Tetesi: Zaidi ya Nusu Wajumbe Kamati ya Maadili Kujiuzulu Kabla ya 21/1

Tetesi: Zaidi ya Nusu Wajumbe Kamati ya Maadili Kujiuzulu Kabla ya 21/1

Hivi Lissu anahutubia lini UN security council?
Hivi serikali itaruhusu lini wachunguzi huru toka nje waje kuchunguza shambulio dhidi ya lisu? hivi aliyemuua Akwilin yule polisi aliyepindisha risasi anafikishwa lini mahakamani? hivi zile maiti zilizokuwa zinaokotwa kwenye sandarusi ni za kinanani hasa? maswali ni mengi
wakisaidia bajeti ni wadau wa maendleo, wakisaidia ccm ni washirika.. wakisaidia wengine mabeberu.
 
Hawa Abdulrahman Ghasia huwa anapenda kusimamia anachokiamini bila ya kujalisha kiko sahihi Au laaa!
Alikoswa koswa kufukuzwa Mzumbe Na alikuwa tayari kufukuzwa Chuo Kuliko kubadili Msimamo , kuna faida Na HASARA ya Kuwa Na tabia hiyo
good
 
Hebu wajiuzulu abaki Ndugai peke yake,wamuache amhoji CAG akiwa peke yake.
 
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii.

Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu wa kumharass mtu ambaye ni kioo cha kujitizama pale Mali na fedha za umma zinapokwenda halijojo.

Wanataka kudhibitisha kwa umma kuwa wao sio dhaifu bali kiti ndio dhaifu.

Pia Bunge ndio linaazimia nani aitwe na sio kiti akitokea nyumbani au akipigiwa simu na huyo mbabe wake anatangaze mtu anaitwa.

Najua JF ni kubwa kuliko media yeyote nchini hivyo hakosi humu member hata mmoja wa hiyo kamati, atudhibitishie huo mtifuano jee una uhakika? Utazalisha nini,?


Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana !
 
Utajifunza nini baada ya kuteua wengine kufuatia walio jiuzulu ... ???

Au kwako tukio la leo sio issue kwa mustakabali wako wa kesho ... Yaani maanake yake Bora liende ... !!!

Inzi wa kijani utawajua hawataki marashi wanapenda harufu ya c**o tu ...

Corela tupu ...

Safi sana, wengine watateuliwa kwani hawakuteuliwa ili wawepo milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni ajabu kuwa habari hii nimeinyaka na kutupia humu sasa majina yote machafu yangu.
Nilichojua ni kuwa kuna kundi kubwa sana la wabunge hawana mpango wa kugombea tena baada ya kuona ubunge sasa haulipi kama zamani ambapo watu walikuwa wanatumia pesa nyingi ili kupata ubunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipogombea si atabaki jiwe peke yake na nkamia au Ndugai.
 
Tar 21 siyo mbali, ila Ingependeza si ei ji asiende tuone pingu za mgogo
 
Mleta mada anajaribu kuwashawishi wajumbe wa hiyo kamati wajiuzulu ila anasahau kwamba wanaweza teuliwa wengine na pia kinachoshangaza zaidi ni kwa watu kama yeye kuishambulia kamati ambayo hapo awali walidai haina mamlaka ya kumhoji CAG.
 
Hivi Lissu anahutubia lini UN security council?
Cyprian musiba na Le mutuz wameamba Bajeti kwa Bashite waagize waganga wengine wa kienyeji wakiamini watawasaidia Tundu Lisu asiwataje kwenye Tukio la kwenda Dodoma kumpiga Risasi.
 
Back
Top Bottom