Zaidi ya miaka mitatu hakuna wateja; mnashindwa kubadili matumizi ya jengo?

Visionless board of directors ndio wanatupeleka huku.
Majengo ya serikali Dar ni magofu, business zinafungwa.
Ni wakati muafaka sasa board of directors ziundwe na ppl below fourty.
These old guys will lead us to the grave ambako ndiko wenyewe wanakoelekea
 
Hahaha... usikate tamaa, Zamu za under 40 zitakuja tu..
 
Halijatimiza miaka mitatu
 
Hili ni jengo la PPF lengo ilikuwa ni kuhamishia makao makuu hapo kutoka posta kabla hawajahamia ikaingia issue ya Dodoma.
Pia kuna apartments, maduka, ofisi, club e.t.c
 
Wangeipangisha hata UDSM ili watumie kama madarasa na maofisi au hata hostel za wanafunzi maana pale ni karibu sana na UDSM

Vv
 
Limetimiza mingap? Unabisha bil kuweka jibu sahihi. Acha uzwazwa
Ukipigia hesabu tangia kuanzwa kujengwa linazidi miaka mitatu ila tangia likamilike halizidi mwaka na bado kuna finishing inaendelea wing ya chini
 
Kwanini wasipangishe hata kwa bei za hasara? Mi naamini pia hayapati wateja kwa sababu wana charge pesa nyingi sana
Wapangishe kwa bei za hasara kisha mataengenezo na huduma zakawaida za kuhudunia jengo watumie hizo hizo hela za hasara? huoni hapo kua kutakua na hasara mbili badala ya hasara moja iliyopo sasa hivi?
 
Unasema; "Wapangishwe wanaotoka Vijijini hapo ili wajihisi wapo Peponi"
Kwani hao wa mjini sasa hivi wao tayari wote wanaishi kwenye majengo ya aina hiyo?
 
Ten percent
 
Ilo jengo ndio wanatafuta tenants sahv,limekamilika Hakuna hata zaidi ya miezi 6 wewe unasema umeliona tangu likijengwa blablah nyingi hivi waswahili hua Ni kazi mnakosa Au kitu gani
Nadhani lina zaidi ya mwaka tokea likamilike, mwaka jana Novemba nilienda kukata bima ya afya NHIF japokuwa ndio walikuwa wamehamia hata hawajapanga ofisi vizuri.
 
Majengo mengi Marefu ya Dar cjui kama yapo na wapangaje kwa % mia na hili lipo toka kitambo sn majengo mengi mjini yapo Empty na fikiri hata maintenance costs yake inaweza kuwa kubwa kuliko kipata wanacho pata kwa kutoka kwenye jengo husika.
 
Kwanini wasipangishe hata kwa bei za hasara? Mi naamini pia hayapati wateja kwa sababu wana charge pesa nyingi sana
Kwa matumizi ya ofisi wanapangisha Kwa Square Metres na bei nadhani inawakimbiza wateja.

Kwenye jengo la PSPF wao kuna kipindi walikuwa wanatangaza floor za juu kuna appartment. Siku hizi jioni au asubuhi kwenye ghorofa kama ya 18 au 20 unaona kuna mtu kaanika nguo au taa zinawaka inawezekana kuna raia wameamua waishi juu ya jiji la Mzizima.
 
In being gani kwa square meter? Kwenye hizo apartments za juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…