Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Yaani nakwambia Kuna watu wanaweza kukutoa stress bila kutumia Nguvu,,,maana sio Kwa vibweka vile vya uswazi
 
Na akiongea anavyotanua pua sasa 🤣
 

Zai kashazoea ndio reporter wetu wa mtaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani yule ndio mswazi Sasa!!Kuna Moja hiyo eti boss anatununulia pombe we unaleta mbulikumlomo unapigwa binge la baooo,maana unataka kutuharibia shughuli[emoji28][emoji28]

Kuna ile clip aliyoambiwa na mganga

Wewe mumeo sio kwamba hana huduma kuna shangingi kamshikilia, Zai akamwambia mganga eti utakuwa umenifananisha au unamwambia jirani yangu maana nikimuangalia huyo mume wa kufungiwa na shangingi jamaniii hakuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zai wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu amuweke kabisa...

Ile clip yake ya jana uliiona?Kwamba alipata Bwana Facebook kufika kuonana ananuka Machenza huyo....akamwambia eti yeye ataki machenza[emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zai anazingua sana
 
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani nilichekaaa hiyo!na Ile nyingine ya kuwaroga waume zao eti wanawavizia walale hawalali mwisho wanawapaka Kwa lazima huku wanawaonaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…