Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

Zaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo

The worst president ever!!Samia ni janga kwa nchi yetu,huyu mama uwezo wake ni kama mwijaku TU,hawezi kuongoza hata wilaya,
Marais wa AFRIKA,wakiongozwa na SA wapo Ukraine,kuongoza ujumbe wa amani Ili kusitisha vita,yeye Samia yup kajificha kwenye upuuzi wa ccm
Imevuta bangi ya wapi Mzee? 😁😁
 
Mimi sio chawa Wala sipati mlo.kwa Samia,najilisha..

Kwa hiyo wewe unavyosifiaga Mbowe na Lisu wewe ni chawa wao na wanakulisha au?

Wami
Slander
Umeme wa grid umewashwa Kigoma
Sgr vipande vyote vina Wakandarasi
Mabarabara ndio usiseme
Mahospital ndio usiseme eg Hospital Mpya ya Rufaa Meta Mbeya,Mtwara,Chato nk

Hapa unataka nijaze Seva Sasa,unataka sekta gani?
Chawa tulia, au uweke udhibitisho wa mimi kumsifia Mbowe na Lisu. Au kwakuwa ww ni muumini wa kusifia watu, basi unajua kila mtu ni chawa wa sampuli yako.

Narudia tena kukuuliza chawa, taja ni lini huo ujenzi wa hizo barabara ume/utaanza na kukamilika. Au taja mradi wowote angalau wa 1t ambao ameshaukamlisha toka ameingia madarakani. Ukifanikiwa kutaja uchawa wako utaisha rasmi.
 
Chawa tulia, au uweke udhibitisho wa mimi kumsifia Mbowe na Lisu. Au kwakuwa ww ni muumini wa kusifia watu, basi unajua kila mtu ni chawa wa sampuli yako.

Narudia tena kukuuliza chawa, taja ni lini huo ujenzi wa hizo barabara ume/utaanza na kukamilika. Au taja mradi wowote angalau wa 1t ambao ameshaukamlisha toka ameingia madarakani. Ukifanikiwa kutaja uchawa wako utaisha rasmi.
Mara nyingi Huwa nasema chadomo Ina watu wajinga na wapuuzi sana,sijui hivyo vichwa chenu kazi yake hasa ni ipi..

Hadi Leo hii hujui utaratibu wa Mikataba TanRoads? Basi nakusaidia ujenzi utaanza rasmi baada ya miezi 4,ndani ya miezi 4 hiyo Wakandarasi watakuwa wanafanya mobilisation na kujenga Kambi..

Nenda Mbeya saizi ujenzi ukishaanza Kwa mkandarasi aliyesaini Mkataba mwezi wa 2..

Nyie machawa wa Mbowe na Lisu ni majinga , Mwenyekiti wenu wa kudumu 😁😁😁🤪🤪🤪
 
Mara nyingi Huwa nasema chadomo Ina watu wajinga na wapuuzi sana,sijui hivyo vichwa chenu kazi yake hasa ni ipi..

Hadi Leo hii hujui utaratibu wa Mikataba TanRoads? Basi nakusaidia ujenzi utaanza rasmi baada ya miezi 4,ndani ya miezi 4 hiyo Wakandarasi watakuwa wanafanya mobilisation na kujenga Kambi..

Nenda Mbeya saizi ujenzi ukishaanza Kwa mkandarasi aliyesaini Mkataba mwezi wa 2..

Nyie machawa wa Mbowe na Lisu ni majinga , Mwenyekiti wenu wa kudumu 😁😁😁🤪🤪🤪
Ogopa matapeli.
 
Serikali ya Rais Samia imeandika Historia Nyingine ya ubunifu Kwa kusaini Kuanza Ujenzi wa Barabara za Kuu za Lami kwenye Mikoa 13 Kwa pamoja Zenye jumla ya urefu wa km 2035 Kwa mtindo wa EPC +F Kwa gharama ya sh.Tilioni 3.7.

Engineering, Procurement, Construction and Finance (EPC+F).

Akizungumza wakati wa kushuhudia Kutiwa Saini Kwa mikataba hiyo Jijini Dodoma , Waziri wa Ujenzi Prof.Mbarawa amesema kwamba Barabara hizo hazitokuwa za kulipia tozo kama wapotoshaji wanavyosema.Ikumbukwe hii haijawahi tokea Toka Uhuru,walinda ligacy mnafundishwa kazi.


My Take
Samia anawaonesha kwamba Private Sector inalipa kuliko Ujamaa mbuzi ambao Baadhi ya watu wasiojielewa Wanakumbatia..

Ndio maana hata kwenye Bandari anataka awafundishe namna ya kutumia rasilimali Kwa manufaa ya watu badala ya kuhubiti propaganda za Uzalendo mbuzi na umaskini over years..

Hongera sana Mh.Rais Historia itaandika jina lako Kwa Wino Mwekundu..

Ni mtandao mzuri sana huo ukikamilika itakuwa safi.👌
 
Umeona eeee na ma nickel yote
Hujui kitu wewe,kwanza nani kakwambia Barabara zote zinajengwa Kwa staili ya EPC? Kanda ya Ziwa Kuna miradi zaidi ya 5 ,mitatu ikiwa Kagera.

Awamu ya 6 sio sawa na awamu ya yule mkabila wenu
 
Kuna Rais alijenga km 17000 za lami Jk na hakukuwa na ukuda kama mnaouleta
Unazijua km 17,000 au unaropoka tuu? Ingekuwa hivyo basi Mtandao mzima wa Barabara za TanRoads zingekuwa zimemalizika Nchi nzima na Barabara za kuunganisha Mkoa na Mkoa zote Tanzania zingekuwa na lami..

Kwa Taarifa Yako Barabara Zenye Lami Tanzania Nzima ni chini ya km 10,000 tuu ,hiyo 17,000km ndio ya Kenya .

Kama hujui takwimu usiwe mwongo na mropokaji unajiaibiasha.👇
Screenshot_20230617-060617_1.jpg
 
Tuna uzoefu na hizo ahadi hewa. Ahadi ya hizo barabara ni za miaka na miaka. Halafu kusaini hapo haimaanishi mradi ndio uhakika wa kuanza maana ni hadi hela ipatikane, na kwa sasa hela hakuna. Hivyo huo wa usanii wa kusaka kiki za kisiasa tunaujua vizuri.

Ndugu bora umeeleza ukweli kwani kilichosainiwa kimekuwepo toka miaka ya 2000, mfano Ni Hilo daraja la mto Sibiti mpaka Leo halijaisha itakuwa barabara? Kuna barabara ya kulipia Ubungo - Chalinze - Morogoro imeongelewa sana na mpaka survey ilishafanyiwa lakini haijaanza kujengwa feza hakuna kilichobaki Ni kick za uchaguzi 2025
 
Ndugu bora umeeleza ukweli kwani kilichosainiwa kimekuwepo toka miaka ya 2000, mfano Ni Hilo daraja la mto Sibiti mpaka Leo halijaisha itakuwa barabara? Kuna barabara ya kulipia Ubungo - Chalinze - Morogoro imeongelewa sana na mpaka survey ilishafanyiwa lakini haijaanza kujengwa feza hakuna kilichobaki Ni kick za uchaguzi 2025
Usifananishe Samia na hao ma failures wengine waliowaahidi,Sasa baada ya kusainiwa mkataba daraja na Barabara vitajengwa rasmi..

Hiyo Barabara ya Morogoro Bado inafanyiwa usanifu wa kina kuanzia Kikara -Chalinza-Morogoro Hadi Dodoma na itakuwa na njia 6 sio 4 huku njia 2 zikiwa za kulipia yaani express way Kwa wenye haraka zao na itajengwa Kwa staili ya PPP,mwakani ujenzi utaanza rasmi.
 
Back
Top Bottom