Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Kimetokea kitu gani Bujibuji wakati mmeshakubaliana kwa msichokubaliana kumsuta alieshika mpini wa jambia? Inakuwaje wakati ulifurahi kufariki kwa JPM na ukaonesha matumaini ya unafuu wa kile mlichokuwa mkilalamikia sasa unalalama kana kwamba kuna pahala umebanwa sijui kwa kitu gani kisha wakakushushia kichapo kilichoacha maumivu hadi unakuja kulalama kwenye jukwaa la wajuvi wa kuzamia mashambulizi na kumweka kwenye kona mshambulishaji?Wanasiasa mliopo madarakani msitutishe, kwani zaidi ya kunitesa, kunipiga na kunitia ndani huna kingine cha kunifanya.
Ukishayafanya hayo nikirudi uraini nitakuwa Nitshill zaidi kwako na kwa wanao.
Msitafute balaa kwenu ninyi binafsi na kwa vizazi vyenu kisa tu ulevi wa madaraka
Paaza sauti kubwa unene kila kitu kilichotokea haraka akili kubwa zitakuunga mkono bila gharama zozote.