Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Wewe kajinga kweli,alijenga Nchi nzima km ngapi Kwa mda gani?
Soma haya maelekezo hapa utoe ujinga kichwani
Hiyo Finance, italipwaje? Ndo WAJINGA tunajiuliza. Mbona hukufafanua? Tusaidie tupate werevu. Punguza matusi, tueleweshane. Kila mtanzania anayo haki ya kujua kwa upole tu sio kutukanana. Hata mimi nashukuru nchi inafunguka. Wananchi zinakopita hizo barabara waisapoti serikali kwa kufanya kazi kwelikweli ili barabara zilete manufaa kabla hazijahitaji ukarabati. Lakini tukijua tunalipaje pia itakuwa kichocheo cha kuingia mashambani na kuzalisha mazao kwa wingi ili zijilipe na sio kujazana kwenye mabasi kwenda kucheza ngoma, harusi na masherehe!
 
HONGERA KWA SEREKALI AMEIPIKU MIRADI YOTE ILIYOWAHI KUFANYWA NA WATANGULIZI WAKE WOTE, SHE IS DOING MORE EXTRA ABOVE/BEYONDS.
WELL DONE!
Na huu ndio ukweli.Kwa Sasa Kila Mkoa Tanzania Kuna mradi wa lami mmja au Zaidi ,sekta zingine ndio kabisa usiseme..

Yaani hizi km 2,000 ni za model hii pekee ila Kuna maelfu ya miradi inaendelea Kwa Sasa..

Binafsi nimeona Marais wote waliopita ila Samia ameshawashinda wote,yaani Tanzania ya 2030 itakuwa imepiga hatua kubwa sana Kinaendelea.
 
Wakati wa utawala wa Kikwete zilijengwa kilometa 12,000. Ni jambo jema lakini siyo jipya wala siyo la pekee.

Wakati wa Mwalimu Nyerere, barabara moja ya Dar mpaka Tunduma unadhani ni kilometa ngapi? Na ilijengwa wakati mmoja na TAZARA. Wachina walikuwa wanajenga reli, waitaliano walikuwa wanajenga barabara.

Hakuna jipya chini ya jua. Anatekeleza wajibu wake wakati huu, wa kuendeleza waliyoanza watangulizi wake, na siku akiondoka, wenzake wataendeleza alipoachia.
 
Wakati wa utawala wa Kikwete zilijengwa kilometa 12,000. Ni jambo jema lakini siyo jipya wala siyo la pekee.

Wakati wa Mwalimu Nyerere, barabara moja ya Dar mpaka Tunduma unadhani ni kilometa ngapi? Na ilijengwa wakati mmoja na TAZARA. Wachina walikuwa wanajenga reli, waitaliano walikuwa wanajenga barabara.

Hakuna jipya chini ya jua. Anatekeleza wajibu wake wakati huu, wa kuendeleza waliyoanza watangulizi wake, na siku akiondoka, wenzake wataendeleza alipoachia.
 
Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea (km 435.8) inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo
Kwahiyo hapa kwenda Morogoro toka songea kupitia tu Morogoro
 
Acha porojo Mzee,Zingejengwa Km 12,000 kama unavyosema wewe Mikoa yote Tanzania ingekuwa imeunganishwa na lami..

Kikwete alijitahidi kujenga ndio ila sio zaidi ya km 6,000 tena Kwa miaka 10.Nchi nzima Hadi Sasa Barabara Zenye Lami ni kama km 11,000 tuu Kwa zinazohudumiwa na TanRoads Toka uhuru ,so usiwe mwongo

Sasa hizi tunazozungumzia Sasa ni sehemu tuu ya maelfu ya Barabara zingine ambazo zikianza ujenzi 2021/22 na 2022/23,Bado za Bajeti Mpya ya 2023/24 hazijasainiwa elewa Hilo..

Ndio.kusema Kwa mwaka 2022/23 Kuna hizi km 2,000 plus plus hizi hapa zingine 👇
 
CHADEMA Kamati Kuu haijakaa kuzungumzia hili, Wazanzibari hawana uchungu na Tanganyika wanaiuza kwa Waarabu kwa faida yao. Sisi wananchi tunataka tumehuru.
 
Wewe kama hujui Tulia,kajifunze hiyo model,Kuna model za aina nyingi sana za ujenzi wa Barabara .

Sikiliza video ipo hapo Juu kwenye heading Utajua itakavyolipwa..
 
Tafsiri ya EPC+F ni nini?
 
Tunataka bandari zetu , kwani barabara yeye ndo atakua wa kwanza kujenga, na anajenga kwa pesa yake toka mfukoni

Tunataka bandari zetu , alafu hili uyu mama analichukulia poa , acha aendelee kuweka pamba masikioni
 
Tunataka bandari zetu , kwani barabara yeye ndo atakua wa kwanza kujenga, na anajenga kwa pesa yake toka mfukoni

Tunataka bandari zetu , alafu hili uyu mama analichukulia poa , acha aendelee kuweka pamba masikioni
Ndio ni WA kwanza kujenga Barabara nyingi Kwa pamoja.

Kazibebe mgongoni kwani hujui ziliko hizo Bandari?
 
Yule mwingine alikuwa ni mjinga mmja tuu,ujue Kila siku nawaambia Wajamaa ni watu wapumbavu sana Mkiwa entertain mtaishia kuwa maskini milele.

Pumbavu. Mbona hakuna barabara hata moja ulizoorodhesha hapo katika Mikoa yoyote ya Kanda ya Ziwa kuanzia Mara mpk Kigoma. Uongozi ni ule unaoacha alama sio poroja unazoleta hapa. Afu unachokipenda wewe sio lazima akipende mwenzio so acha kauli za kubeza wanaopenda usichopenda wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…