Zaidi ya kunitia ndani, kunipiga na kunitesa, je mwanasiasa aliye madarakani ana kipi kingine cha kunifanya?

Zaidi ya kunitia ndani, kunipiga na kunitesa, je mwanasiasa aliye madarakani ana kipi kingine cha kunifanya?

Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.

Ukishayafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.

Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
Kimetokea kitu gani Bujibuji wakati mmeshakubaliana kwa msichokubaliana kumsuta alieshika mpini wa jambia? Inakuwaje wakati ulifurahi kufariki kwa JPM na ukaonesha matumaini ya unafuu wa kile mlichokuwa mkilalamikia sasa unalalama kana kwamba kuna pahala umebanwa sijui kwa kitu gani kisha wakakushushia kichapo kilichoacha maumivu hadi unakuja kulalama kwenye jukwaa la wajuvi wa kuzamia mashambulizi na kumweka kwenye kona mshambulishaji?

Paaza sauti kubwa unene kila kitu kilichotokea haraka akili kubwa zitakuunga mkono bila gharama zozote.
 
Kimetokea kitu gani Bujibuji wakati mmeshakubaliana kwa msichokubaliana kumsuta alieshika mpini wa jambia? Inakuwaje wakati ulifurahi kufariki kwa JPM na ukaonesha matumaini ya unafuu wa kile mlichokuwa mkilalamikia sasa unalalama kana kwamba kuna pahala umebanwa sijui kwa kitu gani kisha wakakushushia kichapo kilichoacha maumivu hadi unakuja kulalama kwenye jukwaa la wajuvi wa kuzamia mashambulizi na kumweka kwenye kona mshambulishaji?

Paaza sauti kubwa unene kila kitu kilichotokea haraka akili kubwa zitakuunga mkono bila gharama zozote.
Lielewe swali, hili swali ni kwa serikali yoyote duniani iliyopo madarakani
 
Nasikia kuna jamaa wawili, mmoja anaitwa Firauni na mwenziwe Komando hao wapo kwa kuwanajisi wanaume wenzao tu. Aahh kaka Bujibuji Simba Nyamaume, wakikufanya hivyo hutolia kama simba tena utalia kama paka nyauu.
Wanafaidika kitu gani kwa kulawiti wenzao?
 
Huko kukupiga na kukusweka rupango tayari ni mateso makubwa sana.

Kinyume na hayo labda kifo tu
 
Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.

Ukishayafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.

Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka

1. Utatengenezewa Fitna ikishindikana

2. Utaundiwa zengwe ikishindikana

3. Utarushiwa kipapai cha Tanga au Sumbawanga (utarogwa) ikishindikana

4. Utauwawa
 
  • Herode aliamuru kichwa cha Yohane Mbatizaje kipelekwe kikiwa kwenye sinia wakati wa hafla.
  • Tuwaombee voongozi ili tupate kuishi kwa utulivu kwani utulivu hujenga kesho iliyo bora
 
Pole sana ndugu, vitisho na ukatili wa shetani hajawahi kudumu hata mara moja dhidi ya binadamu na huu ndio ukweli. Siku zaja hata mawe ambayo hayasemi yatasema!
 
Mkuu tatizo si kutiwa ndani shida huko ndani ukishatiwa ndio tatizo. Maana wanatishia kuachia video walizokua wana record wakati wanakutia ndani.
 
Wewe peke yako kwao ni immaterial yaani a nothing non entity..., ila wewe na wenzako ndio maboss wao na kwa pamoja nyie ndio mnaweza kuwanyoosha....

 
Ukiona nchi inawatesa watu kwa kusema tu, ujue uongozi hauna 'grey matters' hawataki kuumbuliwa!
 
Nchi hii watu wanachokipa thamani ni Yanga vs Simba, Conection shoo shoo, umbea, kufatiliana, n.k.

Mambo ya uongozi wwngi washapigwa tatoo ya akili kwamb wamwachie kiongozi wanawaona viongozi ni watakatifu
Watu gani hao unaowaongelea mkuu? Wale wale waliokomaa na Lissu JKNIA na pia Kiluvya? Au wale wakizuiliwa kumfanyia maombi Lissu? Wamo wale waliochangishana mamilioni kulipa faini za viongozi wao mahakamani? Nk nk?

Hapana mkuu.

Haitakuwa tafsiri yako ni fyongo kwa watu hao unaojaribu kuwazodoa, labda.

Mkuu, siyo Kwamba:

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi
 
Mawazo haya yakiwaingia raia, nchi hii itanyooka
 
Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.

Ukishayafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.

Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
...ana uwezo wa kukuua na kuja kukulilia msibani kwako.

Upo sheikh?
 
Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.

Ukishayafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.

Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
Kukupuuza
 
Back
Top Bottom