Mimi nimekuuliza tu swali,ulitakiwa unijibu kama ni wewe au sio.Ila nyie watoto wa Masaki si nimewaambia mtulie?
Sasa machenza yana shida gani jamani Zai apunguze gubu. πππZai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...
Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]
Eti ananukia machenza,jamaniiiSasa machenza yana shida gani jamani Zai apunguze gubu. πππ
Enzi hizo hatujaona sura yake tunamsikia tu kupitia hekaheka ya mawingu, Mama yangu alikuwa hadi machozi, siku nimeiona sura yake nikamtumia mama Wasapu alicheka sana, akaah kumbe ndio alivyo, na kweli anafanana na mambo yake! π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaaani zai hapana jamani...Sasa machenza yana shida gani jamani Zai apunguze gubu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi hizo hatujaona sura yake tunamsikia tu kupitia hekaheka ya mawingu, Mama yangu alikuwa hadi machozi, siku nimeiona sura yake nikamtumia mama Wasapu alicheka sana, akaah kumbe ndio alivyo, na kweli anafanana na mambo yake! [emoji23]
Ki ukweli haboi,halafu akihisi hapa utamu wa stori haunogi anaongeza chumvi na manjonjo ya ule mdomo mi hoii ila zai!π π π πZai wa kijiwenongwa namfatilia tangu kwenye clouds kipindi cha taarabu kile cha Geah jumapili jioni
Kwakweli hachoshi na kila siku ana new contentππππ
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Eti ananukia machenza,jamaniii
Kaniacha hoi amwanavyoenda huko tegetaaa na bunju halafu wanakula kama wapo kwao khaaaa[emoji1787]
Iko wapi hiyo clip sasa mkuu???Zai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...
Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]