Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah udwanzi [emoji38][emoji1787]
Huyu ni mwehu halafu anataka battle na Mimi [emoji38]Umeona maneno ya kunichana yalivyochange?? Una swali mpk hapo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babe wangu kawa mwehu tena?? 😔😔Huyu ni mwehu halafu anataka battle na Mimi [emoji38]
Huyo sio level yangu bado Yuko kindergarten [emoji41][emoji2957]Babe wangu kawa mwehu tena?? [emoji17][emoji17]
Hebu anzeni kuleta freestyle me refa [emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuuu!!! Usikimbie tu 😂😂😂😂Huyo sio level yangu bado Yuko kindergarten [emoji41][emoji2957]
Huyo ni MC kilema hivo hawezi kusimama na Mimi [emoji41][emoji38]Thubutuuuuu!!! Usikimbie tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni MC kilema hivo hawezi kusimama na Mimi [emoji41][emoji38]
Nataka aanze halafu nimstafishe uanachama wa JF [emoji2957][emoji2]Anza kuchana sasa, akija akujibu hapa [emoji3][emoji3]
Nataka aanze halafu nimstafishe uanachama wa JF [emoji2957][emoji2]
Halafu Zai anavaa shanga kiunoni
Kwa macho ya damu na nyamaWe ulizionaje?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wa dar wanamwongelea zai mkuu baadae haoo kwenye supu ya pweza hawana shida na mtuBila shaka hii thd ni ya watu wa Daslamu ndio maana sielewi kitu!
Kina mc pilipili wanalazimishia na kujichekesha juuu yy anakuchekesha mkavu mkavu aiseee hata Mimi huwa nacheka mno mnoYaani nakwambia Kuna watu wanaweza kukutoa stress bila kutumia Nguvu,,,maana sio Kwa vibweka vile vya uswazi