Zahoro matelephone

Zahoro matelephone

KANUNI: Usinunue bidhaa yoyote ya electronic iliyotumika ni hasara
Ndio kanuni nayotumia mimi ,siku moja nimeenda kununua TV kuna zile sample ambazo zinakuwa dukani tv tulipatana 630k,wakataka kunipa zile za dukani nikagoma nikawaambia nataka ya kwenye boksi nifungue mwenyewe tuijaribu hapa.

Wakasema kama unataka sealed ni 650k nikasema hamna shida nikaongeza 20.
 
Simu nyingine wananunua kwa watu mtaani halafu wanaweka dukani, ndio maana sikuhizi ni Kawaida kununua simu dukani, keshokutwa unatafutwa na polisi simu ni ya wizi..

Ni kawaida kununua simu iliyobadilishwa IMEI unakuta status ni Custom, uki restore tuu kwisha network, ukilazimisha unadakwa.

Bora ununue mid range phones hazijafanyiwa ukanjanja sana kuliko flagship, k.koo Kwenye Simu wengi ni wasanii huyo nimmojawapo tuu..

Wanauza Simu refurb kwa jina la mpya, ukipewa boks na ukiona inavyowaka unajaaa,
Wanauza simu mbovu kwa jina la Used..
 
Dubai ni kitovu ambacho asilimia kubwa ni watu wenye mitaji wanaweza kukusanya uchafu wowote duniani na kurekebisha .
Kuna simu zinatoka tanzania mbovu zinapelekwa dubai na kurudi tena zikiwa mpya.
Kwa hio jamaa anaokota simu huku bongo anazipeleka Dubai zinapakwa rangi alafu anazirudisha anaziuza kwann watu kama hawa wanapewa leseni wafanye biashara wauze uchafu
 
Kwa hio jamaa anaokota simu huku bongo anazipeleka Dubai zinapakwa rangi alafu anazirudisha anaziuza kwann watu kama hawa wanapewa leseni wafanye biashara wauze uchafu

Tanzania hakuna sehemu kuna idara ya hayo mambo japo ilitakiwa kuwa TBS ikiwa na kitengo maalumu kwa dunia ya sasa kikiwa ila wamepewa TCRA ambao wao ni mawasiliano sio sumu wala athari.
 
Nazani kwasasa jamaa upande wa kuhakikisha kila mtanzania anamiliki smartphones kwa Bei rahisi unaupiga mwingi..

Baada ya kuona machawa wengi wa mjini wanamsifia ikabidi na mimi nizame china plaza kwenda kuchukua simu 2.

Movie inaanza kuna oppo A83 alikua anauza Bei cheap sana na Gb 128 (online ads) kufika dukani wazee Bei ni tofaut na ile ya online kwa vile nilikua nmeyavulia maji nguo ni lzm nioge nikachukua simu 2 A83 na Samsung note 10+

Kufika kwangu ikabidi nikae nikague bidhaa za Used Dubai kwanza ile oppo A83 nimekuta ni Gb 32 baada ya kuu connect na computer yangu Alf simu inapata moto kichizi na inaisha chaji haraka.

Kioo kuna muda kinagoma kutachi weeee ikabidi niende kweny note 10+ quality ya camera sio kma note 10+ ya wife simu inapata moto unaweza kupigia pasi nguo


Ikabidi nirud dukani kwao maana online wanasema warranty mwaka Ila dukani unapewa miezi 6 tuu nayo ishu za hardware hawahusiki

Kufika dukani ishu ya oppo nikawaambia wakasema betri lzm ninunue wanifungie Ila baada ya ya hapo warranty inakua imeisha na ishu ya capacity majibu yao mabovu balaa

Nikawapa shida ya note 10 camera quality waksema ningenunua mpya



Kwa kwl mpk kuandika unyama wote nimeshindwa na walivyowajanja wana maduka mawili duka moja kwa ajili ya kununua tuu ila duka jingine Ndio uko unakuta foleni ya kesi za simu
Ligi hii
 
Nazani kwasasa jamaa upande wa kuhakikisha kila mtanzania anamiliki smartphones kwa Bei rahisi unaupiga mwingi..

Baada ya kuona machawa wengi wa mjini wanamsifia ikabidi na mimi nizame china plaza kwenda kuchukua simu 2.

Movie inaanza kuna oppo A83 alikua anauza Bei cheap sana na Gb 128 (online ads) kufika dukani wazee Bei ni tofaut na ile ya online kwa vile nilikua nmeyavulia maji nguo ni lzm nioge nikachukua simu 2 A83 na Samsung note 10+

Kufika kwangu ikabidi nikae nikague bidhaa za Used Dubai kwanza ile oppo A83 nimekuta ni Gb 32 baada ya kuu connect na computer yangu Alf simu inapata moto kichizi na inaisha chaji haraka.

Kioo kuna muda kinagoma kutachi weeee ikabidi niende kweny note 10+ quality ya camera sio kma note 10+ ya wife simu inapata moto unaweza kupigia pasi nguo


Ikabidi nirud dukani kwao maana online wanasema warranty mwaka Ila dukani unapewa miezi 6 tuu nayo ishu za hardware hawahusiki

Kufika dukani ishu ya oppo nikawaambia wakasema betri lzm ninunue wanifungie Ila baada ya ya hapo warranty inakua imeisha na ishu ya capacity majibu yao mabovu balaa

Nikawapa shida ya note 10 camera quality waksema ningenunua mpya



Kwa kwl mpk kuandika unyama wote nimeshindwa na walivyowajanja wana maduka mawili duka moja kwa ajili ya kununua tuu ila duka jingine Ndio uko unakuta foleni ya kesi za simu
Ukimuona na kanzu yake kujifanya mtu wa swala kumbe tapeli mkubwa!! Hii mijizi sana na ndugu zao wa DP World!!

Mwisho kabisa... bure ni ghali!
 
Kufika kwangu ikabidi nikae nikague bidhaa za Used Dubai kwanza ile oppo A83 nimekuta ni Gb 32 baada ya kuu connect na computer yangu Alf simu inapata moto kichizi na inaisha chaji haraka.

Kioo kuna muda kinagoma kutachi weeee ikabidi niende kweny note 10+ quality ya camera sio kma note 10+ ya wife simu inapata moto unaweza kupigia pasi nguo
Samsung tolea likishavuka mwaka kwenda mwaka mwingine na tolea jipya likaingia sokoni basi hilo la zamani ukiikuta sokoni kula nduki ni vishoka wa china wanaunda simu fake.
 
Wanasema Dubai lakin daah Dubai watakua wanauza vitu vya hovyo sanaa
Au pengine mbagala kuna sehemu itakua inaitwa Dubai unaeza ukawa unalalamika lakini makosa kumbe ni yetu hatujauliza ni Dubai ya wapi??
Dubai na UK ndio maneno yao usiwaamini kabisa.

Pale kariakoo wananunua simu zilizochoka kwa watu wa mitaaani. Anaisafisha na kubadilosha cover nzuri.

Unaikuta mezani kabandika stika anakwambia ni Used from Dubai au Uk.
 
We jamaa unanivunja mbavu Mzee daah 😂😂😂
Alafu naona customer care pale kaweka wadada yaan ata ukitaka kumuwasha kibao kimoja akili imkae sawa unamuonea huruma nilichoamua ni kuondoka tu
Mie nimenunua simu used hasa kutoka England kuna jamaa aliniuzia jamaa ni legit nimekaa nayo miaka mitatu tatizo ilonalo labda ni kuishiwa voucher tu sasa mother simu yake ikawa imeharibika nikaona ngoja niingie zahoro nikamchukulie simu imsogeze some days na matangazo si naona Facebook anauza zile Samsung ultra laki tano tu nikaenda kuchukua
Simu inachemka sanaa ukiweka chaji dakika 30 imejaa ukitumia unaweza tumia dakika 15 chaji imeisha nimerud kesho yake kuuliza napewa story sizielew nikahis labda Niko Peke angu mara naona wale wateja wenzangu wanalalamika kama mm walikosea duka walitaka duka la simu Ila wakaletwa duka la pasi na wakanunua daah nikajua apa tayar Zahor amekua mwizi
 
Alafu naona customer care pale kaweka wadada yaan ata ukitaka kumuwasha kibao kimoja akili imkae sawa unamuonea huruma nilichoamua ni kuondoka tu
Mie nimenunua simu used hasa kutoka England kuna jamaa aliniuzia jamaa ni legit nimekaa nayo miaka mitatu tatizo ilonalo labda ni kuishiwa voucher tu sasa mother simu yake ikawa imeharibika nikaona ngoja niingie zahoro nikamchukulie simu imsogeze some days na matangazo si naona Facebook anauza zile Samsung ultra laki tano tu nikaenda kuchukua
Simu inachemka sanaa ukiweka chaji dakika 30 imejaa ukitumia unaweza tumia dakika 15 chaji imeisha nimerud kesho yake kuuliza napewa story sizielew nikahis labda Niko Peke angu mara naona wale wateja wenzangu wanalalamika kama mm walikosea duka walitaka duka la simu Ila wakaletwa duka la pasi na wakanunua daah nikajua apa tayar Zahor amekua mwizi

Hahhha zahoro mwenyewe anajificha kweny duka la Tv na kuna walinzi
 
Back
Top Bottom