Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani nilichekaaa hiyo!na Ile nyingine ya kuwaroga waume zao eti wanawavizia walale hawalali mwisho wanawapaka Kwa lazima huku wanawaonaaaa
Ndio yote majina yake kulingana na game yake siku hioHeee zote hizo sifa zake?
Mdomo wake sasa ulivyokaa 😁Yaani mi kanishinda huyu mtu wenu😅
Coz wewe una stress ndio maana brain yako inakuaminisha kua kila mtu ana stress kama wewe.Mbona umekaa ki stress stress?
Acha kumchafua mwanamke mwenzioHuyo tunamwita zai mpalange, zai ushuzi, zai mtelezo habari ndio hio Au zai mtoa cap
Nani kakushambulia?Kumshambulia mtu asiye na mpango na wewe ni dalili za stress...Take a chill pill and chillax
Huo ndio unanimalizaga kabisaaa😁
Ndio hiki kumbe ulichokua unakitafuta sio? Sijaona sababu ya wewe kutokwa povu kama umekula Omo.Hebu niondolee visirani vyako asubuhi subuhi....nenda kwenye mada zako za mujahideen ndio zinakufit.