Zahoro matelephone

Zahoro matelephone

alimuuzia mwanangu S9 kwa 400k, sk 2 tu simu inazimika na kuwaka yenyewe! Mwana akaenda wakampiga viswahili! Mwana akaniuzia Case. Nikaenda na Kaunda.

tukamuulizia Zahor.
Tukaambiwa hayupo.
kumbe kajificha duka la chini.
Ilikuwa km saa 11 jioni, tukamwambia kijana wake, una chaguo 1 ktk machaguo ma3: rudisha pesa, badilisha simu ama muda wa kufunga duka tunaondoka ote! Kufika saa 12 Zahor huyu hapa.
Akatoa nyengine!
 
alimuuzia mwanangu S9 kwa 400k, sk 2 tu simu inazimika na kuwaka yenyewe! Mwana akaenda wakampiga viswahili! Mwana akaniuzia Case. Nikaenda na Kaunda.

tukamuulizia Zahor.
Tukaambiwa hayupo.
kumbe kajificha duka la chini.
Ilikuwa km saa 11 jioni, tukamwambia kijana wake, una chaguo 1 ktk machaguo ma3: rudisha pesa, badilisha simu ama muda wa kufunga duka tunaondoka ote! Kufika saa 12 Zahor huyu hapa.
Akatoa nyengine!

Ndio ivyo jamaa anajificha mimi mwenyewe nilimkuta kweny Tv kule
 
alimuuzia mwanangu S9 kwa 400k, sk 2 tu simu inazimika na kuwaka yenyewe! Mwana akaenda wakampiga viswahili! Mwana akaniuzia Case. Nikaenda na Kaunda.

tukamuulizia Zahor.
Tukaambiwa hayupo.
kumbe kajificha duka la chini.
Ilikuwa km saa 11 jioni, tukamwambia kijana wake, una chaguo 1 ktk machaguo ma3: rudisha pesa, badilisha simu ama muda wa kufunga duka tunaondoka ote! Kufika saa 12 Zahor huyu hapa.
Akatoa nyengine!

Listi za kariakoo data zenu ninazo posta polisi
 
alimuuzia mwanangu S9 kwa 400k, sk 2 tu simu inazimika na kuwaka yenyewe! Mwana akaenda wakampiga viswahili! Mwana akaniuzia Case. Nikaenda na Kaunda.

tukamuulizia Zahor.
Tukaambiwa hayupo.
kumbe kajificha duka la chini.
Ilikuwa km saa 11 jioni, tukamwambia kijana wake, una chaguo 1 ktk machaguo ma3: rudisha pesa, badilisha simu ama muda wa kufunga duka tunaondoka ote! Kufika saa 12 Zahor huyu hapa.
Akatoa nyengine!
Polisi mlimlipa
 
Iyo ni used ya apa apa bongo au kenya apo used ya dubai nyokoo
 
Tatizo hii simu za used imeshikwa na wabongo mpaka tutakoma, ilikua kwa wazanzibar tu, kule flesh unapata simu safi??
 
Bora umenishtua nilikuwa nataka nikachukue s22 used maana bei kitonga sana nimeghairi ngoja nijichange nikachukue mpya.
Hata mimi nilikuwa najipanga niende ila nimeghairi halafu kwa nini ana maduka mawili kwenye jengo moja?
 
Nazani kwasasa jamaa upande wa kuhakikisha kila mtanzania anamiliki smartphones kwa Bei rahisi unaupiga mwingi..

Baada ya kuona machawa wengi wa mjini wanamsifia ikabidi na mimi nizame china plaza kwenda kuchukua simu 2.

Movie inaanza kuna oppo A83 alikua anauza Bei cheap sana na Gb 128 (online ads) kufika dukani wazee Bei ni tofaut na ile ya online kwa vile nilikua nmeyavulia maji nguo ni lzm nioge nikachukua simu 2 A83 na Samsung note 10+

Kufika kwangu ikabidi nikae nikague bidhaa za Used Dubai kwanza ile oppo A83 nimekuta ni Gb 32 baada ya kuu connect na computer yangu Alf simu inapata moto kichizi na inaisha chaji haraka.

Kioo kuna muda kinagoma kutachi weeee ikabidi niende kweny note 10+ quality ya camera sio kma note 10+ ya wife simu inapata moto unaweza kupigia pasi nguo

Ikabidi nirud dukani kwao maana online wanasema warranty mwaka Ila dukani unapewa miezi 6 tuu nayo ishu za hardware hawahusiki

Kufika dukani ishu ya oppo nikawaambia wakasema betri lzm ninunue wanifungie Ila baada ya ya hapo warranty inakua imeisha na ishu ya capacity majibu yao mabovu balaa

Nikawapa shida ya note 10 camera quality waksema ningenunua mpya

Kwa kwl mpk kuandika unyama wote nimeshindwa na walivyowajanja wana maduka mawili duka moja kwa ajili ya kununua tuu ila duka jingine Ndio uko unakuta foleni ya kesi za simu
Simu used sio za kununua....
Ni ushauri tu nakupa mana nliwahi nunua hapo Google pixel! Inashka moto mpaka inababua paja.
 
Wanasema Dubai lakin daah Dubai watakua wanauza vitu vya hovyo sanaa
Au pengine mbagala kuna sehemu itakua inaitwa Dubai unaeza ukawa unalalamika lakini makosa kumbe ni yetu hatujauliza ni Dubai ya wapi??
Dubai hawauzi vitu vya hovyo. Huyo Zahoro atakuwa anatoa China huo uchafu wake kwa bei ya chini mno. Bei zake hapo nilishangaa ni chini kuliko za Guangzhou
 
Hapa cm angalau nzuri vivo na opp ila hizi zingine pasua kichwa
 
Hata mimi nilikuwa najipanga niende ila nimeghairi halafu kwa nini ana maduka mawili kwenye jengo moja?

Duka 1 la simu la pili ni Tv za haier na jezi za simba na yanga la tatu humu kuna simu na kesi za simu ugomvi
 
Back
Top Bottom