Zahera amjibu manara

Zahera amjibu manara

Mimi naangalia kwa upande mwingine hivi yanga ingecheza na vita au angeenda kwakuwa yeye ni mkongo?
 
Mwinyi ZAHERA hajatamka popote kusema.
"Haji Manara ni Mpumbavu"
Mtoa mada uwe na busara kwenye mada zako.
Zahera kwenda kuwasalimia wachezaji wa AS Vita, ni haki yake na sio kosa kimichezo, Vita ni timu yake pia kama timu ya Nchini kwake na ni Ndugu zake pia.
Kosa analolifanya Zahera ni kuisemasema timu ya Simba na kuisingizia mambo ya kizushi bila ithibitisho.
Zahera ajikite kwenye kazi yake iliyomleta ya kuifundisha timu ya Yanga.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwinyi ZAHERA hajatamka popote kusema.
"Haji Manara ni Mpumbavu"
Mtoa mada uwe na busara kwenye mada zako.
Zahera kwenda kuwasalimia wachezaji wa AS Vita, ni haki yake na sio kosa kimichezo, Vita ni timu yake pia kama timu ya Nchini kwake na ni Ndugu zake pia.
Kosa analolifanya Zahera ni kuisemasema timu ya Simba na kuisingizia mambo ya kizushi bila ithibitisho.
Zahera ajikite kwenye kazi yake iliyomleta ya kuifundisha timu ya Yanga.




Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sheria gani kaivunja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imetokea kwa VyuraFC tu kocha kwenda Kambi ya Mpinzani kwa kisingizio inatoka nchini kwao.
 
Jikite kwenye Mada ndg kuwa zeruzeru si dhambi or criminal, huyo Zahera unayemsifia anawahaadaa yanga ksb anawachangia yaani Yanga anacheza na Lipuli yeye anawaambia anaenda Congo kumbe Yupo kambini kwa as Vita kisa eti assistant coach wa Congo?? Ngoja mfungwe na Lipuli leo, pia Akilimali mlimzushia kisukari kapiga push up Jana yuko fiti mpeni uwenyekiti wa club

Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini nyie msijikite kwenye mechi??
Zahera anawahusu nn??
Wewe hujui mechi za team ya taifa zinaaanza soon??
Pia mambo yetu sisi na akilimali yanawahusu nn??

Mwisho kabisa manara ni zeruzeru na haiondoi uhalisia kuwa yeye ni sope!
Kwa kuwa tu mna mechi basi watu wasiendelee na shughuli zao!
Kapimwe akili ww na yule zeruzeru mwenzio!
 
kwanini nyie msijikite kwenye mechi??
Zahera anawahusu nn??
Wewe hujui mechi za team ya taifa zinaaanza soon

Mwisho kabisa manara ni zeruzeru na haiondoi uhalisia kuwa yeye ni sope!
Kwa kuwa tu mna mechi basi watu wasiendelee na shughuli zao!
Kapimwe akili ww na yule zeruzeru mwenzio!
Mkuu hili neno 'sope' umenikumbusha mbali Sana! Anyway maneno ya Manara ni siasa za mpira tu.
 
Mkuu hili neno 'sope' umenikumbusha mbali Sana! Anyway maneno ya Manara ni siasa za mpira tu.
Hahaha si ni kwenye kile kitabu cha TAKADINI mkuu??

Najua manara anafanya siasa za soka tuu ila watu wanachukulia serious! Nasi tunachukulia kama anavyochukulia yeye! Ndo maana tunamjibu kama anavyojibu yeye!
 
Huku kunyimana uhuru kunatoka wapi?... Zahera sio simba vipi alazimishwe awe upande wetu.?
 
Jamani Simba tunawakumbusha ,wakati Lyon akijiandaa kucheza na Yanga,kocha wenu msaidizi na Niyonzima walienda kuwatembelea Lyon au mmesahau.


\
111111.PNG
.
 
Jamani Simba tunawakumbusha ,wakati Lyon akijiandaa kucheza na Yanga,kocha wenu msaidizi na Niyonzima walienda kuwatembelea Lyon au mmesahau.


\View attachment 1046980.
Nyie subirini mfungwe na lipuli ndio akili zitawarudi, wenzenu wameingiza timu mbili caf badala ya tusapotiane ili tuwe na mbili mnaleta za kuleta, hata mtoto mdogo anajua kabisa nini anachokifanya huyo kocha wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndiyo Faida ya ZUHURA kuwaacha Vyura na kukimbilia Umbeya kwa Vita! Munaona sasa Lipuli ameshawala Kiboga...
 
Back
Top Bottom