The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watulie waenjoy na wapenz wao mm Nina muuza mchicha wangu huku sinahabari😂😂😂Sema mimi mtakatifu siwezi kufanya hivyo lasivyo ningepita nao kweli hao babe zao [emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀Kuna alosema akitaka kuroga anaenda live havai nikabu Kwa Mganga hata akikutana na mtu anamwambia nimekuja kunyoosha mamboyangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna ile aliyomkimbiza mtoto wake huku kafunga kitenge shingoni, wakaingia mpk barabarani afu anasema “Wanakula kiyoyozi (Upepo)”
haya mambo tungeshayamaliza muda sana ila unaonekana unapenda sana kudai watu😂😂Mdogo wa Salim Bakhresa nakudai [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hua unajipa hata muda wa kutafakari kwanza kabla huja comment?We nae una nongwa wewe!😁
Wewe una jambo lako si bure! Kwanza unaweza vp kujibizana na wanawake muda wote huo? DuuhHivi hua unajipa hata muda wa kutafakari kwanza kabla huja comment?
Mimi na nyinyi mnaonijadili hapa ni nani mwenye nongwa sasa?
Watulie waenjoy na wapenz wao mm Nina muuza mchicha wangu huku sinahabari[emoji23][emoji23][emoji23]
We nae una nongwa wewe![emoji16]
Binti pole sana kumbe unaumia sio? Kumbe unanifuatilia muda wote huo,safi sana,endelea kunifuatilia,Wewe una jambo lako si bure! Kwanza unaweza vp kujibizana na wanawake muda wote huo? Duuh
[emoji3][emoji3]Kuna alosema akitaka kuroga anaenda live havai nikabu Kwa Mganga hata akikutana na mtu anamwambia nimekuja kunyoosha mamboyangu
😂😂😂Anasema yaani live na ukimuuliza anasema kaenda kujitengeneza kwani kaenda kumroga mtu ila zai😂😂😂Mambo yasiwe mengi hataki kujificha ficha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao ndio wanaopasua nazi barabarani mchana kweupe
Anayaweza mbona huyo[emoji16]
haya mambo tungeshayamaliza muda sana ila unaonekana unapenda sana kudai watu[emoji23][emoji23]
Pole nikupe wewe mwenye viashiria vya kipunga punga! Unajibizana na wanawake muda mrefu! Za wapi hizo? Acha tabia za kike wewe!Binti pole sana kumbe unaumia sio? Kumbe unanifuatilia muda wote huo,safi sana,endelea kunifuatilia,
Una uhakika gani kua hao ni wanawake? Wewe ni mgeni hapa JF?
una nyota ya kudai acha iendelee kung"aaMaliza bas tajiri tuache kudaiana [emoji23][emoji23][emoji23]