Zaidi ya Ma-MC 10 kuongoza harusi ya Masanja Mkandamizaji

Zaidi ya Ma-MC 10 kuongoza harusi ya Masanja Mkandamizaji

Ndo tatizo la watu walioachika, muache masanja wa watu afurahie maisha. Kobe mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hongera mrithi wa mikoba ya Sheikh Yahya.
Umetabiri vyema...
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Pole dada ndo ushakosa muombe mungu utapata mwingne eee kama nakuona ulivytam ungekuw ww
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naanzia wapi kutamani?Wanaotamani ni wakosaji...
Nami sio mmoja kati yao.
 
Ili lijamaa baada ya kufunua vikojoleo vya watoto wa watu sasa ndo kanasa hako kalokole? Mweh!!! Nnawaombea azae vya kike tu naye wambamizie kidogo
 
sio mbaya asipomsifia mc atamsifia zaid ''mwanawanawe'' mbna ni kawaida maharusi kusifiwa kwenye hafla na bora ameoa ambaye hammujui ndo mngemchapa madongo zaid gogo masanja mwanawane kakandamize usiku kucha kwenye mc usimsahau mwarabu wa dubay
 
Msichana wa kisukuma MWEUPE? Masanja aliumia sana kwenye mahari maana msichana wa kisukuma akiwa mweupe mahari yake ni juu sana.
 
View attachment 365277 View attachment 365273 View attachment 365271
Katika kuwahabarisha watu wake na mashabiki wake,Masanja Mkandamizaji ameandika hivi katika mtandao wake
MBWEMBWE ZOOOOOOTE ZIMEISHIA KWA BINTI HUYU WA KISUKUMA HAKIKA KAWAZIDI WOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOTEEEEEEEEE

JAMANI KAMA ULIWAHIGI NIPENDA AU NILIWAHIGI KUKUPENDA BASI TUENDELEE KUOMBEANA MAANA HAPA NDO BREAK YA MBELE.

NAMPENDA MPAKA NASIKIA KIZUNGUZUNGU.
NAONA TAR 14 HAIFIKI

NATAMANI UKUMBINI MKAE SITI YA MBELE ILI USHUHUDIE MA STEP

ZAIDI YA MA MC 10 NIKIWEPO MIMI TUTAONGOZAAAAAAAAAAAAAAA TUKIO.

JAMANI KUSEMA UKWELI HAKA KA BINTI NAKAPENDA MWEEEEEH

KAMA HAUJAJISIKIA VIBAYA TUTAKIE KILA LA KHERI NA USIPOTUTAKIA MUNGU ATAFANYAAA
Hongera kaka kwa maamuzi bora Mungu awe upande wenu
 
Mimi nimemuona Mr.Mbasha kwa mbaaali au nimemfananisha?
 
Back
Top Bottom