Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo ushauri mbaya ivi hamuonj haya yanayoendelea kwenye hii nchi mauwaji sababu ya wivu WA kimapenzi yameshamiri ni Bora kuachana maisha mengine yaendelee kuliko kumwagana damuMpaka jeshi la polisi kupitia maafisa kusema "badala ya kung'ang'ania kukaa na mtu anayekutesa na kukufanyia unyama bora uondoke, kwani hamkuzaliwa naye... "
Yasije kukukuta ukiwa haupo duniani na kuacha majonzi ni bora kuondoka uanze maisha mapya".
Kutokana na madawati ya jinsia kutoa ushauri wa ajabu wa kutengana, hizo 365 ni Ndoa chache sana na bado sana.
Ipo siku isiyojina!.....Dah Mungu aninusuru katika hili
Ma bwana wa Temeke hamjambooo!? Mabibi wa Temeke hamjambooo!?Temeke Oyeeeee !!
Aliyesema ni ushauri mbaya nani?.Siyo ushauri mbaya ivi hamuonj haya yanayoendelea kwenye hii nchi mauwaji sababu ya wivu WA kimapenzi yameshamiri ni Bora kuachana maisha mengine yaendelee kuliko kumwagana damu