Zaidi ya Shilingi Bilioni 600 kujenga upya Hospitali ya Muhimbili, Mkopo utalipwa baada ya miaka 25

Zaidi ya Shilingi Bilioni 600 kujenga upya Hospitali ya Muhimbili, Mkopo utalipwa baada ya miaka 25

Ningeshauri wajenge kule Mlonganzila kama kuna nafasi bado...
Kwa nini Mloganzila ?

Ijengwe Songea huko au Tanga au Iringa tena hata tatu kwa bei hiyo zinatoka.

Au, wasijenge kabisa. Wanunue na wakarabati vifaa tiba, wakasomeshe wataalam na wa susidize health insurance fund.

Huduma, utaalam, vifaa, na gharama ni masuala muhimu kuliko majengo.
 
Muhimbili Mpya Inaenda Kuzaliwa,Zaidi ya Bilioni 600 Kutumika,hii ni Bonge la Mradi yaani Sawa na Kujenga Majengo Nusu ya Majengo Yote ya Wizara Pale Dodoma.

---
Uongozi wa Hospitali ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam umesema hospitali hiyo itabomolewa na kujengwa upya.

Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Prof. Mohamed Janabi amesema kuwa Muhimbili ni moja kati ya miradi saba mikubwa ya Serikali iliyoidhinishwa, hivyo itabomolewa na kuanza ujenzi upya.

“Lakini itakwenda kwa awamu si kwamba itajengwa kwa wakati mmoja. Awamu ya kwanza tutaanza upande wa makuti kisha katikati na tutaenda na mbele. Tutaona hospitali nyingine mpya ambayo itakuwa na ukubwa kama huu wa sasa lakini majengo yatakuwa ya kisasazaidi,” amesema Prof. Janabi.

Prof. Janabi amesema kuwa gharama ya kujenga upya hospitali hiyo itakuwa ni zaidi ya Sh bilioni 600 ambazo wamepatiwa kama mkopo nafuu kutoka benki ya Exim na utaanza kulipwa baada ya miaka 25


Chanzo: Habari Leo

My Take
Udom na Ukubwa wake na Majengo Yote Yale ilijengwa Kwa Bilioni 600,Sasa Hiyo Muhimbili itakuwa na jipya gani Hadi igharimu pesa zote hizo? Kuna harufu ya upigaji
View attachment 2714590View attachment 2714591
Ela ambazo wanawakata madaktar na wafanya biashara wengine , hata faida wanayopata serikali kwa zaid ya miaka 40 iliyopita hii ela imeenda wap ? Mpk kila kitu tukope ? Sizan kama Muhimbili wanahudumia bure , ADUI WA MWAFRIKA NI WIZI
 
Wasibomoe. Hizo hela wakajenge hospitali nyingine yenye hadhi zaidi maeneo mengine ya nchi mfano Dodoma Katavi na kwingineko!!

Utekelezaji huu ukifanyika itakuwa ni aibu kwa waliotoa wazo, walosikiliza wazo na kulikubali, kisha kulisimamia kulifanyia kazi!

Hii itakuwa ni kidonda juu ya suala la Bandari!
Hii serekali haishauriki , ukute mbuz mmoja ndo kashawishi hizo ela zipelekwe hapo wakati wangeweza kujenga hospitali hata kule nyanda za kusini kuna hali mbaya sana maeneo yapo mbali mbali sana usafiri pia mbovu
 
Hata hiyo ni pesa nyingi sana haiwezi kufika hapo ,unaijua bil.10 lakini?
Mlaji sio mmoja na kila mmoja anamuachia mwenzie msala , na alieachiwa anakula akihisi wenzie hawajala , mpk ikifika site nusu ya ela
 
Tuendelee kuwapa Ushauri huenda wakaghairi japo ilitakiwa watoe sababu Kwa nini sio hospital Mpya
Utaitwa mchochez ww , wao wanajuwa hali ya huduma za afya huko (Katavi , Rukwa ) Ruvuma ,Mtwara ,Lindi) (Simiyu , Mara na Arusha ) hv wangegawa 200B si wangejenga hospital moja kila kanda hapo
 
Ndo maana yaitwa Muhimbili Mloganzira.

Watu wabinafsi tu, wanataka ikajengwa nanjilinji
Hii ni nchi moja kwa hapa dar zipo hospital nying kubwa kwann tusiwe na huruma na mama zetu wanaokufa mikoani ?
 
Kote sawa tu.Ila kwe pesa hizo bora wangejenga mpya ya rufaa.
Kbs , hlf baadae serikali ikihojiwa kwann huduma za afya sehem fulan ni mbov wanajibu kuwa sisi ni nchi maskin , wkt kipind kama hiki hawakumbuk kuwa kuna dogo alikufa kigoma kisa huduma ilibid aje apate dsm na ni mbali , hopeless leaders
 
Wezi hawa, wakope wao tulipe sisi miaka 25 ijayo?! Majengo ya Muhimbili bado Imara yafanyiwe ukarabati mkubwa.

Ila niliwahi kupita hostel duh, nilishangaa sana zilivyo chakaa utadhani hakuna uongozi wa chuo.
 
Si waende Kigamboni huko wakajenge hospital nyingine.
 
Matumizi mabaya ya pesa za umma.Awamy ya sita imekuwa ya wachawi sana .
 
Ub
Muhimbili Mpya Inaenda Kuzaliwa,Zaidi ya Bilioni 600 Kutumika,hii ni Bonge la Mradi yaani Sawa na Kujenga Majengo Nusu ya Majengo Yote ya Wizara Pale Dodoma.

---
Uongozi wa Hospitali ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam umesema hospitali hiyo itabomolewa na kujengwa upya.

Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Prof. Mohamed Janabi amesema kuwa Muhimbili ni moja kati ya miradi saba mikubwa ya Serikali iliyoidhinishwa, hivyo itabomolewa na kuanza ujenzi upya.

“Lakini itakwenda kwa awamu si kwamba itajengwa kwa wakati mmoja. Awamu ya kwanza tutaanza upande wa makuti kisha katikati na tutaenda na mbele. Tutaona hospitali nyingine mpya ambayo itakuwa na ukubwa kama huu wa sasa lakini majengo yatakuwa ya kisasazaidi,” amesema Prof. Janabi.

Prof. Janabi amesema kuwa gharama ya kujenga upya hospitali hiyo itakuwa ni zaidi ya Sh bilioni 600 ambazo wamepatiwa kama mkopo nafuu kutoka benki ya Exim na utaanza kulipwa baada ya miaka 25


Chanzo: Habari Leo

My Take
Udom na Ukubwa wake na Majengo Yote Yale ilijengwa Kwa Bilioni 600,Sasa Hiyo Muhimbili itakuwa na jipya gani Hadi igharimu pesa zote hizo? Kuna harufu ya upigaji
Uba
Muhimbili Mpya Inaenda Kuzaliwa,Zaidi ya Bilioni 600 Kutumika,hii ni Bonge la Mradi yaani Sawa na Kujenga Majengo Nusu ya Majengo Yote ya Wizara Pale Dodoma.

---
Uongozi wa Hospitali ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam umesema hospitali hiyo itabomolewa na kujengwa upya.

Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Prof. Mohamed Janabi amesema kuwa Muhimbili ni moja kati ya miradi saba mikubwa ya Serikali iliyoidhinishwa, hivyo itabomolewa na kuanza ujenzi upya.

“Lakini itakwenda kwa awamu si kwamba itajengwa kwa wakati mmoja. Awamu ya kwanza tutaanza upande wa makuti kisha katikati na tutaenda na mbele. Tutaona hospitali nyingine mpya ambayo itakuwa na ukubwa kama huu wa sasa lakini majengo yatakuwa ya kisasazaidi,” amesema Prof. Janabi.

Prof. Janabi amesema kuwa gharama ya kujenga upya hospitali hiyo itakuwa ni zaidi ya Sh bilioni 600 ambazo wamepatiwa kama mkopo nafuu kutoka benki ya Exim na utaanza kulipwa baada ya miaka 25


Chanzo: Habari Leo

My Take
Udom na Ukubwa wake na Majengo Yote Yale ilijengwa Kwa Bilioni 600,Sasa Hiyo Muhimbili itakuwa na jipya gani Hadi igharimu pesa zote hizo? Kuna harufu ya upigaji
View attachment 2714590View attachment 2714591

Ubadhirifu na matumizi ya hovyo ya pesa kama kawaida ya WaTz! Nchi kubwa ina maeneo na wakaaji nchi nzima, huduma muhimu unazilundika eneo moja tena dogo, lililozongwa na miundombinu ya usafiri dhaifu, na zaidi kwa kubomoa majengo yaliyopo! Kwa nini eneo hili lisiachwe na lite wakashughulika na masala ya moyo tu, au mifupa tu, halafu likatafutwa eneo jingone mkoa mbali na Dar wakawekeza hicho wanachokusudia?
 
Back
Top Bottom