Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ana wadhifa gani kwenye hilo baraza?Hivi Lissu anahutubia lini UN security council?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana wadhifa gani kwenye hilo baraza?Hivi Lissu anahutubia lini UN security council?
Hivi serikali itaruhusu lini wachunguzi huru toka nje waje kuchunguza shambulio dhidi ya lisu? hivi aliyemuua Akwilin yule polisi aliyepindisha risasi anafikishwa lini mahakamani? hivi zile maiti zilizokuwa zinaokotwa kwenye sandarusi ni za kinanani hasa? maswali ni mengiHivi Lissu anahutubia lini UN security council?
goodHawa Abdulrahman Ghasia huwa anapenda kusimamia anachokiamini bila ya kujalisha kiko sahihi Au laaa!
Alikoswa koswa kufukuzwa Mzumbe Na alikuwa tayari kufukuzwa Chuo Kuliko kubadili Msimamo , kuna faida Na HASARA ya Kuwa Na tabia hiyo
Kwani lazima warudi ktk viti vyao ?Wanaweza kufanya hivyo ila lazima waangalie viti vyao 2020
Bangi za kuvutia chooni shida sana....
Akiachika cheupe utaolewa wewe??Safi sana, wengine watateuliwa kwani hawakuteuliwa ili wawepo milele.
Safi sana !Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.
Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.
Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.
Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.
Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?
Sent using Jamii Forums mobile app
jikite kwenye madaHivi Lissu anahutubia lini UN security council?
Bangi za kuvutia chooni shida sana....
Safi sana, wengine watateuliwa kwani hawakuteuliwa ili wawepo milele.
Safi sana, wengine watateuliwa kwani hawakuteuliwa ili wawepo milele.
Wasipogombea si atabaki jiwe peke yake na nkamia au Ndugai.Mkuu ni ajabu kuwa habari hii nimeinyaka na kutupia humu sasa majina yote machafu yangu.
Nilichojua ni kuwa kuna kundi kubwa sana la wabunge hawana mpango wa kugombea tena baada ya kuona ubunge sasa haulipi kama zamani ambapo watu walikuwa wanatumia pesa nyingi ili kupata ubunge
Sent using Jamii Forums mobile app
au wavuliwe uanachama ghafla!! kamwe hawawezi kuji-risk hihvyoWajiuzuru! thubutu unataka wakatwe mwaka kesho
Cyprian musiba na Le mutuz wameamba Bajeti kwa Bashite waagize waganga wengine wa kienyeji wakiamini watawasaidia Tundu Lisu asiwataje kwenye Tukio la kwenda Dodoma kumpiga Risasi.Hivi Lissu anahutubia lini UN security council?