Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Wakinivamia nitamkodi Kwa muda Hana baya nduguyanguNi dada yake binamu,zai ni mtoto wa shangazi, cute ni wamjomba.....nilikuwa nawatilia live kwenye ule mchangamsho wenu nikasema Aaliyah na upole wake akivamiwa na wenye baby zao ataanza kulia,ila nikajua yupo binamu yake zai nikatulia😁😁😁😁
Sasa hivi dawa waje na majina ya mabwana zao Ili tufanye nao usaili tukiwapitisha wawe wake wenza yaishe😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu walinichukia kisa utani na mabwana zao, sasa hawaniambii mwenyewe direct wanaweka vikao piem. Nilitaka waje live tupeane makavu yaishe
Tulikuwa tunawachangamsha kipenzi [emoji23][emoji23]zai itakuwa ana undugu na@cute wife
Ni vitu serious?au utani?
Pumzika ndugu watatutoa roho mm nauchungulia Kwa mbali sitak shida ndogondogo😀😀 😂😂😂😂Mimi ndiomana selfika nimeacha kuja, naona kuna watu nawanyima raha na mabwana zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi dawa waje na majina ya mabwana zao Ili tufanye nao usaili tukiwapitisha wawe wake wenza yaishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Wao wasikae na maumivu moyoni wajitaje hata km tupo kumi tunatosha kuwa uke wenza, atakayeshindwa aage mashindano [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaanzaje bwana mmoja ana max 4 wapenz 6 hawajuani wajitaje wanajitaka 😂😂😂😂Wao wasikae na maumivu moyoni wajitaje hata km tupo kumi tunatosha kuwa uke wenza, atakayeshindwa aage mashindano [emoji23][emoji23][emoji23]
Pumzika ndugu watatutoa roho mm nauchungulia Kwa mbali sitak shida ndogondogo[emoji3][emoji3] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂ila Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu wanajiongelesha na kujijibu wenyewe khaaaaaaa!!
Uzuri mimi hawanipi presha kwanza kwa status ya babe wangu hawezi kuonana nao wataishia kujichekesha tu [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Wanaanzaje bwana mmoja ana max 4 wapenz 6 hawajuani wajitaje wanajitaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaa!!!
Jf sihami labda waniue!!! Afu bado unasikia wivu km sio uchizi ni nini??
[emoji23][emoji23][emoji23]ila Jamani
Huyo demu miyeyusho sana
Kuna stori anasema mme wake alikua anampigia simu anamwambiaa aandae chakula kama ni samaki atoe miba kabisa mmewe akija tonge tatu kamaliza kilo
mjini ukijua kuongea hulali njaa