Zaidi ya ndoa 365 zimevunjika Temeke (Dar es Salaam) tangu mwaka 2021

Zaidi ya ndoa 365 zimevunjika Temeke (Dar es Salaam) tangu mwaka 2021

Mpaka jeshi la polisi kupitia maafisa kusema "badala ya kung'ang'ania kukaa na mtu anayekutesa na kukufanyia unyama bora uondoke, kwani hamkuzaliwa naye... "

Yasije kukukuta ukiwa haupo duniani na kuacha majonzi ni bora kuondoka uanze maisha mapya".

Kutokana na madawati ya jinsia kutoa ushauri wa ajabu wa kutengana, hizo 365 ni Ndoa chache sana na bado sana.
Siyo ushauri mbaya ivi hamuonj haya yanayoendelea kwenye hii nchi mauwaji sababu ya wivu WA kimapenzi yameshamiri ni Bora kuachana maisha mengine yaendelee kuliko kumwagana damu
 
Temeke kuna waislamu wengi kuliko eneo lolote Dar

Waislamu kuachana na kupeana talaka kitu kidogo mno

Ndoa nyingi za Kiislamu hufungwa karibu na mwezi wa Ramadhani. Mfungo wa Ramadhani ukiisha wanbwagana kwa Talaka
 
Temeke kumejaa wamakonde,wamakua na watu wa Pwani kuanzia .Hao kwenye ndoa kuachana dakika tu
 
Aisee!! Hapo usikute wanaongozwa na ile kauli ukiniacha leo naolewa kesho au nikikuacha leo kesho naoa.

Kumbe hamna kitu.
 
Pia inawezekana ikawa ni awareness ni kubwa huko Temeke kama ilivyo nchi zilizo endeleeni.

Wana fahamu kuwa ni bora kuchukua tahadhari mapema kabla ya hatari.
 
Siyo ushauri mbaya ivi hamuonj haya yanayoendelea kwenye hii nchi mauwaji sababu ya wivu WA kimapenzi yameshamiri ni Bora kuachana maisha mengine yaendelee kuliko kumwagana damu
Aliyesema ni ushauri mbaya nani?.
 
Back
Top Bottom