Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Ile nilicheka mpk sio powa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mume anaenda kazini, unajua kazi ya maana kumbe anaenda kutumwa kuosha vyombo na wahindi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile interview nilicheka mno.
Diva alikuwa anacheka hadi machozi...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile interview nilicheka mno.
Diva alikuwa anacheka hadi machozi...

Kuna ile wanaume wa uswazi gheto wana siki (Pilipili) zao eti wamejaza mbilimbi nyingi, ukienda na vichips vyake gheto yeye anatoa siki iliyogwaduka msindikizie chips [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna ile wanaume wa uswazi gheto wana siki (Pilipili) zao eti wamejaza mbilimbi nyingi, ukienda na vichips vyake gheto yeye anatoa siki iliyogwaduka msindikizie chips [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilioona...Mimi Zai ananiburudisha mno jamani..
 
Ni dada yake binamu,zai ni mtoto wa shangazi, cute ni wamjomba.....nilikuwa nawatilia live kwenye ule mchangamsho wenu nikasema Aaliyah na upole wake akivamiwa na wenye baby zao ataanza kulia,ila nikajua yupo binamu yake zai nikatulia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ningewaomba vyeti vya ndoa kabla sijaanza kuwakausha uzazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaogopa utamkataa, hakuna watu wanaumia wakikataliwa km wanaume
Sio kweli, nishawahi kutoswa mara mbili na pisi za maana. Haikuniuma wala nini

Baada ya two years wakajaa[emoji1787][emoji1787] alafu sasa ndio nilikua deep kweli kwingine.
 
Back
Top Bottom