Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

[emoji23][emoji23][emoji23]Anasema yaani live na ukimuuliza anasema kaenda kujitengeneza kwani kaenda kumroga mtu ila zai[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mwingine alioga uchi pale gerezani watu wamepinda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo demu miyeyusho sana
Kuna stori anasema mme wake alikua anampigia simu anamwambiaa aandae chakula kama ni samaki atoe miba kabisa mmewe akija tonge tatu kamaliza kilo
Na ile Interview alifanyiwa na Diva[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anakuambia wakikosa hela ndani anamwambia mme wake akatafute kibarua hata kwa Wahindi huko...

Akipata kibarua ile anarudi nyumbani anamkuta ana nyanya hadi Masikioni[emoji2]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wewe dogo wewe unanifurahishaga sana

Furahi tu sisy maisha ndio haya haya, hiyo avatar yako naipenda hivi unapendaga vitenge?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Soon vikao vya dharura [emoji23][emoji23][emoji23]

Tunajali sasa? Wakianza vikao watustue tuwapelekee vinywaji makoo yasikauke wakiwa wanatudiscuss [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole nikupe wewe mwenye viashiria vya kipunga punga! Unajibizana na wanawake muda mrefu! Za wapi hizo? Acha tabia za kike wewe!
Machoko hua mnaona wivu mkiona mwanaume ana chat na KE hua mnaona kama vile wanawazibia riziki,unaumiaje na jambo lisikuhusu Panzi wewe?
 
Na ile Interview alifanyiwa na Diva[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anakuambia wakikosa hela ndani anamwambia mme wake akatafute kibarua hata kwa Wahindi huko...

Akipata kibarua ile anarudi nyumbani anamkuta ana nyanya hadi Masikioni[emoji2]

Ile nilicheka mpk sio powa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mume anaenda kazini, unajua kazi ya maana kumbe anaenda kutumwa kuosha vyombo na wahindi
 
Hu
Machoko hua mnaona wivu mkiona mwanaume ana chat na KE hua mnaona kama vile wanawazibia riziki,unaumiaje na jambo lisikuhusu Panzi wewe?
huna jipya mpungah wewe! Endelea kujibishana na wanawake humu! Ukichoka njoo tukupakue! Sawa mtoto mzuri?
 
[emoji23][emoji23]Duh sijaona hiyo

We si unashinda kkoo au unaendaga tu kufanya shopping?? Hiyo ilipigwa mchana kweupe watu wakajua mdada kachanganyikiwa kumbe masharti ya babu nyota ing’ae [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom