumapili na kuanza mazoezi jumatatu. . ntarudi kutoka Iringa lini na ntakamata ndege lini ili niwasili Congo jumapili?"
- Mwinyi Zahera. (Kocha wa Yanga SC)
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini mbumbumbu akajua kama ana tatizo?Manara in tatizo ambalo mashabiki Wa Simba hawajui kama ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Misukule ya manara mnachonganishwa nanyi kwaķua ni mbumbubu mpurura mnaelekea huko hukoNdo hasara ya kusajili kocha muafrika, yaani jamaa kakaa kiporojo zaidi kuliko soka. Juzi kati hapo kabwata kua wanachama wa yanga hawana msaada wowote kwenye timu yao
Sent using unknown device
Muro aliwahi kumwambia kuwa aoneshe vyeti alipotea kabisaMisukule ya manara mnachonganishwa nanyi kwaķua ni mbumbubu mpurura mnaelekea huko huko
Ule uropokaji kapewa kishkaji tu, alijifanya hadi msemaji wa familia ya Mo familia ikampuuzaMuro aliwahi kumwambia kuwa aoneshe vyeti alipotea kabisa