Zahera amjibu manara

Zahera amjibu manara

Zahera asingemjibu huyu zeruzeru! Maana kimya ni jibu tosha!
Jikite kwenye Mada ndg kuwa zeruzeru si dhambi or criminal, huyo Zahera unayemsifia anawahaadaa yanga ksb anawachangia yaani Yanga anacheza na Lipuli yeye anawaambia anaenda Congo kumbe Yupo kambini kwa as Vita kisa eti assistant coach wa Congo?? Ngoja mfungwe na Lipuli leo, pia Akilimali mlimzushia kisukari kapiga push up Jana yuko fiti mpeni uwenyekiti wa club

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwinyi ni msemaji wa klabu, kocha mtendaji au ni kocha?
.
Kocha mwenye CV ya maana hawezi kuwa kama huyo bogus.
Hivi ndugu yangu hayo mateam makubwa duniani yote siku zote kwa media nani anaongelea team? Kocha ndiye mzungumzaji mbele ya media yeye ndio kazi yake kuongelea kila kitu hakuna kitu msemaji wa Team. Huyu Manara anauza sura unaongelea team kama nani wewe ratibu media tu kuongea sio kazi yako. Team ikifungwa au kushinda sifa anapewa kocha sio msemaji wa team lazima tubadilike. Hivi umeshawahi kumuona msemaji wa Liverpool, Man u, Barca sijui Real ... ni kocha tu anaongelea mambo ya team kuna mpaka madoctor lakini wanampa taarifa tu kocha kuongelea hata wagonjwa.
 
Yanga haongozi ligi! Kwa kuwa simba hajacheza mechi 27 tuna 20 tu kumbuka.
.
Zahera ni assistant coach wa DRC na wapo wawili hivyo yeye ni mpiga domo tu na ndio maana siku hizi DRC haina mafanikio katika soccer haishiriki AFCON wala nini ipoipo tu kama sisi Tanzania.
Angalia DRC Fifa ranking ni ya ngapi, 51 wakati Tanzania ni 137.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndugu yangu hayo mateam makubwa duniani yote siku zote kwa media nani anaongelea team? Kocha ndiye mzungumzaji mbele ya media yeye ndio kazi yake kuongelea kila kitu hakuna kitu msemaji wa Team. Huyu Manara anauza sura unaongelea team kama nani wewe ratibu media tu kuongea sio kazi yako. Team ikifungwa au kushinda sifa anapewa kocha sio msemaji wa team lazima tubadilike. Hivi umeshawahi kumuona msemaji wa Liverpool, Man u, Barca sijui Real ... ni kocha tu anaongelea mambo ya team kuna mpaka madoctor lakini wanampa taarifa tu kocha kuongelea hata wagonjwa.
Hizo zote ulizozitaja zinawaandishi wa habari.
.
Alafu kuna kitu hujakielewa, Club nyingi za ulaya Kocha wa timu ndiye boss anamaamuzi yote na press zao huwa wanazifanya viwanjani kabla ya mechi na baada ya mechi, taarifa zingine hutolewa na vyombo vya habari vya timu husika.
.
Tanzania kocha siyo boss kocha kazi yake ni moja tu! Kufundisha timu basi, majukumu mengine yanawatu wake, Zahera anafanya kazi ya Dismas ten, anafanya kazi za mtendaji mkuu sijui anaitwa Sam (sina hakika) sasa hatuelewi ni kocha au kocha mtendaji
 
Nilishalisema pahala, manara ni msaka huruma za watumia Tecno za 70,000. Simba wanatafuta sababu tu za kujishikiza wakipigwa waseme mwinyi kawahujumu.

Barafu la moto
Huyo mwinyi anawezaje kutuhujumu wakati tulivyowafumua marinda yanga na yeye alikwepo
 
Back
Top Bottom