Ndio kanuni nayotumia mimi ,siku moja nimeenda kununua TV kuna zile sample ambazo zinakuwa dukani tv tulipatana 630k,wakataka kunipa zile za dukani nikagoma nikawaambia nataka ya kwenye boksi nifungue mwenyewe tuijaribu hapa.KANUNI: Usinunue bidhaa yoyote ya electronic iliyotumika ni hasara
Kwa hio jamaa anaokota simu huku bongo anazipeleka Dubai zinapakwa rangi alafu anazirudisha anaziuza kwann watu kama hawa wanapewa leseni wafanye biashara wauze uchafuDubai ni kitovu ambacho asilimia kubwa ni watu wenye mitaji wanaweza kukusanya uchafu wowote duniani na kurekebisha .
Kuna simu zinatoka tanzania mbovu zinapelekwa dubai na kurudi tena zikiwa mpya.
Kwa hio jamaa anaokota simu huku bongo anazipeleka Dubai zinapakwa rangi alafu anazirudisha anaziuza kwann watu kama hawa wanapewa leseni wafanye biashara wauze uchafu
Ligi hiiNazani kwasasa jamaa upande wa kuhakikisha kila mtanzania anamiliki smartphones kwa Bei rahisi unaupiga mwingi..
Baada ya kuona machawa wengi wa mjini wanamsifia ikabidi na mimi nizame china plaza kwenda kuchukua simu 2.
Movie inaanza kuna oppo A83 alikua anauza Bei cheap sana na Gb 128 (online ads) kufika dukani wazee Bei ni tofaut na ile ya online kwa vile nilikua nmeyavulia maji nguo ni lzm nioge nikachukua simu 2 A83 na Samsung note 10+
Kufika kwangu ikabidi nikae nikague bidhaa za Used Dubai kwanza ile oppo A83 nimekuta ni Gb 32 baada ya kuu connect na computer yangu Alf simu inapata moto kichizi na inaisha chaji haraka.
Kioo kuna muda kinagoma kutachi weeee ikabidi niende kweny note 10+ quality ya camera sio kma note 10+ ya wife simu inapata moto unaweza kupigia pasi nguo
Ikabidi nirud dukani kwao maana online wanasema warranty mwaka Ila dukani unapewa miezi 6 tuu nayo ishu za hardware hawahusiki
Kufika dukani ishu ya oppo nikawaambia wakasema betri lzm ninunue wanifungie Ila baada ya ya hapo warranty inakua imeisha na ishu ya capacity majibu yao mabovu balaa
Nikawapa shida ya note 10 camera quality waksema ningenunua mpya
Kwa kwl mpk kuandika unyama wote nimeshindwa na walivyowajanja wana maduka mawili duka moja kwa ajili ya kununua tuu ila duka jingine Ndio uko unakuta foleni ya kesi za simu
Ukimuona na kanzu yake kujifanya mtu wa swala kumbe tapeli mkubwa!! Hii mijizi sana na ndugu zao wa DP World!!Nazani kwasasa jamaa upande wa kuhakikisha kila mtanzania anamiliki smartphones kwa Bei rahisi unaupiga mwingi..
Baada ya kuona machawa wengi wa mjini wanamsifia ikabidi na mimi nizame china plaza kwenda kuchukua simu 2.
Movie inaanza kuna oppo A83 alikua anauza Bei cheap sana na Gb 128 (online ads) kufika dukani wazee Bei ni tofaut na ile ya online kwa vile nilikua nmeyavulia maji nguo ni lzm nioge nikachukua simu 2 A83 na Samsung note 10+
Kufika kwangu ikabidi nikae nikague bidhaa za Used Dubai kwanza ile oppo A83 nimekuta ni Gb 32 baada ya kuu connect na computer yangu Alf simu inapata moto kichizi na inaisha chaji haraka.
Kioo kuna muda kinagoma kutachi weeee ikabidi niende kweny note 10+ quality ya camera sio kma note 10+ ya wife simu inapata moto unaweza kupigia pasi nguo
Ikabidi nirud dukani kwao maana online wanasema warranty mwaka Ila dukani unapewa miezi 6 tuu nayo ishu za hardware hawahusiki
Kufika dukani ishu ya oppo nikawaambia wakasema betri lzm ninunue wanifungie Ila baada ya ya hapo warranty inakua imeisha na ishu ya capacity majibu yao mabovu balaa
Nikawapa shida ya note 10 camera quality waksema ningenunua mpya
Kwa kwl mpk kuandika unyama wote nimeshindwa na walivyowajanja wana maduka mawili duka moja kwa ajili ya kununua tuu ila duka jingine Ndio uko unakuta foleni ya kesi za simu
Ukimuona na kanzu yake kujifanya mtu wa swala kumbe tapeli mkubwa!! Hii mijizi sana na ndugu zao wa DP World!!
Mwisho kabisa... bure ni ghali!
Samsung tolea likishavuka mwaka kwenda mwaka mwingine na tolea jipya likaingia sokoni basi hilo la zamani ukiikuta sokoni kula nduki ni vishoka wa china wanaunda simu fake.Kufika kwangu ikabidi nikae nikague bidhaa za Used Dubai kwanza ile oppo A83 nimekuta ni Gb 32 baada ya kuu connect na computer yangu Alf simu inapata moto kichizi na inaisha chaji haraka.
Kioo kuna muda kinagoma kutachi weeee ikabidi niende kweny note 10+ quality ya camera sio kma note 10+ ya wife simu inapata moto unaweza kupigia pasi nguo
Dubai na UK ndio maneno yao usiwaamini kabisa.Wanasema Dubai lakin daah Dubai watakua wanauza vitu vya hovyo sanaa
Au pengine mbagala kuna sehemu itakua inaitwa Dubai unaeza ukawa unalalamika lakini makosa kumbe ni yetu hatujauliza ni Dubai ya wapi??
π¬π¬πππππππWanasema Dubai lakin daah Dubai watakua wanauza vitu vya hovyo sanaa
Au pengine mbagala kuna sehemu itakua inaitwa Dubai unaeza ukawa unalalamika lakini makosa kumbe ni yetu hatujauliza ni Dubai ya wapi??
We jamaa unanivunja mbavu Mzee daah πππSishauri mtu aende akanunue simu zahoro pale nilinunua pale simu daaah hatar sanaa sijui wanaziokota zile simu alafu wanazipaka rangi tu daah
Kama kwa Mwamposa.
Alafu naona customer care pale kaweka wadada yaan ata ukitaka kumuwasha kibao kimoja akili imkae sawa unamuonea huruma nilichoamua ni kuondoka tuWe jamaa unanivunja mbavu Mzee daah πππ
Alafu naona customer care pale kaweka wadada yaan ata ukitaka kumuwasha kibao kimoja akili imkae sawa unamuonea huruma nilichoamua ni kuondoka tu
Mie nimenunua simu used hasa kutoka England kuna jamaa aliniuzia jamaa ni legit nimekaa nayo miaka mitatu tatizo ilonalo labda ni kuishiwa voucher tu sasa mother simu yake ikawa imeharibika nikaona ngoja niingie zahoro nikamchukulie simu imsogeze some days na matangazo si naona Facebook anauza zile Samsung ultra laki tano tu nikaenda kuchukua
Simu inachemka sanaa ukiweka chaji dakika 30 imejaa ukitumia unaweza tumia dakika 15 chaji imeisha nimerud kesho yake kuuliza napewa story sizielew nikahis labda Niko Peke angu mara naona wale wateja wenzangu wanalalamika kama mm walikosea duka walitaka duka la simu Ila wakaletwa duka la pasi na wakanunua daah nikajua apa tayar Zahor amekua mwizi