Kwa nini Mloganzila ?Ningeshauri wajenge kule Mlonganzila kama kuna nafasi bado...
Ela ambazo wanawakata madaktar na wafanya biashara wengine , hata faida wanayopata serikali kwa zaid ya miaka 40 iliyopita hii ela imeenda wap ? Mpk kila kitu tukope ? Sizan kama Muhimbili wanahudumia bure , ADUI WA MWAFRIKA NI WIZIMuhimbili Mpya Inaenda Kuzaliwa,Zaidi ya Bilioni 600 Kutumika,hii ni Bonge la Mradi yaani Sawa na Kujenga Majengo Nusu ya Majengo Yote ya Wizara Pale Dodoma.
---
Uongozi wa Hospitali ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam umesema hospitali hiyo itabomolewa na kujengwa upya.
Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Prof. Mohamed Janabi amesema kuwa Muhimbili ni moja kati ya miradi saba mikubwa ya Serikali iliyoidhinishwa, hivyo itabomolewa na kuanza ujenzi upya.
“Lakini itakwenda kwa awamu si kwamba itajengwa kwa wakati mmoja. Awamu ya kwanza tutaanza upande wa makuti kisha katikati na tutaenda na mbele. Tutaona hospitali nyingine mpya ambayo itakuwa na ukubwa kama huu wa sasa lakini majengo yatakuwa ya kisasazaidi,” amesema Prof. Janabi.
Prof. Janabi amesema kuwa gharama ya kujenga upya hospitali hiyo itakuwa ni zaidi ya Sh bilioni 600 ambazo wamepatiwa kama mkopo nafuu kutoka benki ya Exim na utaanza kulipwa baada ya miaka 25
Chanzo: Habari Leo
My Take
Udom na Ukubwa wake na Majengo Yote Yale ilijengwa Kwa Bilioni 600,Sasa Hiyo Muhimbili itakuwa na jipya gani Hadi igharimu pesa zote hizo? Kuna harufu ya upigaji
View attachment 2714590View attachment 2714591
Hii serekali haishauriki , ukute mbuz mmoja ndo kashawishi hizo ela zipelekwe hapo wakati wangeweza kujenga hospitali hata kule nyanda za kusini kuna hali mbaya sana maeneo yapo mbali mbali sana usafiri pia mbovuWasibomoe. Hizo hela wakajenge hospitali nyingine yenye hadhi zaidi maeneo mengine ya nchi mfano Dodoma Katavi na kwingineko!!
Utekelezaji huu ukifanyika itakuwa ni aibu kwa waliotoa wazo, walosikiliza wazo na kulikubali, kisha kulisimamia kulifanyia kazi!
Hii itakuwa ni kidonda juu ya suala la Bandari!
Hahahaaaaa huyu hajui inaenda pigwa 300B kbs , walaji ni wengi kuanzia juu mpk chini huko ela inaendelea kupigwa [emoji23]Ongeza sifuri ten
Mlaji sio mmoja na kila mmoja anamuachia mwenzie msala , na alieachiwa anakula akihisi wenzie hawajala , mpk ikifika site nusu ya elaHata hiyo ni pesa nyingi sana haiwezi kufika hapo ,unaijua bil.10 lakini?
Utaitwa mchochez ww , wao wanajuwa hali ya huduma za afya huko (Katavi , Rukwa ) Ruvuma ,Mtwara ,Lindi) (Simiyu , Mara na Arusha ) hv wangegawa 200B si wangejenga hospital moja kila kanda hapoTuendelee kuwapa Ushauri huenda wakaghairi japo ilitakiwa watoe sababu Kwa nini sio hospital Mpya
Hii ni nchi moja kwa hapa dar zipo hospital nying kubwa kwann tusiwe na huruma na mama zetu wanaokufa mikoani ?Ndo maana yaitwa Muhimbili Mloganzira.
Watu wabinafsi tu, wanataka ikajengwa nanjilinji
Kbs , hlf baadae serikali ikihojiwa kwann huduma za afya sehem fulan ni mbov wanajibu kuwa sisi ni nchi maskin , wkt kipind kama hiki hawakumbuk kuwa kuna dogo alikufa kigoma kisa huduma ilibid aje apate dsm na ni mbali , hopeless leadersKote sawa tu.Ila kwe pesa hizo bora wangejenga mpya ya rufaa.
ijengwe hospital mpyaMloganzila Bado Kuna Eneo La Kutosha, wakajenge Majengo Ya Kisasa huko badala ya kuleta mbanano hapo hapo...!
UbaMuhimbili Mpya Inaenda Kuzaliwa,Zaidi ya Bilioni 600 Kutumika,hii ni Bonge la Mradi yaani Sawa na Kujenga Majengo Nusu ya Majengo Yote ya Wizara Pale Dodoma.
---
Uongozi wa Hospitali ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam umesema hospitali hiyo itabomolewa na kujengwa upya.
Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Prof. Mohamed Janabi amesema kuwa Muhimbili ni moja kati ya miradi saba mikubwa ya Serikali iliyoidhinishwa, hivyo itabomolewa na kuanza ujenzi upya.
“Lakini itakwenda kwa awamu si kwamba itajengwa kwa wakati mmoja. Awamu ya kwanza tutaanza upande wa makuti kisha katikati na tutaenda na mbele. Tutaona hospitali nyingine mpya ambayo itakuwa na ukubwa kama huu wa sasa lakini majengo yatakuwa ya kisasazaidi,” amesema Prof. Janabi.
Prof. Janabi amesema kuwa gharama ya kujenga upya hospitali hiyo itakuwa ni zaidi ya Sh bilioni 600 ambazo wamepatiwa kama mkopo nafuu kutoka benki ya Exim na utaanza kulipwa baada ya miaka 25
Chanzo: Habari Leo
My Take
Udom na Ukubwa wake na Majengo Yote Yale ilijengwa Kwa Bilioni 600,Sasa Hiyo Muhimbili itakuwa na jipya gani Hadi igharimu pesa zote hizo? Kuna harufu ya upigaji
Ubadhirifu na matumizi ya hovyo ya pesa kama kawaida ya WaTz! Nchi kubwa ina maeneo na wakaaji nchi nzima, huduma muhimu unazilundika eneo moja tena dogo, lililozongwa na miundombinu ya usafiri dhaifu, na zaidi kwa kubomoa majengo yaliyopo! Kwa nini eneo hili lisiachwe na lite wakashughulika na masala ya moyo tu, au mifupa tu, halafu likatafutwa eneo jingone mkoa mbali na Dar wakawekeza hicho wanachokusudia?Muhimbili Mpya Inaenda Kuzaliwa,Zaidi ya Bilioni 600 Kutumika,hii ni Bonge la Mradi yaani Sawa na Kujenga Majengo Nusu ya Majengo Yote ya Wizara Pale Dodoma.
---
Uongozi wa Hospitali ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam umesema hospitali hiyo itabomolewa na kujengwa upya.
Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Prof. Mohamed Janabi amesema kuwa Muhimbili ni moja kati ya miradi saba mikubwa ya Serikali iliyoidhinishwa, hivyo itabomolewa na kuanza ujenzi upya.
“Lakini itakwenda kwa awamu si kwamba itajengwa kwa wakati mmoja. Awamu ya kwanza tutaanza upande wa makuti kisha katikati na tutaenda na mbele. Tutaona hospitali nyingine mpya ambayo itakuwa na ukubwa kama huu wa sasa lakini majengo yatakuwa ya kisasazaidi,” amesema Prof. Janabi.
Prof. Janabi amesema kuwa gharama ya kujenga upya hospitali hiyo itakuwa ni zaidi ya Sh bilioni 600 ambazo wamepatiwa kama mkopo nafuu kutoka benki ya Exim na utaanza kulipwa baada ya miaka 25
Chanzo: Habari Leo
My Take
Udom na Ukubwa wake na Majengo Yote Yale ilijengwa Kwa Bilioni 600,Sasa Hiyo Muhimbili itakuwa na jipya gani Hadi igharimu pesa zote hizo? Kuna harufu ya upigaji
View attachment 2714590View attachment 2714591