Zaidi ya miti milioni 2 kukatwa kupisha mradi wa umeme wa Stiegler's gorge

Zaidi ya miti milioni 2 kukatwa kupisha mradi wa umeme wa Stiegler's gorge

Ajiulize pale jangwani tathmini ya mradi haikuwepo, nini kinatokea saa hizi?
Hii hapa
Screenshot_20180516-142825.jpg
 
Tuliotoa ridhaa tu najua nini kilichoahidiwa. Gasi ilikuwa njia ya haraka kuondoa mgao wa Umeme. Mpaka sasa uwekezaji unaendelea.
Wewe unakereka nini Umeme wa maji ukipatikana kwa bei ya chini

Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Unadhani kila anayeihoji serekali basi alikuwa anamfagilia Lowassa huyo muhuni toka ccm. kichwa chako kimejaa siasa za ccm na cdm kiasi kwamba unadhani kila mchangiaji ni kama ww.

Huo umeme wa gas haukuwahi kutangazwa kuwa ni kwa ajili ya kuondoa mgao bali ulifikia mpaka mahali tukaambiwa itakuwa nchi ya uchumi wa gas. Na sisi wote huwa tunawajua viongozi wetu karibu wote wa ngozi nyeusi huwa hawana uwezo wa kusimamia jambo likafanyika kwa tija. Utashangaa aliyepita akisadikisha umeme wa gas ni suluhisho lakini ukweli ni kinyume chake. Ameingia huyu kama vile kapindua nchi na ni wa chama tofauti, anahubiri mradi wa umeme wa maji huku mfukoni sent tano hana. Ukimuuliza kwanini sio gas na ulikuwa kwenye serekali iliyohubiri uchumi wa gas ataishia kutoa kejeli za ulevi wa madaraka. Atakuambia umeme wa maji ni nafuu, ukimuuliza kwanini alikuwa kimya wakati gas inasifiwa, unaenda kupimwa mkojo. Kichekesho ni hapo atakapojitutumua kuanza huo mradi atamaliza muda wake kabla ya kukamilisha, kisha akiingia mwingine anakuja na yake ya umeme wa upepo/solar kwamba ndio rahisi!! Kisha nyie mtaanza tena kupanga vina kwenye mashairi yenu
 
Sisi tunataka umeme na > MW 2000 zetu, porojo pelekeni kwa Bisimba na tls!
 
Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Unadhani kila anayeihoji serekali basi alikuwa anamfagilia Lowassa huyo muhuni toka ccm. kichwa chako kimejaa siasa za ccm na cdm kiasi kwamba unadhani kila mchangiaji ni kama ww.

Huo umeme wa gas haukuwahi kutangazwa kuwa ni kwa ajili ya kuondoa mgao bali ulifikia mpaka mahali tukaambiwa itakuwa nchi ya uchumi wa gas. Na sisi wote huwa tunawajua viongozi wetu karibu wote wa ngozi nyeusi huwa hawana uwezo wa kusimamia jambo likafanyika kwa tija. Utashangaa aliyepita akisadikisha umeme wa gas ni suluhisho lakini ukweli ni kinyume chake. Ameingia huyu kama vile kapindua nchi na ni wa chama tofauti, anahubiri mradi wa umeme wa maji huku mfukoni sent tano hana. Ukimuuliza kwanini sio gas na ulikuwa kwenye serekali iliyohubiri uchumi wa gas ataishia kutoa kejeli za ulevi wa madaraka. Atakuambia umeme wa maji ni nafuu, ukimuuliza kwanini alikuwa kimya wakati gas inasifiwa, unaenda kupimwa mkojo. Kichekesho ni hapo atakapojitutumua kuanza huo mradi atamaliza muda wake kabla ya kukamilisha, kisha akiingia mwingine anakuja na yake ya umeme wa upepo/solar kwamba ndio rahisi!! Kisha nyie mtaanza tena kupanga vina kwenye mashairi yenu
Kwa akili yako hakuna kinachoendelea kwenye gesi? Mbona sikuelewi au nawasiliana na roboti? Kama unayejibu ni mtu ngoja nikuambie machache yanayoendelea kwenye gesi. Sasa hivi inatathiminiwa zabuni ya kumpata mshauri mwelekezi kwenye masuala ya LG plant.
Pale kinyerezi hivi karibuni yaani mwezi April 2018 Magufuli kazindua mg 350 kwa Pesa alizozitoa akiwa madarakani. Pia Ujenzi wa mitambo ya kutoa mg 600 michakato yake unaendelea. Lengo mpaka 2020 Kuwe na mg 5000 na stigler itatoa mg 2100 ni wazi gesi ndio itatoa Umeme mwingi hivyo kutiwa uchumi wa gesi ni sawa.
 
Nadhani hujui historia ya mradi huu, huu mradi wa Umeme maamuzi yake yalikubaliwa mwaka 1974/5 wakati wa Nyerere. JPM hakutoa kichwa ni akaamua kuanza ujengwe.
Kuna sababu nyingi zilizopelekea usianze kujenga mojawapo ilikuwa Vita ya 1977, ilipelekea serikali kukosa pesa na kuuweka pending mpaka itakapo pata pesa.
Lakini miaka ya 80s likajitokeza tatizo la mazingira na wanamazingira wakajaribu kutoa maoni yao kuhusu mradi huu kuachana nao lakini serikali haikuuondoa kwenye Mipango yake na haya ndio makosa ya serikali zilizopita na mabunge yaliyopita.
Kama waliona huu mradi haufai kwa nini waliendelea kuuweka kwenye Mipango ya maendeleo?
JPM hana makosa sababu kubwa ukiwa rais Leo kwanza unapewa dira na Mipango ya taifa halafu wewe unatafuta njia ya utekelezaji.
Mipango ya huu Umeme, kuhamia Dodoma, reli, kuboresha shirika la Ndege ni Mipango ambayo JPM ameikuta mezani yeye anachokifanya ni kutafuta namna ya utekelezaji wake.
Hawa wabunge na wanasiasa wanaolalamika ni kutaka sifa zisizo na maana sababu walishiriki kwenye kuandaa dira ya taifa kama waliona Miradi haufai kwa nini wasingepiga kelele iondolewe kwenye Mipango?
 
Kwa akili yako hakuna kinachoendelea kwenye gesi? Mbona sikuelewi au nawasiliana na roboti? Kama unayejibu ni mtu ngoja nikuambie machache yanayoendelea kwenye gesi. Sasa hivi inatathiminiwa zabuni ya kumpata mshauri mwelekezi kwenye masuala ya LG plant.
Pale kinyerezi hivi karibuni yaani mwezi April 2018 Magufuli kazindua mg 350 kwa Pesa alizozitoa akiwa madarakani. Pia Ujenzi wa mitambo ya kutoa mg 600 michakato yake unaendelea. Lengo mpaka 2020 Kuwe na mg 5000 na stigler itatoa mg 2100 ni wazi gesi ndio itatoa Umeme mwingi hivyo kutiwa uchumi wa gesi ni sawa.


Ni hivi hicho kinachoendelea kwenye gas ni chini ya matarajio, na hayo unayozungumza kwamba hela zimeyolewa kwa ajili ya kufikia 5000mg kwa sehemu kubwa ni maneno ya jukwaani. Huo mradi wa stiegler gorge ulikuwa unatajwa kama sehemu ya mafanikio yake na tender ikatangazwa kabisa ila kuwakoga majuha kama ww, lakini ukweli uko wazi hakuna sent tano ya huo mradi kwani ndio kwanza hela inakopwa na hakuna uhakika wa kuipata.

Unachoongea ni matarajio na sio mafanikio kama inavyopotoshwa na wapenda sifa. Hilo la kujivunia matarajio na kuanza kutamba majukwaani linafanyika kuwapata nyie wenye uelewa finyu. Utafikia 5000mg 2020 wakati hata sukari na mafuta ya kula yamekushinda kudhibiti bei? Don't be naive. Kama ww sio mjinga wa kiwango cha kutisha hebu sema ujenzi wa SGR umefikia asilimia ngapi wangalau kipande cha Dar-Moro kwani tuliambiwa hiyo reli kufikia 2020 itakuwa imefika Dodoma na kuanza kazi.
 
huu ujinga wa magharibi ndio kwanza unausikia?
EIA ya mradi huo ipo na ndio inaongoza mradi mzima huo.
Kila kitu kinachofanywa nchini chenye lengo la kuboresha maisha ya Watanzania wewe upo kinyume chake. Aibu itakupata a good always over evil
Kwa spidi ya utekelezaji iliyotangazwa EIA haiwezi kuwa imekamilika. Hakuna full disclosure hapo na wahusika wenyewe wana ugomvi na lugha.
 
Ni hivi hicho kinachoendelea kwenye gas ni chini ya matarajio, na hayo unayozungumza kwamba hela zimeyolewa kwa ajili ya kufikia 5000mg kwa sehemu kubwa ni maneno ya jukwaani. Huo mradi wa stiegler gorge ulikuwa unatajwa kama sehemu ya mafanikio yake na tender ikatangazwa kabisa ila kuwakoga majuha kama ww, lakini ukweli uko wazi hakuna sent tano ya huo mradi kwani ndio kwanza hela inakopwa na hakuna uhakika wa kuipata.

Unachoongea ni matarajio na sio mafanikio kama inavyopotoshwa na wapenda sifa. Hilo la kujivunia matarajio na kuanza kutamba majukwaani linafanyika kuwapata nyie wenye uelewa finyu. Utafikia 5000mg 2020 wakati hata sukari na mafuta ya kula yamekushinda kudhibiti bei? Don't be naive. Kama ww sio mjinga wa kiwango cha kutisha hebu sema ujenzi wa SGR umefikia asilimia ngapi wangalau kipande cha Dar-Moro kwani tuliambiwa hiyo reli kufikia 2020 itakuwa imefika Dodoma na kuanza kazi.
SGR ina kwenda vizuri sana nguzo 100 za kuingiza na kutoa treni jijini zinajengwa.

Uwe unaperuzi tovuti ya TRL au SGR TV Utakuta Ben Mwanantala akikueleza Kila hatua.

Hata tukikopa ni hela zetu hizo na ndio matumizi mazuri ya Pesa. Utaona aibu kwa huu ujinga wako wa kuwaunga mkono wapigaji wa miradi ya umeme
 
Bora wewe umenadi wanaokutuma. Huu ndio upumbavu sitaki kuusikia. Wao kwao wanatumia nyuklia kama chanzo cha nishati. Kila raia anamudu gharama za Umeme kwa kupika. Kwetu hata waziri hamudu kupika Umeme.
Kwa kweli kodi iliyokusomesha wewe kibaraka wa wazungu inaniuma sana

You mean, nimewanadi waliomtuma Prof. Mwalosyi? Kwamba Prof. Mwalosyi alitumwa? Kwani hata wazo la kujenga Stiegler's Gorge Hydro Power Plant unafikiri lilitoka wapi? Si lilitoka kwa Wazungu? Au unafikiri limetoka kwa JPM? And do you mean nuclear power sources are more harmful to the environment than your STIGO project? Tatizo kubwa ulilonalo ni kwamba maoni yako yanatokana na ndoto unazoota usiku. You don't read.
 
You mean, nimewanadi waliomtuma Prof. Mwalosyi? Kwamba Prof. Mwalosyi alitumwa? Kwani hata wazo la kujenga Stiegler's Gorge Hydro Power Plant unafikiri lilitoka wapi? Si lilitoka kwa Wazungu? Au unafikiri limetoka kwa JPM? And do you mean nuclear power sources are more harmful to the environment than your STIGO project? Tatizo kubwa ulilonalo ni kwamba maoni yako yanatokana na ndoto unazoota usiku. You don't read.
Si lazima sote tusome. Kinachofanywa na serikali si ndoto. Kama unafikiri ni ndoto wewe lala. Tunaye Rais mwenye kiu na wito wa kutenda. Zama za upuuzi wenu zimekwisha eti wanaharakati wa mazjngira ujinga mtupu
 
Binadamu ndio tulivyo. Tukihamisha watu waliovamia mbuga zetu wakiharibu misitu na kuharibu mapito ya wanyama wetu, tunaulizana "nani muhimu, misitu, wanyama au binadamu?"

Sasa tunakata mititupitishe umeme binadamu hao walio muhimu wapate maendeleo, swali linakuwa kinyume chake, " Nini muhimu maendeleo ya watu au miti yetu" Sasa natia suruhisho. Tusijenge miundombinu yoyote Tanzania kulinda misitu. Miradi yote mipya ya barabara, Maji, viwanja vya maji na michezo nk. isitishwe tutatembea kwa miguu kulinda misitu yetu.
 
Tanzania tuanze kufanya vitu kwa evidence base. Tusiwe watu wa kushabikia tu. Eti kwa kuwa baba kasema ama mama kasema basi lazima ndiyo.
Ukisikiliza debate zinazoendelea huko Nairobi au Kampala unafurahi! Kampala hadi wabunge walipigana. M7 pamoja na kuchukia wapinzani inaonekana anawaachia wabunge wafanye yao.
 
Hii BBC ni ya kupigwa marufuku hapa nchini kwani wanadharau sana inamaana watanzania hawana akili za kutofautisha faida na hasara kwa miradi ya maendeleo hapa nchini? wao ndio wana akili sana eeeh. Watukome kabisa watuachie maisha yetu .
Uvccm akili huna
 
Back
Top Bottom