Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mmoja wa ambao nilishamdinya sana tu several timesAcha kumchafua mwanamke mwenzio
Sijaona kosa la huyu mleta threadNani kakushambulia?
wapi umeshambuliwa?
Kwani ni nani kakwambia kua anataka kua na mpango na wewe?
Sasa nani amesema kuna kosa? Au umeamua tu kujipendekeza? Kwani upande wangu ndio kuna kosa?Sijaona kosa la huyu mleta thread
Huwa tunasema kama kitabu hujakielewa basi hujaandikiwa wewe.
Alinichekesha sanaZai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...
Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]
Hahaha!!!!balaaaIla nyie watoto wa Masaki si nimewaambia mtulie?
Hahaha!!!!balaaa
Wanazingua
Sasa si akanitaje kwenye ule Uzi wa kumpenda mtu,ananiletea umasaki wake Mimi[emoji1787][emoji1787]
Jamani kwema?
Hivi unajua kuhama Tanzania ni kujitakia pressure? Hivi stress bongo hii unazipatia wapi Kuna kila aina ya vibweka?
Yaani huyu Zai ukisikiliza huu uongo wake tu unatosha kukuondolea msongo wa mawazo...We Cute Wife mwambie dada Yako apunguze fix.
NB:Kama humjui potezea tu maana zai mwenyewe ni celebrity wetu wa Uswazini
Sasa wao ni kina nani mpaka wasikataliwe[emoji1787]?
Ni dada yake binamu,zai ni mtoto wa shangazi, cute ni wamjomba.....nilikuwa nawatilia live kwenye ule mchangamsho wenu nikasema Aaliyah na upole wake akivamiwa na wenye baby zao ataanza kulia,ila nikajua yupo binamu yake zai nikatulia😁😁😁😁Tulikuwa tunawachangamsha kipenzi 😂😂zai itakuwa ana undugu na@cute wife