Ilo jengo ndio wanatafuta tenants sahv,limekamilika Hakuna hata zaidi ya miezi 6 wewe unasema umeliona tangu likijengwa blablah nyingi hivi waswahili hua Ni kazi mnakosa Au kitu ganiHili jengo lipo barabara ya kutoka Ubungo kwenda Mwenge la PPF linanihuzunisha sana na zaidi pesa za wanachama linajengwa naliona tangu wanachimba msingi limekamilika nalishuhudia lakini tangu likamilike limemaliza miaka mitatu na mpangaji aliyepo ni NHIF tu.
Najiuliza mbona hawa wahusika mawazo yao yame-stuck, hawajui nini walitumie?
Wanashindwa hata kuligeuza hostel ya UDSM?
Tena wapangieni wanaotoka vijijini hapo wajihisi wapo peponi waongeze bidii kusoma.
research before speak, hao NHIF wana mwaka sasa tangu waingieIlo jengo ndio wanatafuta tenants sahv,limekamilika Hakuna hata zaidi ya miezi 6 wewe unasema umeliona tangu likijengwa blablah nyingi hivi waswahili hua Ni kazi mnakosa Au kitu gani
Mwaka unamiezi mingap kimakinikia?research before speak, hao NHIF wana mwaka sasa tangu waingie
Kwanini wasipangishe hata kwa bei za hasara? Mi naamini pia hayapati wateja kwa sababu wana charge pesa nyingi sanaJengo lingine ambalo floor nyingi hazitumiki ni lile la TPA Tower na PSPF Tower.
Acha uongo. Bango la LETTING liliwekwa zaidi ya mwaka na nusu nyuma. Mada ni kuwa jengo liko tupu acha ubabaishajiZa kuambiwa changanya na zako! Hilo jengo halina hata mwaka tokea likamilike, rudi kwa aliyekupa taarifa kakuingiza chaka.
Hilo bango inawezekana liliwekwa lkn kazi za finishing ndan zilikua zinaendeleaAcha uongo. Bango la LETTING liliwekwa zaidi ya mwaka na nusu nyuma. Mada ni kuwa jengo liko tupu acha ubabaishaji
Mtazamo.. Demand vs Supply !!Serikali kuhamia Dom kumeharibu project nyingi sana hasa kwa wale waliowekeza kwenye majengo ya ofisi nk angalia yale majengo kutoka mwenge kwenda morocco nk.
Lakini sababu ya pili ni hali ya kiuchumi licha tu ya namna serikali inavyouendesha kwa kutaka yenyewe ndiyo iuendeshe na kuzinyima fursa private sector lkn pia janga la covid nalo lina sehemu yake.
Kwa hiyo lina wateja wangapi baada ya kukamilika?Hilo bango inawezekana liliwekwa lkn kazi za finishing ndan zilikua zinaendelea