Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Wewe kajinga kweli,alijenga Nchi nzima km ngapi Kwa mda gani?
Soma haya maelekezo hapa utoe ujinga kichwani

Hiyo Finance, italipwaje? Ndo WAJINGA tunajiuliza. Mbona hukufafanua? Tusaidie tupate werevu. Punguza matusi, tueleweshane. Kila mtanzania anayo haki ya kujua kwa upole tu sio kutukanana. Hata mimi nashukuru nchi inafunguka. Wananchi zinakopita hizo barabara waisapoti serikali kwa kufanya kazi kwelikweli ili barabara zilete manufaa kabla hazijahitaji ukarabati. Lakini tukijua tunalipaje pia itakuwa kichocheo cha kuingia mashambani na kuzalisha mazao kwa wingi ili zijilipe na sio kujazana kwenye mabasi kwenda kucheza ngoma, harusi na masherehe!
 
HONGERA KWA SEREKALI AMEIPIKU MIRADI YOTE ILIYOWAHI KUFANYWA NA WATANGULIZI WAKE WOTE, SHE IS DOING MORE EXTRA ABOVE/BEYONDS.
WELL DONE!
Na huu ndio ukweli.Kwa Sasa Kila Mkoa Tanzania Kuna mradi wa lami mmja au Zaidi ,sekta zingine ndio kabisa usiseme..

Yaani hizi km 2,000 ni za model hii pekee ila Kuna maelfu ya miradi inaendelea Kwa Sasa..

Binafsi nimeona Marais wote waliopita ila Samia ameshawashinda wote,yaani Tanzania ya 2030 itakuwa imepiga hatua kubwa sana Kinaendelea.
 
Sio kitu kipya Ulaya au Tanzania? Kipya ni nini?

Malalamiko Yako peleka Kuna husika ila Hii ni game changer hakuna Kiongozi amewahi Jenga Kwa wingi huo Toka Nchi hii Imepata habari..

Ujue nyie midembwedo wa Dar Huwa mnaropoka tuu bila kujua adha ya watu Mikoani.
Wakati wa utawala wa Kikwete zilijengwa kilometa 12,000. Ni jambo jema lakini siyo jipya wala siyo la pekee.

Wakati wa Mwalimu Nyerere, barabara moja ya Dar mpaka Tunduma unadhani ni kilometa ngapi? Na ilijengwa wakati mmoja na TAZARA. Wachina walikuwa wanajenga reli, waitaliano walikuwa wanajenga barabara.

Hakuna jipya chini ya jua. Anatekeleza wajibu wake wakati huu, wa kuendeleza waliyoanza watangulizi wake, na siku akiondoka, wenzake wataendeleza alipoachia.
 
Kwa mara ya Kwanza baada ya Uhuru Tanzania imepata Rais Samia, apewe maua yake.

Serikali ya Rais Samia imeandika Historia nyingine ya ubunifu kwa kusaini kuanza ujenzi wa barabara za kuu za lami kwenye mikoa 13 kwa pamoja zenye jumla ya urefu wa KM 2035 kwa mtindo wa EPC+ F (Engineering, Procurement, Construction and Finance) kwa gharama ya Tsh.Tilioni 3.7.

Akizungumza wakati wa kushuhudia kutiwa saini kwa mikataba hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa amesema kwamba, barabara hizo hazitokuwa za kulipia tozo kama wapotoshaji wanavyosema. Ikumbukwe hii haijawahi tokea toka Uhuru, walinda legacy mnafundishwa kazi.

My Take
Samia anawaonesha kwamba Private Sector inalipa kuliko Ujamaa mbuzi ambao baadhi ya watu wasiojielewa wanakumbatia.

Ndio maana hata kwenye Bandari anataka awafundishe namna ya kutumia rasilimali kwa manufaa ya watu badala ya kuhubiri propaganda za Uzalendo mbuzi na umaskini over years.

Hongera sana Mh. Rais, Historia itaandika jina lako kwa wino Mwekundu.

=====

MIRADI YA BARABARA ILIYOSAINIWA KWA UTARATIBU WA EPC + F

i) Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea (km 435.8) inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo;

ii) Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42) inapita katika Mikoa ya Arusha, Manyara na Dodoma na inapita katika Majimbo ya Arusha Mjini, Arumeru Magharibi, Simanjiro, Kiteto na Kongwa;

iii) Barabara ya Handeni – Kiberashi – Kijungu – Kibaya – Njoro – Olboroti – Mrijo Chini – Dalai – Bicha – Chambolo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida (km 384.33) inapita katika Mikoa ya Tanga, Manyara, Dodoma na Singida na inapita katika Majimbo ya Kilindi, Chemba, Kiteto, Singida Mashariki na Iramba Mashariki;

iv) Barabara ya Igawa – Songwe – Tunduma (njia nne) (km 237.9) inapita katika Mikoa ya Mbeya na Songwe na inapita katika Majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini, Mbeya Mjini, Mbozi, Vwawa na Tunduma;

v) Barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale (km 175) inapita katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na inapita katika Majimbo ya Masasi, Nachingwea na Liwale;

vi) Barabara ya Karatu – Mbulu – Haydom – Sibiti River – Lalago – Maswa (km 339) inapita katika Mikoa ya Manyara, Simiyu, Singida na Arusha na inapita katika Majimbo ya Mbulu Mjini, Mbulu Vijijini, Karatu, Iramba Mashariki, Meatu, Maswa Mashariki na Kisesa; na

vii) Barabara ya Mafinga – Mtwango – Mgololo (km 81) inapita katika Mkoa wa Iringa na inapita katika Majimbo ya Mufindi Kusini na Mafinga.
Wakati wa utawala wa Kikwete zilijengwa kilometa 12,000. Ni jambo jema lakini siyo jipya wala siyo la pekee.

Wakati wa Mwalimu Nyerere, barabara moja ya Dar mpaka Tunduma unadhani ni kilometa ngapi? Na ilijengwa wakati mmoja na TAZARA. Wachina walikuwa wanajenga reli, waitaliano walikuwa wanajenga barabara.

Hakuna jipya chini ya jua. Anatekeleza wajibu wake wakati huu, wa kuendeleza waliyoanza watangulizi wake, na siku akiondoka, wenzake wataendeleza alipoachia.
 
Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea (km 435.8) inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo
Kwahiyo hapa kwenda Morogoro toka songea kupitia tu Morogoro
 
Wakati wa utawala wa Kikwete zilijengwa kilometa 12,000. Ni jambo jema lakini siyo jipya wala siyo la pekee.

Wakati wa Mwalimu Nyerere, barabara moja ya Dar mpaka Tunduma unadhani ni kilometa ngapi? Na ilijengwa wakati mmoja na TAZARA. Wachina walikuwa wanajenga reli, waitaliano walikuwa wanajenga barabara.

Hakuna jipya chini ya jua. Anatekeleza wajibu wake wakati huu, wa kuendeleza waliyoanza watangulizi wake, na siku akiondoka, wenzake wataendeleza alipoachia.
Acha porojo Mzee,Zingejengwa Km 12,000 kama unavyosema wewe Mikoa yote Tanzania ingekuwa imeunganishwa na lami..

Kikwete alijitahidi kujenga ndio ila sio zaidi ya km 6,000 tena Kwa miaka 10.Nchi nzima Hadi Sasa Barabara Zenye Lami ni kama km 11,000 tuu Kwa zinazohudumiwa na TanRoads Toka uhuru ,so usiwe mwongo


Sasa hizi tunazozungumzia Sasa ni sehemu tuu ya maelfu ya Barabara zingine ambazo zikianza ujenzi 2021/22 na 2022/23,Bado za Bajeti Mpya ya 2023/24 hazijasainiwa elewa Hilo..

Ndio.kusema Kwa mwaka 2022/23 Kuna hizi km 2,000 plus plus hizi hapa zingine 👇
Screenshot_20230617-070638.jpg
 
Kwa mara ya Kwanza baada ya Uhuru Tanzania imepata Rais Samia, apewe maua yake.

Serikali ya Rais Samia imeandika Historia nyingine ya ubunifu kwa kusaini kuanza ujenzi wa barabara za kuu za lami kwenye mikoa 13 kwa pamoja zenye jumla ya urefu wa KM 2035 kwa mtindo wa EPC+ F (Engineering, Procurement, Construction and Finance) kwa gharama ya Tsh.Tilioni 3.7.

Akizungumza wakati wa kushuhudia kutiwa saini kwa mikataba hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa amesema kwamba, barabara hizo hazitokuwa za kulipia tozo kama wapotoshaji wanavyosema. Ikumbukwe hii haijawahi tokea toka Uhuru, walinda legacy mnafundishwa kazi.

My Take
Samia anawaonesha kwamba Private Sector inalipa kuliko Ujamaa mbuzi ambao baadhi ya watu wasiojielewa wanakumbatia.

Ndio maana hata kwenye Bandari anataka awafundishe namna ya kutumia rasilimali kwa manufaa ya watu badala ya kuhubiri propaganda za Uzalendo mbuzi na umaskini over years.

Hongera sana Mh. Rais, Historia itaandika jina lako kwa wino Mwekundu.

=====

MIRADI YA BARABARA ILIYOSAINIWA KWA UTARATIBU WA EPC + F

i) Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea (km 435.8) inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo;

ii) Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42) inapita katika Mikoa ya Arusha, Manyara na Dodoma na inapita katika Majimbo ya Arusha Mjini, Arumeru Magharibi, Simanjiro, Kiteto na Kongwa;

iii) Barabara ya Handeni – Kiberashi – Kijungu – Kibaya – Njoro – Olboroti – Mrijo Chini – Dalai – Bicha – Chambolo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida (km 384.33) inapita katika Mikoa ya Tanga, Manyara, Dodoma na Singida na inapita katika Majimbo ya Kilindi, Chemba, Kiteto, Singida Mashariki na Iramba Mashariki;

iv) Barabara ya Igawa – Songwe – Tunduma (njia nne) (km 237.9) inapita katika Mikoa ya Mbeya na Songwe na inapita katika Majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini, Mbeya Mjini, Mbozi, Vwawa na Tunduma;

v) Barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale (km 175) inapita katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na inapita katika Majimbo ya Masasi, Nachingwea na Liwale;

vi) Barabara ya Karatu – Mbulu – Haydom – Sibiti River – Lalago – Maswa (km 339) inapita katika Mikoa ya Manyara, Simiyu, Singida na Arusha na inapita katika Majimbo ya Mbulu Mjini, Mbulu Vijijini, Karatu, Iramba Mashariki, Meatu, Maswa Mashariki na Kisesa; na

vii) Barabara ya Mafinga – Mtwango – Mgololo (km 81) inapita katika Mkoa wa Iringa na inapita katika Majimbo ya Mufindi Kusini na Mafinga.
CHADEMA Kamati Kuu haijakaa kuzungumzia hili, Wazanzibari hawana uchungu na Tanganyika wanaiuza kwa Waarabu kwa faida yao. Sisi wananchi tunataka tumehuru.
 
Hiyo Finance, italipwaje? Ndo WAJINGA tunajiuliza. Mbona hukufafanua? Tusaidie tupate werevu. Punguza matusi, tueleweshane. Kila mtanzania anayo haki ya kujua kwa upole tu sio kutukanana. Hata mimi nashukuru nchi inafunguka. Wananchi zinakopita hizo barabara waisapoti serikali kwa kufanya kazi kwelikweli ili barabara zilete manufaa kabla hazijahitaji ukarabati. Lakini tukijua tunalipaje pia itakuwa kichocheo cha kuingia mashambani na kuzalisha mazao kwa wingi ili zijilipe na sio kujazana kwenye mabasi kwenda kucheza ngoma, harusi na masherehe!
Wewe kama hujui Tulia,kajifunze hiyo model,Kuna model za aina nyingi sana za ujenzi wa Barabara .

Sikiliza video ipo hapo Juu kwenye heading Utajua itakavyolipwa..
 
Kwa mara ya Kwanza baada ya Uhuru Tanzania imepata Rais Samia apewe maua yake.

Serikali ya Rais Samia imeandika Historia nyingine ya ubunifu kwa kusaini kuanza ujenzi wa barabara za kuu za lami kwenye mikoa 13 kwa pamoja zenye jumla ya urefu wa KM 2035 kwa mtindo wa EPC+ F (Engineering, Procurement, Construction and Finance) kwa gharama ya Tsh.Tilioni 3.8 ambapo miradi inatarajiwa Kukamilika ndani ya miaka 4 (2023-2027).


Akizungumza wakati wa kushuhudia kutiwa saini kwa mikataba hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa amesema kwamba, barabara hizo hazitokuwa za kulipia tozo kama wapotoshaji wanavyosema. Ikumbukwe hii haijawahi tokea toka Uhuru, walinda legacy mnafundishwa kazi.

My Take
Samia anawaonesha kwamba Private Sector inalipa kuliko Ujamaa mbuzi ambao baadhi ya watu wasiojielewa wanakumbatia.

Ndio maana hata kwenye Bandari anataka awafundishe namna ya kutumia rasilimali kwa manufaa ya watu badala ya kuhubiri propaganda za Uzalendo mbuzi na umaskini over years.

Hongera sana Mh. Rais, Historia itaandika jina lako kwa wino Mwekundu.

=====

MIRADI YA BARABARA ILIYOSAINIWA KWA UTARATIBU WA EPC + F

i) Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea (km 435.8) inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo;

ii) Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42) inapita katika Mikoa ya Arusha, Manyara na Dodoma na inapita katika Majimbo ya Arusha Mjini, Arumeru Magharibi, Simanjiro, Kiteto na Kongwa;

iii) Barabara ya Handeni – Kiberashi – Kijungu – Kibaya – Njoro – Olboroti – Mrijo Chini – Dalai – Bicha – Chambolo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida (km 384.33) inapita katika Mikoa ya Tanga, Manyara, Dodoma na Singida na inapita katika Majimbo ya Kilindi, Chemba, Kiteto, Singida Mashariki na Iramba Mashariki;

iv) Barabara ya Igawa – Songwe – Tunduma (njia nne) (km 237.9) inapita katika Mikoa ya Mbeya na Songwe na inapita katika Majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini, Mbeya Mjini, Mbozi, Vwawa na Tunduma;

v) Barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale (km 175) inapita katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na inapita katika Majimbo ya Masasi, Nachingwea na Liwale;

vi) Barabara ya Karatu – Mbulu – Haydom – Sibiti River – Lalago – Maswa (km 339) inapita katika Mikoa ya Manyara, Simiyu, Singida na Arusha na inapita katika Majimbo ya Mbulu Mjini, Mbulu Vijijini, Karatu, Iramba Mashariki, Meatu, Maswa Mashariki na Kisesa; na

vii) Barabara ya Mafinga – Mtwango – Mgololo (km 81) inapita katika Mkoa wa Iringa na inapita katika Majimbo ya Mufindi Kusini na Mafinga.

Tafsiri ya EPC+F ni nini?
 
Kwa mara ya Kwanza baada ya Uhuru Tanzania imepata Rais Samia apewe maua yake.

Serikali ya Rais Samia imeandika Historia nyingine ya ubunifu kwa kusaini kuanza ujenzi wa barabara za kuu za lami kwenye mikoa 13 kwa pamoja zenye jumla ya urefu wa KM 2035 kwa mtindo wa EPC+ F (Engineering, Procurement, Construction and Finance) kwa gharama ya Tsh.Tilioni 3.8 ambapo miradi inatarajiwa Kukamilika ndani ya miaka 4 (2023-2027).


Akizungumza wakati wa kushuhudia kutiwa saini kwa mikataba hiyo Jijini Dodoma, Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa amesema kwamba, barabara hizo hazitokuwa za kulipia tozo kama wapotoshaji wanavyosema. Ikumbukwe hii haijawahi tokea toka Uhuru, walinda legacy mnafundishwa kazi.

My Take
Samia anawaonesha kwamba Private Sector inalipa kuliko Ujamaa mbuzi ambao baadhi ya watu wasiojielewa wanakumbatia.

Ndio maana hata kwenye Bandari anataka awafundishe namna ya kutumia rasilimali kwa manufaa ya watu badala ya kuhubiri propaganda za Uzalendo mbuzi na umaskini over years.

Hongera sana Mh. Rais, na Waziri wa Mbarawa Kwa Ubunifu,Historia itaandika jina lako kwa wino Mwekundu.

=====

MIRADI YA BARABARA ILIYOSAINIWA KWA UTARATIBU WA EPC + F

i) Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea (km 435.8) inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo;

ii) Barabara ya Arusha – Kibaya – Kongwa (km 453.42) inapita katika Mikoa ya Arusha, Manyara na Dodoma na inapita katika Majimbo ya Arusha Mjini, Arumeru Magharibi, Simanjiro, Kiteto na Kongwa;

iii) Barabara ya Handeni – Kiberashi – Kijungu – Kibaya – Njoro – Olboroti – Mrijo Chini – Dalai – Bicha – Chambolo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida (km 384.33) inapita katika Mikoa ya Tanga, Manyara, Dodoma na Singida na inapita katika Majimbo ya Kilindi, Chemba, Kiteto, Singida Mashariki na Iramba Mashariki;

iv) Barabara ya Igawa – Songwe – Tunduma (njia nne) (km 237.9) inapita katika Mikoa ya Mbeya na Songwe na inapita katika Majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini, Mbeya Mjini, Mbozi, Vwawa na Tunduma;

v) Barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale (km 175) inapita katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na inapita katika Majimbo ya Masasi, Nachingwea na Liwale;

vi) Barabara ya Karatu – Mbulu – Haydom – Sibiti River – Lalago – Maswa (km 339) inapita katika Mikoa ya Manyara, Simiyu, Singida na Arusha na inapita katika Majimbo ya Mbulu Mjini, Mbulu Vijijini, Karatu, Iramba Mashariki, Meatu, Maswa Mashariki na Kisesa; na

vii) Barabara ya Mafinga – Mtwango – Mgololo (km 81) inapita katika Mkoa wa Iringa na inapita katika Majimbo ya Mufindi Kusini na Mafinga.

Tunataka bandari zetu , kwani barabara yeye ndo atakua wa kwanza kujenga, na anajenga kwa pesa yake toka mfukoni

Tunataka bandari zetu , alafu hili uyu mama analichukulia poa , acha aendelee kuweka pamba masikioni
 
Tunataka bandari zetu , kwani barabara yeye ndo atakua wa kwanza kujenga, na anajenga kwa pesa yake toka mfukoni

Tunataka bandari zetu , alafu hili uyu mama analichukulia poa , acha aendelee kuweka pamba masikioni
Ndio ni WA kwanza kujenga Barabara nyingi Kwa pamoja.

Kazibebe mgongoni kwani hujui ziliko hizo Bandari?
 
Yule mwingine alikuwa ni mjinga mmja tuu,ujue Kila siku nawaambia Wajamaa ni watu wapumbavu sana Mkiwa entertain mtaishia kuwa maskini milele.

Pumbavu. Mbona hakuna barabara hata moja ulizoorodhesha hapo katika Mikoa yoyote ya Kanda ya Ziwa kuanzia Mara mpk Kigoma. Uongozi ni ule unaoacha alama sio poroja unazoleta hapa. Afu unachokipenda wewe sio lazima akipende mwenzio so acha kauli za kubeza wanaopenda usichopenda wewe.
 
Back
Top Bottom