Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Umesahau mara hii? Ulikuwa unataka kuongelea nini kule selfika?

Kwanza tuachane nayo tutafaidisha watu tu hapa
Siwezi zungumzia jambo lako lolote binafsi, anyway nilipokosea I'm sorry, take it easy. Cheers
 
Zai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...

Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zai bhana!
Anajua kupiga Soga, anajua kuwasilisha, anajua Kubadili Gia angani akiona Stori haivutii.

Stori moja pekee iliyonifanya nicheke ni Ile wa Panya Road Vs Ulinzi shirikishi, mtaa wao ati wakisema hawatoi Pesa ya ulinzi, Ila Wababa kazi Yao kulinda Usiku Kwa zamu.
Mumewe alichokipata Kwa Watoto waumbwa ndio ilinimaliza.
 
Intro: Let me talk to this girl meeen....
....aaahhaaa, yeeaah
Naamini unanipenda sio kwa vile mi rapper, ni jinsi navyokupa vitu roho inataka/

Una kila nachohitaji, una kila nachotaka wengi wamehustle juu yako wamevapa/

You know what, baby girl you are so lucky/

Jinsi navyowakwepa wanashikana mashati/

Mipango ishakaa sawa, usipoteze wakati/

Usicheze na midoli hao midoli hawang'ati/

Njoo ucheze nami sema nami kila wakati/

Mi nna future yako, we una future yangu/

Mi nina siri zako na we unatunza zangu/

Basi mshumaa kwenye upepo usiweke makusudi/

Baki innocent usijivike ugaidi, nitasema kwa upole sitosema kiukaidi/

Mpakaa nimefika level hizi baby ujue hii ni serious/

Hatuwezi kutengana kama bob na the wailors/

Kuwa maadui kama pac na notorious/

Siwezi kusema najua kila kitu , Wala huwezi kusema unajua kila kitu/

Kama kupenda ni kasoro sitaki kukamilika tena/

Wanafki wakileta ikibidi ntakua mkatili sana/

Siku hizi ni ngumu kila mtu kuaminika so sikuuzii maneno mi ni mtu wa vitendo/

Rapper wa mwisho wa ukweli, mkali asiye na skendo/

Pingu zitafungwa baby haitakua tena magendo/

Ikiwa hard time au good time zote kubali/

Madogy style, wima mikunjo na chali nipo tayari/

Makini Kama style uandishi na vocal zangu/

Napigana kuhakikishaa milele unabaki wangu/

Wakipekee angalia na huu mchano
 
Intro: Let me talk to this girl meeen....
....aaahhaaa, yeeaah
Naamini unanipenda sio kwa vile mi rapper, ni jinsi navyokupa vitu roho inataka/

Una kila nachohitaji, una kila nachotaka wengi wamehustle juu yako wamevapa/

You know what, baby girl you are so lucky/

Jinsi navyowakwepa wanashikana mashati/

Mipango ishakaa sawa, usipoteze wakati/

Usicheze na midoli hao midoli hawang'ati/

Njoo ucheze nami sema nami kila wakati/

Mi nna future yako, we una future yangu/

Mi nina siri zako na we unatunza zangu/

Basi mshumaa kwenye upepo usiweke makusudi/

Baki innocent usijivike ugaidi, nitasema kwa upole sitosema kiukaidi/

Mpakaa nimefika level hizi baby ujue hii ni serious/

Hatuwezi kutengana kama bob na the wailors/

Kuwa maadui kama pac na notorious/

Siwezi kusema najua kila kitu , Wala huwezi kusema unajua kila kitu/

Kama kupenda ni kasoro sitaki kukamilika tena/

Wanafki wakileta ikibidi ntakua mkatili sana/

Siku hizi ni ngumu kila mtu kuaminika so sikuuzii maneno mi ni mtu wa vitendo/

Rapper wa mwisho wa ukweli, mkali asiye na skendo/

Pingu zitafungwa baby haitakua tena magendo/

Ikiwa hard time au good time zote kubali/

Madogy style, wima mikunjo na chali nipo tayari/

Makini Kama style uandishi na vocal zangu/

Napigana kuhakikishaa milele unabaki wangu/

Wakipekee
 
Back
Top Bottom