Zaidi ya miaka mitatu hakuna wateja; mnashindwa kubadili matumizi ya jengo?

Zaidi ya miaka mitatu hakuna wateja; mnashindwa kubadili matumizi ya jengo?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Hili jengo lipo barabara ya kutoka Ubungo kwenda Mwenge la PPF linanihuzunisha sana na zaidi pesa za wanachama linajengwa naliona tangu wanachimba msingi limekamilika nalishuhudia lakini tangu likamilike limemaliza miaka mitatu na mpangaji aliyepo ni NHIF tu.

Najiuliza mbona hawa wahusika mawazo yao yame-stuck, hawajui nini walitumie?

Wanashindwa hata kuligeuza hostel ya UDSM?

Tena wapangieni wanaotoka vijijini hapo wajihisi wapo peponi waongeze bidii kusoma.

1609315479607.png
 
Hili jengo lipo barabara ya kutoka Ubungo kwenda Mwenge la PPF linanihuzunisha sana na zaidi pesa za wanachama linajengwa naliona tangu wanachimba msingi limekamilika nalishuhudia lakini tangu likamilike limemaliza miaka mitatu na mpangaji aliyepo ni NHIF tu.

Najiuliza mbona hawa wahusika mawazo yao yame-stuck, hawajui nini walitumie?

Wanashindwa hata kuligeuza hostel ya UDSM?

Tena wapangieni wanaotoka vijijini hapo wajihisi wapo peponi waongeze bidii kusoma.

Ilo jengo ndio wanatafuta tenants sahv,limekamilika Hakuna hata zaidi ya miezi 6 wewe unasema umeliona tangu likijengwa blablah nyingi hivi waswahili hua Ni kazi mnakosa Au kitu gani
 
Serikali kuhamia Dom kumeharibu project nyingi sana hasa kwa wale waliowekeza kwenye majengo ya ofisi nk angalia yale majengo kutoka mwenge kwenda morocco nk.

Lakini sababu ya pili ni hali ya kiuchumi licha tu ya namna serikali inavyouendesha kwa kutaka yenyewe ndiyo iuendeshe na kuzinyima fursa private sector lkn pia janga la covid nalo lina sehemu yake.
 
Ilo jengo ndio wanatafuta tenants sahv,limekamilika Hakuna hata zaidi ya miezi 6 wewe unasema umeliona tangu likijengwa blablah nyingi hivi waswahili hua Ni kazi mnakosa Au kitu gani
research before speak, hao NHIF wana mwaka sasa tangu waingie
 
Huwa wanainflate bei ya mradi ili kupiga pesa. Sasa ili bei ikubalike na uonekane kama mradi utalipa wanasema watapangisha kwa bei fulani, kubwa sana.Huku kitaa watu wanagoma kupanga kwa bei hiyo.
Kushusha bei wanaogopa kuharibu mahesabu. Wanaacha jengo tu.

Pia mengine hujengwa sababu ya sifa na si biashara.
 
Wengi Sana watasingiziwa,waliojenga hayo majengo waliilenga private sector na kabla ya Magu kuingia ikulu sekta ya real estate ilikuwa hot Sana sio tu Dar na kwingine kote lakini mtu wenu kavuruga uchumi wa sekta binafsi na haeleweki anataka nini

Haya ndio matokeo ya kuokoteza viongozi mitaani
 
Serikali kuhamia Dom kumeharibu project nyingi sana hasa kwa wale waliowekeza kwenye majengo ya ofisi nk angalia yale majengo kutoka mwenge kwenda morocco nk.

Lakini sababu ya pili ni hali ya kiuchumi licha tu ya namna serikali inavyouendesha kwa kutaka yenyewe ndiyo iuendeshe na kuzinyima fursa private sector lkn pia janga la covid nalo lina sehemu yake.
Mtazamo.. Demand vs Supply !!
Bei ya soko muda huu ni very LOW !!
Lakini vitabu bei yake unchangeable!!
Hope
 
Back
Top Bottom