Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nakwambia Kuna watu wanaweza kukutoa stress bila kutumia Nguvu,,,maana sio Kwa vibweka vile vya uswazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaaani zai hapana jamani...
Mimi mwenyewe wakati namsikia kwenye heka heka na kile kipindi cha Gea J2 cha Taarabu alikuwa ana Segment yake ya Uswazi hivyo hivyo nilikuwa natamani kweli kumuona...
Siku nimekuja kumuona nakumbuka Dr.Isack alimpost akielezea vyoo vya Uswazi nikajisemea tu.. ndiyo huyu kila siku unanifanya nacheka kama mwehu[emoji2]
Na akiongea anavyotanua pua sasa 🤣Sasa machenza yana shida gani jamani Zai apunguze gubu. 😂😂😂
Enzi hizo hatujaona sura yake tunamsikia tu kupitia hekaheka ya mawingu, Mama yangu alikuwa hadi machozi, siku nimeiona sura yake nikamtumia mama Wasapu alicheka sana, akaah kumbe ndio alivyo, na kweli anafanana na mambo yake! 😂
Jamani kwema?
Hivi unajua kuhama Tanzania ni kujitakia pressure? Hivi stress bongo hii unazipatia wapi Kuna kila aina ya vibweka?yaani huyu Zai ukisikiliza huu uongo wake tu unatosha kukuondolea msongo wa mawazo...We Cute Wife mwambie dada Yako apunguze fix...
NB:Kama humjui potezea tu maana zai mwenyewe ni celebrity wetu wa Uswazini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani nilicheka,eti jamani mjumbe wa eneo hili nani?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Anakwambia sehemu mbaya akienda ile kufika tu akasisimka hadi vipele... Cha kwanza anaulizia kwanza kwa Mjumbe kabla ya kuingia ndani..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani nilicheka,eti jamani mjumbe wa eneo hili nani?
Yaani yule ndio mswazi Sasa!!Kuna Moja hiyo eti boss anatununulia pombe we unaleta mbulikumlomo unapigwa binge la baooo,maana unataka kutuharibia shughuli😅😅Zai kashazoea ndio reporter wetu wa mtaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani yule ndio mswazi Sasa!!Kuna Moja hiyo eti boss anatununulia pombe we unaleta mbulikumlomo unapigwa binge la baooo,maana unataka kutuharibia shughuli[emoji28][emoji28]
Zai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...
Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]
Na yule Uswazi hawezi kuhama...Yaani yule ndio mswazi Sasa!!Kuna Moja hiyo eti boss anatununulia pombe we unaleta mbulikumlomo unapigwa binge la baooo,maana unataka kutuharibia shughuli[emoji28][emoji28]
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani nilichekaaa hiyo!na Ile nyingine ya kuwaroga waume zao eti wanawavizia walale hawalali mwisho wanawapaka Kwa lazima huku wanawaonaaaaKuna ile clip aliyoambiwa na mganga
Wewe mumeo sio kwamba hana huduma kuna shangingi kamshikilia, Zai akamwambia mganga eti utakuwa umenifananisha au unamwambia jirani yangu maana nikimuangalia huyo mume wa kufungiwa na shangingi jamaniii hakuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mini sina stress.Nilitoa Angalizo lkn...Anyway kaa hapana utamjua tu na atakusaidia kukupunguzia stress